
HIKI HAPA KIKOSI CHA STARS DHIDI YA UGANDA
UWANJA wa Suez Canal huko Ismailia Misri saa 11:00 jioni Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Uganda. Huu ni mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu Afcon 2023 kikosi hiki hapa kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Dickson Job Novatus Dismas Bakari Mwamnyeto Ibrahim Bacca Himid Mao Simon Msuva Mzamiru…