RUNGU LILILOWAKUTA WAAMUZI NA DJUMA ACHA KABISA
NYOTA wa Yanga, Djuma Shaban amefungiwa mechi tatu na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Polisi Tanzania. Mbali na kufungiwa mechi tatu pia ametozwa faini ya shilingi milioni moja kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Polisi Tanzania. Mchezaji ambaye alionekana akipigwa kiwiko kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja…