Home Sports AZAM FC WAMESHUSHA KITASA CHA KAZI Sports AZAM FC WAMESHUSHA KITASA CHA KAZI January 18, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MATAJIRI wa Dar Azam FC wamefanya usajili wa kazikazi kwa kumtambulisha kitasa wa kazi ambaye ni beki mwenye uwezo wa kufunga pia.Hivyo mzunguko wa pili unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote shiriki ndani ya Ligi Kuu Bara.