Home Sports AZAM FC WAMESHUSHA KITASA CHA KAZI

AZAM FC WAMESHUSHA KITASA CHA KAZI

MATAJIRI wa Dar Azam FC wamefanya usajili wa kazikazi kwa kumtambulisha kitasa wa kazi ambaye ni beki mwenye uwezo wa kufunga pia.Hivyo mzunguko wa pili unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote shiriki ndani ya Ligi Kuu Bara.

Previous articleTAIFA STARS IMEANZA KWA MWENDO HUU, KAZI BADO INAENDELEA
Next articleKAZI KUBWA INAHITAJIKA KUFANYIKA KWA TANZANIA