DAKIKA 45,SIMBA 1-0 SELEM VIEW, KOMBE LA MAPINDUZI
UWANJA wa Amaan kwa sasa ni mapumziko mchezo wa Kombe la Mapinduzi na timu zote zimeyeyusha dakika 45. Ubao unasoma Simba 1-0 Selem View na mashabiki wengi wamejitokeza kushuhudia mchezo huu. Ni bao la Pape Sakho aliyepachika bao hilo dakika ya 24 na kuifanya Simba kuwa mbele kwa bao hilo. Leo langoni kwa Simba ni…