Rais Samia Awapongeza Wachezaji wa Taifa Stars Baada ya AFCON-2025 – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza hafla ya kuwapongeza wanamichezo wa Tanzania waliofanya vizuri na kulitangaza Taifa katika mashindano mbalimbali ya kimataifa, hii leo Januari 10, 2026, Ikulu Dar es Salaam wakiongozwa na wachezaji wa Timu ya Taifa Stars waliofanikiwa kufika hatua ya 16 bora katika mashindano ya AFCON-2025…

Read More

Wilfred Ndidi Aahidi Kulipa Bonus Zote Za Wachezaji wa Nigeria Kabla ya Mchezo wa Robo Fainali

Nahodha wa Timu ya Taifa ya Nigeria, Wilfred Ndidi, amewaahidi wachezaji wenzake na benchi la ufundi kuwa atahakikisha bonus zote wanazodai kutoka uongozi wa juu zinatolewa kabla ya mchezo muhimu wa Robo Fainali dhidi ya Algeria utakaopigwa Jumamosi. Ndidi amewauliza wachezaji wenzake kuendelea na mazoezi ya maandalizi bila hofu yoyote, akisisitiza kwamba ikiwa bonus hizo…

Read More

Hiki hapa kikosi cha Simba SC vs Azam FC

SIMBA SC itakaribishwa na Azam FC kwenye mchezo wa NMB Mapinduzi Cup ikiwa ni hatua ya nusu fainali Januari 8,2026. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker ni Mzizima Dabi inakwenda kupigwa Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar kwa wababe wawili kusaka ushindi. Kikosi cha kwanza ni Hussen Abel, Duchu, Mligo, Chamou, De Reuck, Kante, Jean Ahoua,…

Read More