SIMBA YAMTAMBULISHA RASMI KOCHA,ATOA NENO LAKE

KOCHA Mkuu wa Simba,Zoran Maki leo Julai 12,2022 ametambulishwa rasmi kwa mashabiki wa Simba ambapo ameweka wazi kwamba anatambua kwenye kila nchi kuna mechi za dabi. Leo amewasili Tanzania raia huyo wa Serbia na anatarajia kukiongoza kikosi hicho kwa muda wa mwaka mmoja ikiwa ni mkataba ambao amesaini kuwatumikia washindi hao wa pili kwenye ligi….

Read More

MANZOKI,MNIGERIA WAINGIA ANGA ZA SIMBA

MASTAA watatu wa kimataifa wanatajwa kuwa kwenye hesabu za Simba ambayo jana ilimtambulisha nyota mpya ambaye Nassoro Kapama kutoka Kagera Sugar. Kapama yeye ni mzawa amepewa dili la miaka miwili kwa ajili ya kuwa ndani ya timu hiyo. Cesar Manzoki huyu ni raia wa Uganda kwa ajili ya kuongeza nguvu ndani ya kikosi hicho na…

Read More

AZAM FC KUKWEA PIPA MPAKA MISRI

 JULAI 22,2022 kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kuondoka Dar na kuibukia nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi kwa maandalizi ya msimu wa 2022/23 watakaa huko hadi Agosti 12,2022 kwenye Mji wa El Gouna, Kwa Mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amebainisha hayo kwa kuweka wazi kuwa hayo yametokea baada ya vikao kuweza…

Read More

VIDEO:JEMBE AWAZUNGUMZIA SIMBA,AMTAJA BARBRA

MWANDISHI mkongwe wa Habari za Michezo, Saleh Ally, ‘Jembe’ ameweka wazi kuwa kuhusu kushindwa kwa Simba sio Barbara pekee bali ni Simba wenyewe kiujumla na kwenye upande wa usajili wamekuwa wakifanya kazi nzuri kwa kufanya usajili mzuri ikiwa ni pamoja na Pape Sakho huku wengine wakiwa waliletwa na Simba kisha wakasajiliwa na timu nyingine. Pia…

Read More

KAPAMA RASMI NI SIMBA

 NASSORO Kapama ni nyota mpya wa Simba akiwa ametambulishwa leo Julai 11,2022 Kapama ni mzawa wa pili kutambulishwa ndani ya kikosi cha Simba baada ya kuanza na Habib Kyombo ambaye alikuwa anakipiga ndani ya Mbeya Kwanza. Nyota huyu alikuwa anacheza Kagera Sugar msimu wa 2021/22 hivyo msimu wa 2022/22 atakuwa ndani ya kikosi cha Simba….

Read More

METACHA MNATA NI SINGIDA BIG STARS

RASMI Metacha Mnata ni mali ya Singida Big Stars ambayo imepanda Ligi Kuu Bara msimu huu ikitokea Championship. Julai 10,2022 Singida iliweza kumtambulisha nyota huyo kwa kubainisha kwamba atakuwa ni mchezaji wao rasmi. Mnata alikuwa ndani ya Polisi Tanzania kwa msimu uliopita wa 2021/22 ambapo aliweza kukusanya jumla ya clean sheet 8. Hussein Masanza, Ofisa…

Read More

MINZIRO:TUTAKUWA NA MOTO KIMATAIFA

FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Geita Gold ameweka wazi kuwa kasi ya vijana wake kimataifa na kwenye ligi kwa msimu ujao wa 2022/23 itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Geita Gold msimu ujao itashiriki michuano ya kimataifa katika Kombe la Shirikisho baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne kwenye msimamo na pointi 46.  Minziro…

Read More

KIUNGO MPYA SIMBA ACHEKELEA DILI JIPYA

 VICTOR Akpan kiungo mpya ndani ya Simba amesema kuwa ni furaha kwake kuwa kuwa katika kikosi hicho kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23. Akpan ametambulishwa rasmi ndani ya Simba, jana Julai 10,2022 kwa dili la miaka miwili ambapo aliibuka hapo akitokea Coastal Union. Kiungo huyo ameweka bayana kwamba ni ndoto za wachezaji wengi kucheza…

Read More

RAIS MPYA ANATAKA KUWEKA REKODI YA CAF JANGWANI

RAIS wa Klabu ya Yanga,Injinia Hersi Said ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo ametoa ahadi ya kuweka rekodi ya kuifanya Yanga kuwa timu ya kwanza kubeba ubingwa wa Caf.  Yanga imebeba mataji matatu  msimu wa 2021/22 ikiwa ni Ligi Kuu Bara, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) na Ngao ya…

Read More

AZAM FC YAMTAMBULISHA KOCHA MPYA

KIKOSI cha Azam FC leo Julai 10 kimeweza kumtangaza kocha mpya wa viungo ambaye atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2022/23. Anaitwa Mikel Guillen kutoka Hispania ambaye atakuwa ni kocha mpya wa viungo wa Klabu ya Azam FC. Guillen ana uzoefu wa kufundisha timu za Aris Limassol ya Cyprus, inayoshiriki Ligi ya…

Read More