NSUE ANAPIGA HESABU ZA UFUNGAJI BORA AFCON

MSHAMBULIAJI wa Equatorial Guinea, Emilio Nsue ametamba kuwa sasa anatamani kuwa mfungaji bora wa mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) ikiwa ni baada ya kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika mchezo wao dhidi ya Guinea Bissau. Nsue Alhamisi aliweka rekodi ya kipekee katika mashindano ya AFCON yanayoendelea nchini Ivory Coast baada ya kufunga mabao…

Read More

MWAMBA ALIYETAKIWA YANGA KAMWAGA WINO HUKU

SIMON Msuva winga mzawa ambaye yupo na timu ya Tanzania, Taifa Stars, Ivory Coast kwenye Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) amesaini dili la miaka miwili Klabu ya Cape Town City ya Afrika Kusini. Nyota huyo aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Yanga ambapo alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za kurejeshwa hapo kwa mara nyingine tena….

Read More

STAY AWAY FROM THE SUN

UNAWEZA kushangaa kuwa Jua ni tatizo hapa Ivory Coast? Ngoja nikukumbushe kile kisa cha AFCON ya Cameroon. Kama unamkumbuka mwamuzi Janny Sikazwe katika mechi ya Mali dhidi ya Tunisia, alizua mjadala kumaliza mechi kabla ya muda na match kamishna akamtaka kurejea kumalizia zile dk 5, akaanzisha tena mchezo na baada ya hapo akapelekwa hospitali. Ishu…

Read More

BETPAWA YANOGESHA AFCON KWA KUTOA ZAWADI

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya betPawa imenogesha fainali ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayoendelea nchini Ivory Coast kwa kumwaga zawadi mbalimbali kwa mashabiki. Kampuni hiyo kwa sasa inaendesha kampeni “Soka Live na betPawa” ambapo mbali ya kuwakutanisha mashabiki kuangalia mpira pamoja, pia uwazawadia zawadi mbalimbali kama jezi, mabegi, mipira, vikombe, chupa za maji na…

Read More

VISA ZAIDI YA 10 KWENYE GANZI YA MAUMIVU VILITOKEA

IKUFIKIE popote ulipo kwamba kwenye simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyokuwa ikiandikwa ndani ya Championi Jumatano kuna visa zaidi ya 10 ambavyo vilitokea katika maisha ya kila siku. Ikumbukwe kwamba simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo inaingia kwenye orodha ya simulizi bora zilizopata nafasi ya kuchapishwa ndani ya gazeti la Championi Jumatano…

Read More

SIMBA YAPIGA MKWARAMZITO

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amepiga mkwara mzito kwa kusema kuwa washambuliaji waliosajiliwa watafunga mabao mengi kwelikweli. Ipo wazi kwamba Simba imeachana na Moses Phiri na mshambuliaji wao namba moja Jean Baleke kwenye dirisha dogo la usajili. Nyota wapya waliosajiliwa kwa upande wa ushambuliaji ni Pa Jobe na Fred Michael….

Read More

TAIFA STARS NA MATUMAINI AFCON

NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva amesema kuwa bado wana nafasi ya kufuzu hatua ya makundi kwenye Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) nchini Ivory Coast licha ya kete ya kwanza kutokuwa na matokeo mazuri kwa Tanzania. Ipo wazi kwamba katika mchezo wa kwanza uliochezwa Januari 17 ilikuwa Morocco 3-0 Tanzania waliomtungua Aishi…

Read More

SITA HAWATAKUWA NDANI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE

MASTAA sita wamekutanana mkono wa asante ndani ya kikosi cha Singida Fountain Gate inayotumia Uwanja wa Liti kwa mechi zake za nyumbani. Timu hiyo ilishiriki Mapinduzi 2024 na ikagotea hatua ya nusu fainali ilipofungashiwa virago na Simba kwa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Miongoni mwa nyota…

Read More

HAYA NI MAAJABU YA MPIRA NA MABINGWA

HESABU kubwa zinahitajika kwenye msako wa ushindi kwa kila timu kuwa na mpango kazi wake ndani ya uwanja kusepa na ushindi, hivyo tu basi. Mapinduzi 2024 ilikuwa ni moto wa kuotea mbali huku hesabu zikiwa kubwa kwa kila timu kuingia na mpango kazi wake kusepa na ushindi. Hapa tunakuletea namna hesabu zilivyokuwa na kujibu kwa…

Read More

Jaguar Treasures Kasino Ushindia x3,000

Wakati unawaza kutembelea sehemu mbalimbali duniani kama vile kwenda Vakesheni Dubai, Uturuki na Paris kwenye Jiji la bata, nakupa chaka jingine ambalo watu wengi hawalijui na ukiwa huko utafurahi sana huku unapiga pesa tu. Piramidi zinatambulika zaidi huko Misri, lakini pia umekutana nazo mara nyingi kwenye sloti zinazoakisi makabila ya India. Mara hii tunakupeleka mpaka…

Read More

KISA MASTRAIKA WAPYA, KIGOGO SIMBA NYODO TUPU

AHMED Ally ambaye Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, anatamani Mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon) yamalizike hata leo ili waanze kuona ubora wa washambuliaji wao wapya waliowasajili juzi kabla ya dirisha dogo kufungwa la msimu huu. Simba juzi iliwatangaza washambuliaji wawili Fredy Michael Koublane na Pa Omar Jobe ambao wametambulishwa saa chache…

Read More