Meridianbet Yaendelea na Moyo wa Ukarimu: Yatoa Msaada Kwa Kituo cha Urekebishaji MRC

Meridianbet wameonyesha tena moyo wa huruma kwa kutoa msaada wa mahitaji muhimu kwa kituo cha MRC Rehabilitation Centre kilichopo Dar es Salaam. Hatua hii imeonyesha jinsi kampuni hiyo inavyoweka mbele ustawi wa jamii kama sehemu muhimu ya utendaji wake wa kila siku. Msaada huo ulihusisha bidhaa mbalimbali kama vyakula, sabuni, mafuta ya kupikia na bidhaa…

Read More

Yanga SC kufanya usajili wa mshambuliaji wa kazi

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves inatajwa kwamba wapo sokoni kutafuta mshambuliaji mwingine wa kazi. Katika eneo la ushambuliaji ni Andy Boyel, Prince Dube hawa wamekuwa wakipata nafasi ya kuanza huku Clement Mzize akiwa nje ya uwanja kutokana na maumivu ya goti. Licha ya timu hiyo…

Read More

Meridianbet Yazindua Slotopia — Ulimwengu Mpya wa Burudani na Ushindi wa Kasino Mtandaoni!

Meridianbet wanazidi kuwapendelea wapenzi wa kasino mtandaoni. Sasa wamekuja na mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino, Slotopia, anayebeba msisimko na burudani isiyo na kifani. Sasa kila mzunguko unaocheza kwenye Meridianbet inaweza kuwa fursa ya kushinda, kufurahia, na kuingia kwenye ulimwengu wa burudani ya kisasa ya kasino. Slotopia inakuletea mkusanyiko wa michezo ya kisasa yenye…

Read More

Steven Mukwala mambo bado Simba SC

Steven Mukwala msimu wa 2025/26 mambo bado magumu kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kukwama kufungua akaunti ya mabao. Ipo wazi kwamba Mukwala hajawa katika ubora ambao unahitajika kutokana na kukosa nafasi za kufunga anapopata nafasi kwenye mechi za ushindani. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Novemba 8,2025…

Read More

Waamuzi Waondolewa Kwa Kutafsiri Vibaya Sheria za Mchezo

Mwamuzi wa kati, Amina Kyando kutoka Morogoro na mwamuzi msaidizi namba mbili (2), Abdalah Bakenga kutoka Kigoma wameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu na kushindwa kuchukua hatua kwa vitendo vya ukiukwaji wa sheria za mpira kwenye mchezo wa Ligi Kuu kati ya…

Read More

Azam FC hawataki utani wapya watano wanahitajika

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani msimu wa 2025/26 ambapo inatajwa kuwa katika dirisha dogo maboresho makubwa yatafanyika kwenye timu hiyo. Mchezo uliopita Azam FC ilikuwa ugenini kwenye ligi na ubao ulisoma Namungo FC 1-1 Azam FC. Timu hiyo pia imetinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika hivyo ina kazi kubwa katika mechi…

Read More