
LIVERPOOL WASHINDA KWA ZAWADI YA MABAO
MABAO mawili ya kujifunga kutoka kwa nyota Wout Faes yaliisaidia Liverpool kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Leicester. Ushindi huo unaifanya timu hiyo kushika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu ya England. Hii ni mechi ya kwanza ya Liverpool ikiwa Uwanja wa Anfield baada ya Kombe la Dunia na timu hiyo…