Kikosi cha Yanga kimewasili Mwanza leo Januari 27, 2022 tayari kwa maandalizi ya mchezo wetu wa Kombe la ASFC dhidi ya Mbao Fc, Jumamosi kwenye Dimba la CCM Kirumba.
Kikosi cha Yanga kimewasili Mwanza leo Januari 27, 2022 tayari kwa maandalizi ya mchezo wetu wa Kombe la ASFC dhidi ya Mbao Fc, Jumamosi kwenye Dimba la CCM Kirumba.