


MASTAA HAWA YANGA NI DABI YAO YA KWANZA
AGOSTI 13 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga v Simba. Ni saa 1:00 usiku mchezo huo unatarajiwa huku kila timu ikiwea wazi kwamba inahitaji kupata ushindi. Kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kuna mastaa wapya ambao itakuwa ni mara yao ya kwanza kucheza mchezo wa Kariakoo…

MZUNGU WA SIMBA USAJILI WAKE WAWAPA JEURI YA KUTWAA MATAJI
BAADA ya uongozi wa Simba kukamilisha usajili wa straika Mserbia, Dejan Georgijevic, mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Ismail Rage, amefunguka kuwa, msimu huu wanakwenda kurudisha mataji yote waliyopoteza msimu uliopita. Simba imeendelea kujiimarisha kwenye eneo lake la ushambuliaji ambapo msimu huu wamekamilisha usajili wa viungo washambuliaji Nelson Okwa, Moses Phiri, Augustine Okrah na straika…

REAL MADRID WATWAA UEFA SUPER CUP
REAL Madrid wamebeba taji la UEFA Super Cup kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya EIntracht Frankfurt katika mchezo wa fainali uliokuwa na ushindani mkubwa. Ni mabao ya David Alaba dk 37 na Karim Benzema dk ya 65 yaliweza kuipa taji timu hiyo katika fainali iliyochezwa Uwanja wa Helnsiki usiku wa kuamkia Agosti 11. Licha…

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi

HIKI HAPA KIKOSI KIPYA CHA KMC,MASTAA WAPYA 14
KIKOSI cha KMC FC kinachoshiriki Ligi Kuu Bara, msimu ujao kitakuwa na jeshi la wachezaji 27 kati yao nyota 14 ni wapya. KMC msimu uliopita ilimaliza ligi ikiwa nafasi ya 10 na pointi 35 baada ya kucheza mechi 30 huku Kocha Mkuu, Hitimana Thiery akibaki na nyota 13 aliokuwa nao msimu uliopita wa 2021/22. Ofisa…

KUMUONA AZIZ KI,MORRISON,OKWA BUKU TANO
KUELEKEA kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa viingilio vimewekwa wazi leo Agosti 10,2022. Mastaa ambao wanatarajia kuweza kucheza mchezo huo ni pamoja na Aziz KI,Bernard Morrison kutoka Yanga,Nelson Okwa, Victor Ackpan wa Simba. Ni 5,000 kwa mzunguko kwenye viti vya kijani na bluu,kwa upande wa…

RAIS FIFA ASISITIZA USHIRIKIANO KATIKA KILA HATUA
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Dunia FIFA, Gianni Infantino amesema kuwa kukuza mpira wa Afrika kunahitaji ushirikiano mkubwa na kila mmoja ili kuweza kufikia mafanikio. Inafantino aliwasili Tanzania Agosti 9 alipokelwa na mwenyeji wake ambaye ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) Wallace Karia pamoja na viongozi wa TFF ameweka wazi kuwa…

TAREHE YA UFUNGUZI KOMBE LA DUNIA YARUDISHWA NYUMA
TAREHE ya ufunguzi wa michuano ya Fainali za Kombe la Dunia nchini Qatar imerudiswa nyuma siku moja ili kuruhusu wenyeji kufungua pazia hilo. Tarehe ya ufunguzi wa mashindano hayo ilipaswa kuwa Novemba 21, 2022 huko Qatar siku ya Jumatatu, kungekuwa na mchezo kati ya Senegal dhidi ya Uholanzi. Baada ya maombi kutoka kwa wenyeji Qatar…

SITA WACHAGULIWA KAMATI YA MASHINDANO YANGA
RAIS wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said ameteua Wajumbe wa Kamati ya Mashindano Yanga Injinia ameweza kuteua kamati hiyo kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji ili kuweza kuunda kamati hiyo maalumu. Ni wajumbe 6 wametangazwa leo Agosti 10.2022 kuweza kuwa katika kamati hiyo kutimiza majukumu yao. Ni pamoja na Mustapha Himba,Lucas Mashauri,Seif Ahmed,(Magari),Pelegrius Rutayunga,Davis…

MSHAMBULIAJI WA KAZI ATAJWA KUINGIA RADA ZA YANGA
KUTOKANA na taarifa kueleza kuwa nyota wao Dario Federico yupo kwenye hesabu za kuondoka ndani ya Singida Big Stars timu hiyo imebainisha kuwa nyota huyo bado yupo ndani ya kikosi hicho. Habari zimeeleza kuwa mshambuliaji huyo ambaye amekuwa kwenye mwendo mzuri wa kufanya vizuri katika mechi za hivi karibuni yupo kwenye hesabu za Yanga. Yanga…

ARSENAL YAMSAKA WINGA KWA PAUNDI 40
KLABU ya Arsenal imetuma ofa ya Paundi milioni 40 kwa Villarreal ya nchini Hispania kwa ajili ya kuinasa saini ya winga wa klabu hiyo Yeremy Pino. Mchezaji huyo ambaye pesa yake ya kuvunja mkataba ni paundi milioni 80, pia ameripotiwa kuwa kwenye rada za Liverpool ambao nao wanatarajiwa kutuma ofa ya kumnasa winga huyo. Arsenal…

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
SIMBA KUMENYANA NA BIG BULLETS
WASHINDI namba mbili wa Tanzania kwenye Ligi Kuu Bara, Simba wataanza ugenini kumenyana na Big Bullets ya Malawi. Hiyo itakuwa ni kwenye hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayotarajiwa kuchezwa kati ya Septemba 9-11. Mshindi wa mchezo huo anaweza kukutana na mshindi wa mchezo kati ya Red Arrows ama De Agosto ya Angola….

YANGA KIMATAIFA KUANZA NA ZALAN FC
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika watamenyana na Zalan FC. Droo hiyo imepangwa leo Agosti 9 makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) nchini Misri. Mechi hizo zinatarajiwa kuchezwa kati ya Septemba 9-11 ambapo Yanga itaanzia ugenini. Mshindi wa mchezo huo ana kibarua cha kusaka ushindi kwa mshindi…

CAF KUFANYA MKUTANO WAKE ARUSHA
KESHO Agosti 10,2022 mkutano mkuu wa CAF unatarajiwa kufanyika Arusha,mahali ambapo upo mlima Kilimanjaro ambao ni namba moja kwa urefu Afrika. Mkutano huo ni wa 44 unatarajiwa kufanyika mapema asubuhi ya kesho hapo Arusha. Wiki hii Arusha itajumuisha nchi 51 ambazo zitashiriki mkutano huo wa 44 ambao ni mkubwa na utahudhuriwa na viongozi mbalimbali. Taarifa…

M BET TANZANIA YAFURAHISHWA NA TAMASHA LA SIMBA DAY
KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya M-BET Tanzania imevutiwa na kufana kwa tamasha la Klabu ya Simba (Simba Day) ambalo lilifanyika Jumatatu (Agosti 8, 2022) kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mbali ya utambulisho wa wachezaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kombe la Azam Federation na Ligi ya Mabingwa Afrika, tamasha…