MATOLA:WACHEZAJI WANAFURAHIA MAZOEZI,KESHO TENA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wachezaji wamezidi kuyafurahia mazoezi ambayo wanayafanya nchini Misri na wanapiga hatua kila wakati. Kikosi hicho kwa sasa kipo nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuanza Agosti. Matola amesema:”Kila kitu kinakwenda sawa na wachezaji wanayafurahia mazoezi kwa sasa ambayo tunayafanya na tulianza…

Read More

YACOUBA APELEKWA TUNISIA

YACOUBA Songne, mshambuliaji wa kikosi cha Yanga raia wa Burkina Faso, amepelekwa nchini Tunisia kwa ajili ya matibabu kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting. Songne anaesumbuliwa na jeraha la goti huenda akawa nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi mitatu kutokana na ukubwa wa jeraha hilo. Kwenye mchezo…

Read More

KIMATAIFA SIMBA YAPIGA MASHUTI 20

NYOTA wa Simba wanaonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi mbele ya USGN rekodi zinaonyesha kwamba walipiga mashuti 20 langoni kwa wapinzani wao. Haikuwa kazi rahisi kwa Simba kuweza kufanikisha lengo lao kwa kuwa kipindi cha kwanza safu ya ushambuliaji ilikosa umakini ndani ya dakika 45 licha…

Read More

NABI KUIBUKIA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kufikia makubaliano ya kutoongeza mkataba ñdani ya Yanga, Nasreddine Nabi anatajwa kuwa katika hesabu za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Dili la Nabi lilikuwa linagota ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa 2022/23. Nabi amekiongoza kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 kwa mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,…

Read More

SIMBA NDANI YA MWANZA KUIVUTIA KASI GEITA GOLD

KIKOSI cha Simba kina kazi ya kusaka ushindi Desemba 18,2022 Uwanja wa CCM Kirumba mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold. Mchezo huo ni wa kwanza kwa mzunguko wa pili kwa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Mapema leo Desemba 16 kikosi hicho kimewasili Mwanza kwa ajili ya maandalizi ya mwisho…

Read More

AJIBU AFUNGA BAO LA AJABU KINOMANOMA

MSIMU wa 2023/24 bao la ajabu na nzuri limefungwa ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba ni Yanga wanatetea taji la ubingwa baada ya kutwaa msimu wa 2022/23. Coastal Union ya Tanga ni mashuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa na msimu huu wameanza kwa kupoteza mchezo wa kwanza na ule wa…

Read More

ARSENAL YAMPIGA MTU MKONO LIGI KUU

Gabriel ‘Jesus’ amefunga magoli mawili wakati Washika Mitutu Arsenal wakiendelea kuweka hai matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushusha kipigo cha 5-1 dhidi ya Crystal Palace ikiwa ni ushindi wao mkubwa zaidi msimu huu. Arsenal imefikisha pointi 33 baada ya mechi 17 huku wakiendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa…

Read More

AZAM FC KUFANYA KITU KIMATAIFA

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa kwenye anga la kimataifa wanaimani watafanya kitu kikubwa ambacho kitawashangaza wengi ambao hawana imani na timu hiyo. Ipo wazi kwamba Azam FC itapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa baada ya kugotea nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 69. Hasheem Ibwe, Ofisa Habari wa…

Read More

INONGA KWENYE ULIMWENGU WAKE SIMBA

HENOCK Inonga katika Ligi Kuu Bara sio chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Abdelhakh Benchikha kwa kuwa anatumia muda mwingi nje ya uwanja. Beki huyo yupo kwenye ulimwengu wake mwenyewe kutoakana na kutokuwa kwenye ubora wake katika mechi ambazo wanacheza msimu huu. Msimu wa 2023/24 umekuwa ni mbaya kwake baada ya kuumia katika mchezo wa…

Read More