
KIUNGO WA KAZI APEWA MWAKA MMOJA YANGA
KIUNGO mshambuliaji mkongwe Mrundi, Said Ntibanzokiza ‘Saido’, amepewa mkataba wa mwaka mmoja wenye masharti magumu katika Klabu ya Yanga. Mrundi huyo ambaye anasubiria utambulisho hivi sasa, hivi karibuni aliongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo utakaomalizika 2023. Saido ni kati ya wachezaji ambao mikataba yao ilikuwa inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu akiwa…