
SAUTI:YANGA YASHUSHA MBADALA WA FEI TOTO
IMEELEZWA kuwa vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga wapo kwenye hesabu za kumshusha mbdala wa Fei Toto
IMEELEZWA kuwa vinara wa Ligi Kuu Bara Yanga wapo kwenye hesabu za kumshusha mbdala wa Fei Toto
MWINYI Zahera,Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana ndani ya Yanga amesema kuwa Simba wamejipotezea ubingwa wa ligi weyewe baada ya kushindwa kuwafunga vinara wa ligi. Ni Yanga wanaongoza wakiwa na pointi 60 baada ya kucheza mechi 24 waliweza kufikisha pointi hizo baada ya ushindi mbele ya Dodoma Jiji kwa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri,Dodoma….
HONGERA kwa DTB pamoja na Ihefu baada ya kuweza kukata tiketi ya kupanda Ligi Kuu Bara hivyo maisha yao ndani ya Championship kwa sasa yamefika mwisho. Mwisho wa Championship kwao haina maana kwamba kazi imekwisha ni hatua moja wamepiga hivyo wana kazi kubwa kwa ajili ya msimu ujao kwenye ligi. Ambacho kinatokea ni kwamba zipo…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Spoti Xtra Jumanne
STEVEN Gerrard, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa Jurgen Klopp anastahili kuendelea kukaa ndani ya Liverpool kwa miaka mingi kwani amefanya mambo makubwa. Klopp bado yupo ndani ya Liverpool mpaka 2026 baada ya kuongeza kandarasi ya miaka miwili. Mkataba wake wa awali ulikuwa unatarajiwa kumeguka mwaka 2024 hivyo bado yupoyupo sana ndani ya timu…
MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Simba wanatarajia kumenyana na Yanga kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali Mei 28. Yanga walikuwa wa kwanza kuweza kukata tiketi kwa ushindi mbele ya Geita Gold kisha Simba wakafuata kwa ushindi mbele ya Pamba kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili. Mechi zote zilichezwa Uwanja wa Mkapa na…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa kesho Mei 18 Uwanja wa Azam Complex. Azam FC imetoka kupoteza mchezo wake wa ligi mbele ya Mbeya City kwa kufungwa mabao 2-1 Uwanja wa Sokoine, Mbeya, inakwenda kukutana na…
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa wanafanya maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Simba. Azam FC inakumbuka kwamba kwenye mchezo wao uliopita dhidi ya Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 hivyo itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya wapinzani wao. “Tulitoka Mbeya ambapo mchezo wetu ule…
BAADA ya Yanga kushinda jana mbele ya Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na kufikisha pointi 60, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wataendelea kufanya vizuri. Kwa upande wa mshambuliaji mwenye mabao 12 na pasi tatu za mabao, Fiston Mayele ameweka wazi kwamba muda wa kutetema unakuja.
BEKI wa kazi chafu ndani ya kikosi cha Simba, Henock Inonga amebebeshwa zigo jipya la kazi ndani ya kikosi hicho na benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu,Pablo Franco. Jukumu hilo jipya kwa sasa ni lile la kuweza kuichezesha timu na kugawa mipira kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ambazo anacheza huku akiwa na kazi ya…
FISTON Mayele,mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mabeki wengi kwa sasa wamekuwa wakimkamia ili asifunge kila anapocheza. Mayele msimu huu wa 2021/22 akiwa ndani ya kikosi cha Yanga amehusika kwenye mabao 15 kati ya 38. Ametupia mabao 12 na kutoa pasi mbili za mabao hajafunga kwenye mechi nne za ligi msimu huu na kumfanya awe sawa…
LIGI Kuu Bara inaendelea leo Mei 16 ikiwa ni mzunguko wa pili wa lala salama kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu uwanjani. Ruvu Shooting yenye pointi 25 inatarajiwa kusaka ushindi mbele ya KMC yenye pointi 27 kibindoni. Tanzania Prisons yenye pointi 23 ina kibarua mbele ya Kagera Sugar yenye pointi 29 kibindoni….
MSIMU wa 2021/22, nahodha wa Simba John Bocco ametupia mabao mawili kwenye Ligi Kuu Bara ambayo imekuwa na ushindani mkubwa. Bao lake la kwanza alifunga mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ni baada ya kupitia msoto wa muda mrefu bila kufunga. Bao lake la pili alifunga mbele ya Kagera Sugar,…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji raia wa Cameroon ambaye yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya Simba msimu ujao kutokana na safu yao ya ushambuliaji inayoongozwa na Meddie Kagere, John Bocco na Chris Mugalu kushindwa kuwa kwenye ubora.
WAKIWA Uwanja wa Jamhuri,Dodoma leo Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 Dodoma Jiji na kufanya waweze kusepa na pointi tatu. Ni mabao ya Dickosn Ambundo dk ya 11 na bao la pili lilifungwa na kipa wa Dodoma Jiji,Mohamed Yusuph dk ya 35 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Zawad Mauya jamo lililomfanya ajifunge….