
HUYU HAPA MVP LIGI KUU BARA 2021/22
KATIKA usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22 uliweza kukamilika kwa kila mmoja kuweza kujua kile ambacho amekivuna. Kwa upande wa tuzo ya mchezaji bora ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa umakini ilikwenda kwa kiungo wa Yanga, Yannick Bangala. Tuzo hiyo ilitolewa na mgeni rasmi ambaye alikuwa ni Waziri wa Sanaa, Utamaduni na…