
KOCHA NAMUNGO FC AFUNGUKIA KUPOTEZA MBELE YA YANGA SC
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amefungukia ishu ya kupoteza mbele ya Yanga SC, mchezo wa ligi uliochezwa Mei 13 2025 Uwanja wa KMC Complex kwa ubao kusoma Yanga SC 3-0 Namungo FC.
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amefungukia ishu ya kupoteza mbele ya Yanga SC, mchezo wa ligi uliochezwa Mei 13 2025 Uwanja wa KMC Complex kwa ubao kusoma Yanga SC 3-0 Namungo FC.
WINGA wa Simba SC ambaye ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi hicho kinachotarajiwa kucheza mchezo wa hatua ya fainali dhidi ya RS Berkane, Mei 17 2025 anatajwa kuwa kwenye rada za Yanga SC kutokana na taarifa kueleza kuwa yupo hapo kwa mkopo. Baada ya taarifa hizo kuenea uongozi wa Simba SC umebainisha kuwa hakuna…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa umebakiwa na mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 mara baada ya kucheza dhidi ya Namungo FC, Mei 3 2025. Katika mchezo huo ambao unakuwa ni wa 27 kwa Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga 3-0 Namungo FC…
MCHEZO wa mzunguko wa pili uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Yanga SC 3-0 Namungo FC huku jasho likiwavuja wachezaji kwenye kutimiza majukumu yao. Hapa tunakuletea baadhi ya walichokifanya wachezaji wa timu zote mbili katika kutimiza majukumu yao ilikuwa namna hii:- Djigui Diarra Djigui Diara alisepa na dakika 90 na…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamekomba pointi tatu mazima kwa kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Mei 13 2025, Azam Complex. Lusajo Mwaikenda alifungua ukurasa dakika ya 6, Abdul Sopu bao la pili dakika ya 17, Gibril Sillah bao la tatu dakika ya 20, Nasor…
YANGA SC imevuna pointi sita mbele ya wapinzani wao Namungo FC kwa kupata ushindi kwenye mechi zote mbili ambazo walikutana ndani ya uwanja katika dakika 180 za kusaka pointi. Ikumbukwe kwamba Mei 13 2025 ulikuwa ni mchezo wa mzunguko wa pili baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma Yanga SC 3-0…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kadri wapinzani wao wanavyozidi kuchelewa kucheza na timu hiyo watakutana na wachezaji wakiwa kwenye ubora mkubwa zaidi ya sasa. Mchezo unaofuata kwa Simba SC kwenye ligi ni dhidi ya Yanga SC unaotarajiwa kuchezwa Juni 15 2025 baada ya Bodi ya Ligi Kuu…
Sloti ya Book of Eskimo Uwezo wako wa kuhimiri mazingira yenye baridi ndivyo unajiweka kwenye nafasi nzuri ya kukusanya pesa kila dakika, haya yote unayapata unapocheza kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Sloti ya Book of Eskimo ndani ya Kasino ya Meridianbet ni chimbo la kijanja linalotoa mkwanja kwa wachezaji wa kasino ya mtandaoni, kila muda…
Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Tukianza na LALIGA leo hii kuna mitanange ya maana itaendelea ambapo Girona baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo hii atakuwa ugenini kusaka ushindi…
Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Ramadhan Missiru kujihusisha na masuala ya mpira wa miguu ndani na nje ya nchi kwa kipindi cha miaka 6 na kulipa faini ya Tsh milioni tano baada ya kutiwa hatiani kwa…
MECHI za Ligi Kuu Tanzania Bara zinatarajiwa kuendelea ambapo ni mzunguko wa pili leo Mei 13 2025 kuna timu zitakuwa uwanjani katika msako wa pointi tatu muhimu. Wakati Mei 12 2025, ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 0-1 Mashujaa FC, Tanzania Prisons 2-1 Coastal Union, kuna mwendelezo mwingine itakuwa leo. Ratiba ipo namna…
BAADA ya kupoteza mchezo wa mzunguko wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ambayo ni namba nne kwa ubora uliochezwa Novemba 30 2024 ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukasoma Namungo 0-2 Yanga SC, Namungo FC wameweka wazi kuwa watawakabili wapinzani wao kwa mbinu tofauti kupata matokeo chanya, Mei 13 2025, Namungo FC inatarajiwa kushuka Uwanja wa…
KIPA namba moja wa Simba SC Moussa Camara kwenye mechi nne ambazo amekaa langoni ndani ya Mei katunguliwa mabao matatu akiruhusu bao moja kwenye mechi tatu akikwama kusepa na clean sheet katika mchezo dhidi ya Pamba Jiji dakika ya 86 huku mbele ya KMC dakika ya 6 na Mashujaa dakika ya 6. Joshua Mutale kiungo…
MILOUD Hamdi, Kocha Mkuu wa Yanga SC amesema kuwa wapo madhubuti kuwakabili wapinzani wao Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili 2024/25. Ni mchezo wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuchezwa Mei 13 2025, Uwanja wa KMC Complex saa 10:15 kwa wanaume 22 kupambania pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Novemba…
Wapenzi wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…
UONGOZI wa KMC FC umebainisha kuwa bahati ilikuwa upande wao Simba SC kupata matokeo kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Mei 8 2025 wakipoteza pointi tatu. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa KMC Complex ulisoma KMC FC 1-2 Simba SC, mabao yalifungwa na Rashid Chambo dakika ya 8 kwa upande wa KMC huku yale…
BAADA ya Kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo kupokelewa sokoni kwa mikono miwili kikiingia kwenye orodha ya vitabu vilivyokubalika ndani ya Septemba kuna kazi mpya nyingine inakuja kutoka kwa mtunzi chipukizi ambaye yupo kwenye mikono ya Mtunzi bora wa muda wote Eric Shigongo. Ikumbukwe kwamba Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ilizinduliwa Septemba 24 2024…