ISHU YA SAIDO KUBAKI SIMBA IPO HIVI…

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mualgeria Abdelhak Benchikha ndiye aliyenusuru panga la kiungo wake mshambuliaji, Said Ntibanzokiza ‘Saido’ kuendelea kubakia Msimbazi. Awali kiungo huyo alikuwepo katika mipango ya kuachwa katika usajili huu wa dirisha uliofungwa jana saa 5:59 usiku, baada ya kuwepo mvutano wa kimaslahi ya mkataba. Kiungo huyo aligomea kusaini mkataba wa mwaka…

Read More

NYOTA HUYU ALITAKIWA NDANI YA SIMBA

KIUNGO Maarouf Tchakei inaelezwa kuwa alikuwa anapigiwa hesabu na mabosi wa Simba ambao walikuwa wanahitaji saini yake. Abdelhak Benchikha, kocha mkuu wa Simba alikuwa anatajwa kwamba alikuwa anakubali uwezo wa kiungo huyo baada yà kumuona katika Mapinduzi Cup 2024 akiwa na Singida Fountain Gate. Licha ya mabosi Simba kupeleka ofa kuhitaji saini yake walipishana nayo…

Read More

HIVI HAPA VYUMA VIPYA SIMBA NA YANGA

YANGA na Simba kwenye dirisha dogo la usajili zimeongeza wachezaji wapya na wengine wakikutana na Thank You ili wakapate changamoto mpya katika nyingine. Ipo wazi kuwa miongoni mwa wachezaji waliosajiliwa Simba ni pamoja na washambuliaji na viungo kama ilivyo kwa Yanga ambao nao pia wameongeza viungo na mshambuliaji.

Read More

WANANCHI CHUKUENI TAHADHARI DHIDI YA RED EYES

Wizara ya afya imewaasa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa macho mekundu (Red eyes) Maambukizi ya Kirusi kwenye ngozi ya juu ya gololi ya jicho yajulikanayo kitaalamu “Viral Keratoconjunctivitis” iliyoibuka nchini hivi karibuni.Hayo yamesemwa leo Januari 15, 2024 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Wizara ya Afya Prof Pascal Ruggajo kwa niaba ya Mganga Mkuu…

Read More

MAOKOTO YA AFCON, FA, COPA DEL REY & KASINO WIKI HII

Mashindano ya Mataifa ya Afrika AFCON yamenoga huko nchini Ivory Coast, leo Tanzania itasimama kushuhudia wajukuu wa Nyerere wakiwa kwenye dimba lenye jina la gwiji wa nchi hiyo Laurent Pokou, watakipiga dhidi ya Morocco ambapo Taifa Stars wamepewa odds kubwa ya 14.7 Historia inaonesha nchi ya Mapharao wenye utajiri wa mafuta, vipaji vya soka, maandiko…

Read More

ISHU YA BALEKE NA PHIRI ITASEPA NA MTU

WAKATI miamba wawili Jean Baleke na Moses Phiri wakikutana na Thank You ndani ya Simba wanatajwa kuwa sababu ya Abdelhak Benchikha kocha wa Simba kuongeza nafasi ya kufungashiwa virago ikiwa nyota wapya watashindwa kufanya vizuri. Phiri kwenye ligi katupia mabao matatu huku Baleke akitupia mabao 8 katika Mapinduzi 2024 kila mmoja alitupia bao mojamoja. Wengine…

Read More

MALI YAFANYA KWELI DIARAA AKIWA LANGONI

KOMBE la Mataifa Afrika, (AFCON) uhondo unazidi kuwa mkali kwa kuwa kila timu inaonyesha uwezo wake ndani ya dakika 90 kusaka ushindi. Miongoni mwa timu zilizoanza kwa ushindi ni Mali ambapo kipa aliyeanza langoni ni Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja wa Yanga. Katika mchezo uliochezwa Januari 16 baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More

TAIFA STARS KAZINI LEO AFCON

HATIMAYE baada ya Januari 13 2024 kazi kuanza kufanyika Ivory Coast kwenye mashindano makubwa barani Afrika, Kombe la Mataifa Afrika maarufu kama AFCON leo ni zamu ya Tanzania kutupa kete yake ya kusaka ushindi. Kuelekea kwenye mchezo huo kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania, Hemed Morocco amesema kuwa wachezaji wapo tayari kupambana na…

Read More

WANAANZA MAISHA MAPYA SEHEMU NYINGINE TENA

USAJILI wa dirisha dogo Januari 15 usiku ulifungwa ambapo timu kadhaa zimetambulisha nyota wao wapya kwa ajili ya kuwa ndani ya changamoto mpya msimu wa 2023/24. Hapa tunakuletea baadhi ya nyota waliotambulishwa ndani ya timu shiriki Ligi Kuu Bara namna hii:- Geita Gold Erick Mwijage kutoka West Armenia. Mtibwa Sugar Jimmyson Mwanuke alikuwa ndani ya…

Read More

MSHAMBULIAJI WA KAZI NI MNYAMA

RASMI nyota  Freddy Michael Kouablan ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba atakuwa kwenye changamoto mpya baada ya kusaini dili la miaka miwili. Kouablan raia wa Ivory Coast ana miaka 26. Alikuwa ndani ya Klabu ya Ligi kuu ya Zambia ya Green Eagles. Rekodi zinaonyesha kuwa mshambuliaji huyo wa kazi ni mabao 14 na pasi…

Read More

FUNGA KAZI YA YANGA HUYU HAPA MSHAMBULIAJI

MWAMBA huyu hapa mshambuliaji wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni ingizo jipya katika dirisha dogo. Anaitwa Joseph Guede raia wa Ivory Coast ambapo kafunga dirisha la usajili kwa upande wa Yanga katika dirisha dogo. Yeye ni mshambuliaji wa Kati anakuja kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya Yanga. Wakati anaingia mwamba…

Read More