
STARAIKA MPYA YANGA MAYELE MTUPU,SIFA 5 ZA KIPA SIMBA
STRAIKA mpya Yanga SC Mayele mtupu, kocha Yanga ataja sifa tano za kipa Mbrazil ndani ya Spoti Xtra Jumanne nakala yake ni 800 na kuna zawadi za kutosha
STRAIKA mpya Yanga SC Mayele mtupu, kocha Yanga ataja sifa tano za kipa Mbrazil ndani ya Spoti Xtra Jumanne nakala yake ni 800 na kuna zawadi za kutosha
IMEELEZWA kuwa nyota watatu wanatarajiwa kutambulishwa siku ya Singida Fountain Gate ikiwa ni zawadi yao kwa mashabiki msimu wa 2023/24. Taarifa zimeeleza kuwa Singida Fountain Gate ambayo imewatambulisha baadhi ya nyota wao ikiwa ni Yahya Mbegu huku ikiwaongezea mikataba Bruno Gomes, Aziz Andambwile bado haijamaliza kusajili. “Kuna wachezaji watatu ambao hawajatajwa popote kwa sasa hao…
CEDRICK Kaze aliyekuwa kocha msaidizi wa Yanga kwa sasa atakuwa Kocha Mkuu Namungo FC. Kaze alipewa mkono wa asante ndani ya Yanga baada ya msimu wa 2022/23 kugota mwisho. Sasa anaibukia ndani ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara hivyo atakuwa na nafasi ya kukutana na waajiri wake wa zamani Yanga kwenye mechi za ushindani….
RASMI Simba SC imefikia makubaliano na Klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumuuza mchezaji Pape Sakho. Kiungo huyo ni miongoni mwa viungo bora wenye mambo mengi ndani ya uwanja akiwa na mtindo wa ushangiliaji wa kunyunyiza. Moja ya mabao aliyofunga ndani ya Simba ilikuwa dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya…
MIPANGO mikubwa ndani ya Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara inaendelea ikiwa ni pamoja na siku maalumu ya utambulisho wa wachezaji wao pamoja na benchi la ufundi. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 ilikuwa inaitwa Singida Big Stars na ilikuwa inatumia Uwanja wa Liti kwa mechi za nyumbani. Msimu wa 2023/24 itakuwa ni Singida Fountain…
JULAI 23 rasmi kipa Jefferson Luis Szerban de Oliveira alitambulishwa ndani ya Simba na yupo kambini Uturuki akiwa na wachezaji wengine na kufanya chama la Simba kuwa kamili gado. Ipo wazi kuwa msimu wa 2022/23 Simba walikuwa mashuhuda wa mataji yote yakienda kwa watani zao wajadi Yanga. Yanga ilitwaa taji la Ngao ya Jamii, Kombe…
MAXI: Yanga tulieni, bado sijachanganya, Luis apewa masharti mazito Simba ndani ya Championi Jumatatu
UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa utafanya kwenye anga la kitaifa na kimataifa kutokana na mipango makini iliyopo ndani ya timu hiyo inayodhamiwaniwa na SportPesa Tanzania. Singida Fountain Gate ni miongoni mwa timu zitakazoiwakilisha Tanzania kwenye mechi za kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne. Singida…
RASMI Klabu ya Simba imetangaza nyota Jefferson Luis raia wa Brazil kuwa kipa mpya ndani ya timu hiyo. Kipa huyo ni nyota wa 10 kusajiliwa ndani ya Simba ambayo imeweka kambi Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24. Alikuwa anacheza Klabu ya Resende FC ya Serie D ya Brazil na msimu uliopita alicheza…
MWALIMU Yanga amemchambua nyota mpya wa Yanga Maxi ambaye ameonekana kuwa nyota wa mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs. Katika kilele cha SportPesa Wiki ya Mwananchi Julai 22 Maxi aliupiga mwingi ndani ya dakika 45 na ubao ukasoma Yanga 1-0 Kaizer Chiefs ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki.
SKUDU ana balaa aiteka shoo, usiyempenda kaja ndani ya Spoti Xtra Jumapili
HATIMAE SportPesa Wiki ya Mwananchi 2023 imeenda na kweli imekuwa hivyo kwa namna ambavyo walikuwa wamepanga. Mpangilio mzima wa matukio na namna ambavyo mashabiki walijitokeza kuona burudani hizo. Hatua moja kila wakati mbali na mchezo wa kimataifa wa kirafiki ambao ulikamilika kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 1-0 Kaizez Chiefs bado kazi imeonekana….
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba Charles Ilanfya anatajwa kufikia makubaliano mazuri na Ihefu muda wowote atasaini mkataba mpya na kutangazwa. Ihefu ya Mbeya ni timu ya kwanza kuifunga Yanga kwenye ligi kwa msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba wakati rekodi ya Ihefu kuifunga Yanga inaandikwa timu ya Yanga ilikuwa imecheza mechi 49 za ushindani kwenye ligi…
MCHEZO wa kimataifa wa kirafiki kati ya Yanga dhidi ya Kaizer Chiefs umekuwa na ushindani mkubwa kwa kila timu kuonyesha ushindani. Dakika 45 zile za mwanzo ubao wa Uwanja wa Mkapa Yanga 1-0 Kaizer Chiefs. Bao la uongozi limepachikwa na mshambuliaji wa Yanga, Kennedy Musonda dakika ya 45. Musonda amepachika bao hilo akitumia pasi ya…
LEO ni leo mashabiki wa Yanga wapo ndani ya Uwanja wa Mkapa kushuhudia mastaa wao wapya na wale ambao walikuwa na kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23. Balaa la usajili Yanga bado wanaendelea nao wakishusha wachezaji wazawa na wale wa kigeni kuboresha timu hiyo iliyokuwa kwenye mwendo bora 2022/23. Hapa tunakuletea baadhi ya mastaa waliopo…
KOCHA Mkuu Youssouph Dabo wa Azam FC amesema kuwa anawapa mbinu mpya wachezaji wake zitakazowafanya wawe wakomavu wa fikira. Timu hiyo ipo kambini nchini Tunisia kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Azam FC ni mashuhuda wa taji la ubigwa wa ligi msimu wa 2022/23 likiwa ni mali ya Yanga. Katika…
BAADAE kidogo ni nadra sana kufika ila sasa hiyo ipo muda wote hivyo ni muhimu kuifanyia kazi kwa umakini mkubwa. Muda uliopo kwa sasa kwa Yanga ni kuboresha zaidi ya yale waliyofanya wakati uliopita kwenye Wiki ya Mwananchi ili izidi kuwa ya utofauti. Maandalizi kwa Yanga tangu awali yameonekana kwenda kulingana na mipango yao katika…