Simba SC wana msongo wa mawazo kisa kichapo
Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kwa sasa kikosi hicho kinakabiliwa na presha kubwa na msongo wa mawazo. Sababu kubwa inayofanya hayo yote ni kufuatia mzigo wa matokeo mabaya katika mechi 6 zilizopita za Kariakoo Dabi. Kwenye mechi hizo Simba SC ilipoteza na kipigo kikubwa Novemba 5,2023 baada ya…