
SIMBA WAKWEA PIPA KUWAFUATA WAPINZANI KIMATAIFA
MSAFARA wa wachezaji 24 wa kikosi cha Simba leo mapema Oktoba 8,2022 wamekwea pipa la kukodi kuelekea Angola. Ni kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto unaotarajiwa kuchezwa kesho, Oktoba 9, Uwanja wa Novemba 11 uliopo Angola. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye msafara huo ni kipa namba moja…