Matokeo ya Ligi Kuu: Wolves 2–1 Liverpool, Everton 2–0 Burnley

Liverpool, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England, wamekubali kichapo cha 2-1 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo uliochezwa kwenye dimba la Molineux. Matokeo ya Mchezo Wolverhampton 2–1 Liverpool 78’ ⚽ Gomes (Wolves) 83’ ⚽ Salah (Liverpool) 90+4’ ⚽ Andre (Wolves) Liverpool walijaribu kurekebisha matokeo kupitia bao la Mohamed Salah, lakini Wolves walithibitisha ushindi wao na…

Read More

FIFA Yapendekeza Kadi Nyekundu Kwa Wachezaji Wanaofunika Midomo

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amependekeza kwamba wachezaji wanaofunika midomo yao wakati wa mabishano uwanjani wapewe kadi nyekundu moja kwa moja. Kauli hii inatokana na hofu kwamba tabia hiyo inaweza kuashiria kauli zisizofaa, hasa zinazohusiana na ubaguzi wa rangi. Pendekezo la Infantino limekuja baada ya tukio lililomkumba nyota wa Real Madrid, Vinicius Junior kibaguzi na…

Read More

Pata Uchambuzi wa Michezo na Fursa za Ubashiri Kupitia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua mambo mbalimbali yanayoendelea ya kimichezo, kasino, usajili, matokeo, na kupata fursa za kubashiri mechi mbalimbali. Kupitia Kampuni hii kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet…

Read More