
VIDEO: HAWA HAPA WAPINZANI WA YANGA CHEKI WALIVYOTUA
WAPINZANI wa Yanga kimataifa ni Al Hilal tayari kwa sasa wapo Bongo cheki namna walivyotua kutoka kwenye Air Tanzania
WAPINZANI wa Yanga kimataifa ni Al Hilal tayari kwa sasa wapo Bongo cheki namna walivyotua kutoka kwenye Air Tanzania
NYOTA Maxi Nzengeli ndani ya kikosi cha Yanga ni ngoma nzito kutokana na uwezo wake wa kufunga na kutengeneza nafasi kwenye mechi za kitaifa na kimataifa. Nzengeli anayevaa uzi namba 7 mgongoni huku mtindo wake unaomtambulisha ukiwa ni ule wa kuchomekaa jezi rekodi zinaonyesha kuwa bao lake la kwanza akiwa na uzi wa Yanga alipachika…
PILATO wa mchezo wa Desemba 11 ambao ni mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Simba v Yanga ni kiboko kwa kuwa kwenye mechi zote ambazo alihusika kwenye orodha ya waamuzi ilikuwa ni lazima jitu lipasuke. Kwa msimu wa 2021/22, Elly Sasii ambaye ameteuliwa kuwa mwamuzi wa kati ameweza kuwa kwenye orodha za waamuzi katika mechi…
MECHI ambazo zimebaki kwa wawakilishi wa kimataifa zote ni muhimu kushinda kufufua matumaini ya kutinga hatua ya makundi licha ya ugumu uliopo. Kikubwa kwenye mechi za hatua ya makundi ni kuhakisha kwamba hakuna ambaye ataleta utani kwenye mechi ambazo zitachezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mechi mbili ambazo zinamaana kubwa kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye anga…
Promosheni Kabambe ya Endorphina Kuutafuta utajiri ni rahisi sana kama ukiichagua kasino ya mtandaoni ya Meridianbet kwa sababu kila siku wanakuja na promosheni za kibabe kwaajili yako. Ukiweka kando michezo ya kubashiri soka, kuna bonasi na machaguo kibao. Hivyo saka utajiri kwa kucheza kasino ya mtandaoni kila siku na ujiweke kwenye nafasi ya kushinda mgao…
Simba hi FA’ Masihara nini,Real Bamako kazi wanayo ndani ya Championi Jumatano.
Akisoma Bajeti ya Fedha 2024/25 Waziri Wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba amethibitisha kutumika kwa VAR kwenye Ligi kuu lakini pia ameomba kusiwepo na Kodi Kwa vifaa vya VAR.
MOHAMED Salah raia wa Misri, mshambuliaji wa Liverpool hana jambo dogo akiwa uwanjani kwa kuwa amekuwa ni mtu wa kazikazi. Rekodi zinaonyesha kuwa amecheza jumla ya mechi 162 na ni mechi 155 alianza kwenye kikosi cha kwanza. Katika mechi hizo jumla ya mechi saba alifanyiwa mabadiliko kutokana na sababu mbalimbali. Akiwa ametupia mabao 110 ni…
NIZAR Khalfan, kocha msaidizi wa Singida Fountain Gate ameweka wazi kuwa hawatakubali kupoteza kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya Azam FC, unaotarajiwa kuchezwa leo Januari 8 2024. Ikumbukwe kwamba mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo ilikuwa ni robo fainali kwa wababe hawa wanaokutana kwa mara nyingine ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Azam…
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukutana leo na uongozi wa Simba ili kuweza kuzungumza kuhusu mwendo wake ndani ya kikosi hicho. Kocha huyo baada ya kurithi mikoba ya Didier Gomes malengo yote ambayo alikabidhiwa na timu yameyeyuka jumlajumla jambo linalofanya nafasi yake kuwa kwenye wakati mgumu. Moja ya malengo ilikuwa ni kutetea mataji yaliyokuwa…
CHUMA cha kazi mlangoni Simba, Luis aikubali ofa nono Yanga SC ndani ya Championi Jumamosi
MCHEZO wa kirafiki kati ya Yanga v Mbuni kwa sasa ni mapumziko Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Mchezaji wa Mbuni Hussein Idd ameonyeshwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza baada ya kumchezea faulo mchezaji wa Yanga David Bryson. Kiungo mshambuliaji Dickosn Ambundo alifanya jaribio la kwanza na matata kwa upande wa Yanga lakini liliokolewa na kipa…
Kombe la UEFA Europa League ni zito kuliko makombe yote ya UEFA yenye madini fedha licha ya kutokuwa na thamani kubwa sana, tofauti na vikombe vingine vinavyotolewa katika mashindano ya klabu barani Ulaya. Wiki hii kuna odds kubwa za mechi kubwa za Europa kama vile Atalanta vs Sporting Lisbon nk. Kombe hilo hukabidhiwa kwa timu…
KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka taji la ligi kuu msimu huu. Moloko ambaye ameanza mazoezi na timu hiyo, anadai kuwa alikuwa anajisikia vibaya kuwa nje ya timu kwa sababu ya majeraha kwa kuwa mara zote amekuwa na kiu ya kutaka…
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa ametoa wito kwa makampuni mbalimbali kuiga mfano wa Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Ameyasema hayo wakati akiongoza zoezi la Usafi katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo kwa kushirikiana na Kampuni ya Meridianbet Tanzania kama vile maeneo ya kituo cha daladala cha Kivukoni Feri. Katika zoezi hilo la kuweka mazingira…
NYOTA wa Yanga, Mudathir Yahya ameweka rekodi yake ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi
Meridianbet kampuni ya kwanza ya ubashiri Tanzania, leo hii inatoa pesa kibao endapo ukiweka dau lako dogo na kuanza kubashiri nao kwani kama jana hukuweza kupiga mpunga basi nafasi yako ipo leo. Ingia meridianbet na ubashiri sasa. Darubini yangu ilianza kumulika ligi ya Uhispania, LALIGA ambapo Real Madrid atamualika UD Almeria ambaye mechi iliyopita alitoa…