Home Sports AMEJITWISHA MZIGO MZITO YANGA MWAMBA PACOME Sports AMEJITWISHA MZIGO MZITO YANGA MWAMBA PACOME January 16, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MWAMBA Pacome kiungo wa Yanga amejitwisha mzigo mzito kwa ajili ya kuhakikisha kwamba anafanya vizuri kwenye mechi za kitaifa na kimataifa ndani ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi.