
VIDEO: ISSA AZAM AMPA PONGEZI MGUNDA
SHABIKI wa Simba maarufu kwa jina la Issa Azam amempa pongezi Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kusema kuwa anafanya kazi ambayo inaonekana na hajafungwa
SHABIKI wa Simba maarufu kwa jina la Issa Azam amempa pongezi Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kusema kuwa anafanya kazi ambayo inaonekana na hajafungwa
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa Yanga ni kubwa kuliko Al Hilal, Jumamosi, Yanga itamenyana na Al Hilal, Uwanja wa Mkapa, Oktoba 8 ambapo amesema kuwa kiingilio kimeshshuwa ili kuhakikisha kila shabiki anafika kuishangilia timu hiyo
STAA wa Azam FC, Ibrahim Ajibu anaishi kwenye ulimwengu wake ndani ya kikosi hicho kwa kuwa tangu amejiunga na matajiri hao wa Dar hana uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza. Ajibu aliibuka Azam FC akitokea Simba aliahidi kuwa atafanya jitihada kutimiza majukumu yake ndani ya timu hiyo pamoja na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa makossa ambayo waliyafanya msimu uliopita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na kutolewa mapema yamewapa hasira ya kupambana kuyafuta. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga ilifungashiwa virago hatua ya awali kwa jumla ya mabao 2-0 dhidi ya Rivers United. Kaze amesema kuwa wanatambua…
AGGY Simba shabiki wa Simba amewachambua wapinzani wa Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ambao ni Al Hilal wanaonolewa na Kocha Mkuu Ibenge
HAKUNA muda wa ziada kwenye maisha ya soka kwani hata ule ambao unakuwa unaogezwa unatokana na maamuzi ya mwamuzi wa kati kuangalia namna wachezaji walivyokuwa wakipoteza muda uwanjani. Ipo hivyo kwa sasa wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano a kimataifa hawana muda wa kusema kwamba watasubiri mechi ya kwanza upindua meza hilo halipo. Unakumbuka ile Simba…
SIMBA SC yakodi dege la kishua, watatu waacha Dar, Nabi aitega Al Hilal, ndani ya Spoti Xtra, Alhamisi
SHABIKI wa Simba amemzungumzia Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe namna hii, msikilize na kumtazama
KIKOSI cha wachezaji 25 wa Azam FC wanatarajiwa kukwea pipa kesho Oktoba 6,2022 kuelekea nchini jijini Benghazi, Libya kesho Alhamisi saa 11.25 Alfajiri. Miongoni mwa mastaa watakaokuwa kwenye msafara huo ni pamoja na kipa namba moja Ali Ahmada,Lusajo Mwaikenda,Bruce Kangwa, James Akaminko. Safari hiyo ni kwa ajili ya kwenda kuikabili Al Akhdar ya Libya kwenye mchezo…
SHABIKI wa Simba amebainisha kuhusu uwezo wa Moses Phiri huku akimgusia mzungu Dejan
PRIVA ambaye kwa sasa yupo ndani ya kikosi cha Yanga amefanya uchambuzi wake kwa mara ya kwanza namna hii
ANGA la kimataifa ndani ya dakika 180 litakutana na pumzi ya moto kutoka kwa vijana wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda baada ya kuweka wazi kuwa vijana wake wapo tayari. Simba inatarajiwa kumenyana na de de Agosto na wataanzia ugenini Oktoba 9 nchini Angola kwenye mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mgunda…
VIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ikiwa ni pamoja na Tuisila Kisinda, Bernard Morrison, Jesus Moloko ni miongoni mwa nyota wanaondaliwa kwa ajili ya kuikabili Al Hilal ya Sudan. Mbali na hao pia nyota wa kazi chafu Yannnick Bangala ambaye ni kiraka naye yupo kwenye mpango kazi wa mchezo ujao unaotarajiwa kuchezwa…
TIMU ya Taifa ya Watu wenye ulemavu Tanzania (Tembo Warriors,) imefuzu kuingia katika hatua 16 bora katika mashindano ya kombe la dunia la mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu. Tanzania ilipata ushindi wake wa kwanza wakiifunga Uzbekistan mabao 2-0 huko Uturuki yanapoanyika mashindano hayo. Tembo Warriors sasa watakutana na Japan katika mchezo unaotarajiwa kuchezwa…
YANGA yamteka bosi wa Al Hilal Bongo, Simba kuwafuata Waangola kitemi, ndani ya Championi Jumatano
KOCHA mpya wa Simba Queens, Charles Ayiekoh Mbuzi ameweka wazi sababu ya kujiunga na timu hiyo. Kocha huyo ameeleza jinsi viongozi wa Simba walivyoanza mchakato wa yeye kujiunga na Simba Queens hadi akamwaga wino. “Mara baada ya mchezo wa fainali dhidi ya Simba Queens, uongozi wa Simba ulipendezwa na uwezo wangu ambapo meneja Selemani Makanya…
IKIWA Uwanja wa Highland Estate, leo Oktoba 4,2022 Klabu ya Ihefu imekusanya pointi moja kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mwambusi kwenye mechi nne mfululizo ilipoteza mechi zake na mchezo wake wa mwisho kabla ya leo ilifungwa mabao 2-1 KMC. Sare ya kufungana bao 1-1 dhidi…