PHIRI: TUNAFUNZU HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Moses Phiri ametamba kuwa kikosi chao kipo tayari kwa ajii ya mchezo wa marudiano dhidi ya Power Dynamos, huku akitamba kuwa Simba itaibuka na ushindi na kufuzu makundi ya mashindano hayo. Simba leo Jumapili watakuwa wenyeji wa Dynamos katika mchezo ambao unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar. Ni…

Read More

REKODI MPYA KWA YANGA KIMATAIFA

HATIMAYE Yanga imetinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupita miaka 25. Ushindi wa bao 1-0 Al Merrikh, Uwanja wa Azam Complex umewapa tiketi ya kuvunja rekodi hiyo. Bao la mzawa Clement Mzize dakika ya 66 limetosha kuwapa ushindi Yanga kwenye mchezo wa nyumbani. Ni ushindi wa jumla ya mabao 3-0…

Read More

MWAMBA AJAZWA UPEPO SIMBA ATUMA UJUMBE KWA WAZAMBIA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewaambia washambuliaji wake wakiongozwa na Jean Baleke kutumia vyema kila nafasi watakayoipata ili wapate bao la mapema ndani ya dakika 10 kuwavuruga wapinzani wao Power Dynamos ya nchini Zambia. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana leo Jumapili saa 10 kamili jioni kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamanzi jijini Dar….

Read More

YANGA YAVUNJA REKODI YAKE KIMATAIFA

YANGA imetinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi wa bao 1-0 Al Merreikh. Ni bao la Clement Mzize ambaye ni mzawa alipachika bao hilo dakika ya 66. Jumla Yanga imefunga mabao 3-0 baada ya ule wa ugenini kupata ushindi wa mabao 2-0. Miguel Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga amevunja rekodi ya…

Read More

SIMBA KWENYE KAZI NZITO KIMATAIFA, MABAO YA KIDEO TATIZO

KAZI ni nzito kwa wachezaji wa Simba kusaka ushindi mbele ya Power Dynamos katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Oktoba Mosi. Ikiwa wachezaji wataingia uwanjani kutafuta mabao ya kideo itawagharimu na safari ya kutinga hatua ya makundi itagotea hapo. Hasara kubwa kwa Simba kutokana na uwekezaji katika usajili msimu wa 2023/24 hasara kwa Taifa…

Read More

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI WAPINZANI WAO KIMATAIFA

KIUNGO mkabaji, Mganda, Khalid Aucho na mshambuliaji, Mzambia, Kennedy Musonda wote wa Yanga wamesema kuwa wapo fiti tayari kuwavaa wapinzani wao Al Merrikh ya nchini Sudan. Timu hizo zitavaana katika mchezo wa marudiano wa kufuzu makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaochezwa leo saa moja kamili usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar. Katika mchezo…

Read More

ASTON VILA YAICHAPA BRIGHTON

NDANI ya dakika 26 Brighton imeshuhudia ikitunguliwa mabao matatu dhidi ya Aston Villa. Baada ya dakika 90 kukamilika ubao wa Uwanja wa Villa Park umesoma Aston Villa 6- 1 Brighton. Ni Ollie Watkins amepachika hat trick kwa mabao ya dakika ya 14, 21, 64, Pervis Estupinan alipachika bao dakika ya 26. Jacob Ramsey ni dakika…

Read More

NYOTA SIMBA ASHUSHA PRESHA, YUPO FITI KWA KAZI

KIUNGO wa Simba raia wa Ivory Coast, Aubin Kramo amerejea nchini akitokea nyumbani kwao kwa ajili ya matibabu na sasa anaendelea vizuri akisubiria taratibu za kurejea uwanjani kuipambania timu yake. Kiungo huyo wiki moja iliyopita aliomba ruhusa kwa uongozi wa Simba ili arejee nyumbani kwao kwa ajili ya kwenda kujiuguza majeraha yake ya goti ambayo…

Read More

YANGA YAFUTA MATOKEO YA KIMATAIFA, KAZI AZAM COMPLEX

BENCHI la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa ushindi wa mabao 0-2 waliopata dhidi ya Al Merrikh, Waarabu wa Sudan wameyafuta yote na akili zao ni kupata ushindi kàtika mchezo wa leo. Chini ya Miguel Gamondi kikosi cha Yanga kinatarajiwa kutupa kete yake ya pili kàtika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa leo…

Read More

KIMATAIFA MALIZIENI MKIA KWA UMAKINI

WIKI ya kutambua mbivu na mbichi kwenye anga la kimataifa hii hapa imefika ambapo kila mmoja atavuna kile ambacho atakipanda ndani ya dakika 90. Yale majigambo ya nje ya uwanja muda wake unakwenda kugota mwisho kwani ipo wazi kuwa hakuna marefu yasiyokuwa nan cha. Muda huu uliobaki kwa wawakilishi wetu kimataifa ni kuchanga karata kwa…

Read More

HAWA HAPA WALIOPIGA HAT TRICK KWA HARAKA ZAIDI

KUFUNGA mabao matatu ‘hat trick’ ndani ya mchezo mmoja sio kitu rahisi. Washambuliaji wengi wamekuwa na ndoto ya kufanikisha hilo na wengine hadi wanastaafu wanakuwa hawajafanikiwa kutimiza. Premier League ni kati ya ligi zinazofuatiliwa kwa kiasi kikubwa ulimwenguni. Hii imepelekea klabu za huko kusajili wachezaji wazuri hususan washambuliaji wenye uwezo mkubwa kucheka na nyavu kila…

Read More

MWAMBA HUYU SIMBA KUWAPA TABU KWELIKWELI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa nyota wao Fabrince Ngoma bado anajitafuta licha ya kuonyesha uwezo kwenye mechi za ligi ambazo alipata nafasi ya kucheza. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mechi tatu kacheza akikomba dakika 225, katupia bao moja ilikuwa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu. Wachezaji wa Simba, Oktoba Mosi…

Read More