
KIMATAIFA YANGA MIKONONI MWA WAARABU
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Yanga wamepangwa kucheza na Club Africain kutoka Tunisia. Ni kwenye michezo ya mtoano kutafuta timu zitakazoingia hatua ya makundi ya michuano hiyo ambayo ni ya pili kwa ukubwa kwa ile inayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika, (Caf) Mechi ya kwanza mtoanoinatarajiwa kuchezwa Novemba 02, Uwanja wa Benjamin Mkapa na…