TAIFA STARS WAANZA MAZOEZI

WACHEZAJI  wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wameanza maandalizi kwa ajili ya michezo ya kufuzu CHAN 2023. Stars inayonolewa na Kocha Mkuu,Kim Poulsen inatarajiwa kucheza mechi mbili ndani ya mwezi huu wa Julai kuwania kufuzu CHAN. Itakuwa mchezo dhidi ya Somalia ambapo ule wa awali unatarajiwa kuchezwa Julai 23 na ule wa pili unatarajiwa…

Read More

NBC DODOMA INTERNATIONAL MARATHON JUMAPILI JULAI 31

IKIWA ni takribani wiki tatu zimesalia kuelekea NBC Dodoma International Marathon itakayofanyika siku ya Jumapili Julai 31, wanariadha wameendelea kujifua ili kushiriki mbio hizo za kimataifa. Leo tumeshuhudia klabu za wanariadha ya Kigamboni runners ikishirikiana na klabu ya wanariadha ya NBC Jogging club ambao wamefanya mazoezi ya pamoja kwa kukimbia kilomita 10 na kilomita 5…

Read More

COASTAL UNION WAMALIZANA NA KIPA

COASTAL Union wameanza na kuongeza nguvu kwenye ulinzi baada ya Julai 14,2022 kukamilisha usajili wa mlinda mlango namba mbili wa timu ya Taifa ya Comoro, Mahamoud Mroivili. Unakuwa ni usajili wa kwanza ndani ya Coastal Union inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda. Kipa huyo amepewa dili la miaka miwili kuweza kuitumikia timu hiyo kwa ajili…

Read More

KIUNGO YANGA AINGIA ANGA ZA SINGIDA BIG STARS

BAADA ya mabosi wa Yanga kumpa mkono wa kwa kheri nyota wao Deus Kaseke Julai 14 inaelezwa kuwa nyota huyo yupo kwenye mazungumzo na Singida Big Stars ili aweze kuwa ndani ya timu hiyo kwa msimu ujao wa 2022/23.  Taarifa rasmi iliyotolewa na Yanga iliweka wazi kwamba; “Umekuwa sehemu kubwa ya mchango wa mafanikio kwenye…

Read More

SIMBA WAMEANZA MAZOEZI MISRI

WASHINDI wa pili ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba tayari wameanza mazoezi nchini Misri ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa 2022/23. Simba chini ya Kocha Mkuu, Zoran Maki ilifanikiwa kuwasili nchini Misri salama baada ya kusepa Bongo Julai 14,2022 mchana. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani…

Read More

USAJILI UNAZINGATIA RIPOTI YA BENCHI LA UFUNDI?

WAKATI timu mbalimbali za Ligi Kuu Tanzania Bara zikiwa zinafanya usajili wa wachezaji wao mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao kuna mambo ngoja tuwakumbushe. Kwanza kabisa ni kuhusu usajili ambao unaedelea kwa sasa lakini pia ni katika maandalizi yao mzuri kuelekea katika michuano ya kimataifa. Kwa msimu ujao Yanga,Simba,Azam FC na Geita Gold…

Read More

BM:MASHABIKI MSIWE NA MASHAKA MSIMU UTAKUWA MZURI

KIUNGO mpya wa Yanga, Bernard Morrison amesema kuwa mashabiki wasiwe na mashaka msimu mpya utakuwa ni mzuri kwao na watapambana kufanya vizuri. BM amerejea ndani ya Yanga kwa kupewa dili la miaka miwili baada ya dili lake ndani ya Simba kugota ukingoni. Nyota huyo amewaambia mashabiki wa Yanga kuwa aliwakosea wakati ule alipokuwa ndani ya…

Read More

KAMBI YA SIMBA MISRI NI NOMA

WASHINDI namba mbili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara,Simba wameweza kufika salama nchini Misri baada ya safari yao kuanza jana Julai 14,2022. Msafara huo umeweka kambi nchini Misri ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 Simba ilikwama kusepa na taji lolote na kuwafanya watani zao wa jadi kuweza…

Read More

GEITA GOLD RUKSA KUFANYA USAJILI

KLABU ya Geita Gold imethibitisha kuwa imeruhusiwa kufanya usajili na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) baada ya kukidhi vigezo kwa kumalizana na kocha Etienne Ndayiragije aliyekuwa anaidai. Juni 25, mwaka huu FIFA iliifungia timu hiyo kusajili hadi itakapomlipa aliyekuwa Kocha wake, Ettiene Ndayiragije ambaye alifungua madai akidai fidia ya kuvunjiwa mkataba na malipo mengine…

Read More

MGHANA ASAINI AZAM FC MIAKA MIWILI

RASMI Mghana James Akaminko, aliyekuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Great Olympic ni mali ya Azam FC. Akaminko mwenye miaka 26 ni mmoja wa viungo wabunifu kwenye Ligi Kuu ya Ghana amesaini dili la miaka miwili. Kiungo huyo nyota, aliwahi kucheza soka la kulipwa nchini Tunisia katika timu ya US Tataouine, amepita pia kwa vigogo…

Read More

USIKU WA MANANE YANGA WAMTAMBULISHA WINGA WA KAZI

 RASMI Yanga imefanikiwa kupata saini ya winga wa kimataifa wa Burkina Faso, Aziz Ki ambaye ametambulishwa usiku wa kuamkia leo Julai 15, 2022. NI usiku wa manena nyota huyo winga wa kazi aliyewapa tabu Simba kwenye mashindano ya kimataifa aliweza kutamulishwa rasmi. Nyota  huyo ametokea Klabu ya ASEC Mimosas inayoshirki Ligi Kuu ya Ivory Coast ambapo…

Read More