GEITA GOLD YAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA SIMBA

DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa CCM Kirumba kwa timu zote kugawana pointi mojamoja za ligi. Ni bao la George Mpole dk ya 20 na Kibu Dennis dk ya 27 kwa pasi ya Rally Bwalya kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa ni wazi kwamba kila timu ilikuwa na nafasi ya kushinda. Sasa Mpole anafikisha mabao 14…

Read More

KUPIGANA UWANJANI NI USHAMBA, MUDA WAKE UMEISHA

JUMA lililopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Ihefu FC kuna kipande cha video kilisambaa kikionyesha kundi la mashabiki wa Simba wakimshushia kichapo shabiki aliyefahamika kuwa ni wa Yanga kutokana na rangi ya mavazi yake. Vitendo hivi kuna nyakati vilishamiri na tulipaza sauti vikapotea lakini hivi sasa vinaonekana kurejea tena kwa…

Read More

HAWA HAPA WAPINZANI WA SIMBA KOMBE LA SHIRIKISHO

KWENYE droo ya Azam Sports Federation raundi ya pili ambayo imechezwa leo Novemba 30,2022 Simba imewatambua wapinzani wake. Ni kikosi cha Eagle kitapambana na Simba kusaka ushindi kwenye mchezo wao huo ujao. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kati ya Desemba 9-11, 2022 ambapo Simba waliweka wazi kuwa wanahitaji kutwaa taji hilo. Mabingwa watetezi wa taji hilo…

Read More

MASHINE MPYA YANGA YAIPIGIA HESABU SIMBA

IKIWA ni mara ya kwanza amecheza mechi akiwa na Yanga kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni, beki Mzanzibar, Ibrahim Bacca, amesema kuwa amekuja Yanga ili kuweza kutimiza majukumu ya kusaka ubingwa. Kwa sasa ubingwa wa ligi upo mikononi mwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Bacca amesema kuwa ni fahari kwake kucheza ndani…

Read More

AZIZ KI BALAA ZITO YANGA

MWAMBA Aziz Ki ana balaa ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kuzidi kuwa imara katika uwanja kila wakati. Rekodi zinaonyesha kuwa amefunga jumla ya mabao 30 ndani ya ligi tangu alipotua Yanga msimu wa 2022/23 na sasa ni 2023/24. Ni mabao 9 alifunga msimu wake wa kwanza na msimu wa 2023/24 katupia mabao 21…

Read More

BAO LA FEI KWA SIMBA THAMANI YA BILIONI

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesesema kuwa bao alilofuga Feisal Salum mbele ya Simba ni la viwango vikubwa na thamani yake ni bilioni. Feisal alifunga bao hilo kwenye mchezo wa nusu fainali dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba na kuwaondoa Simba kwenye hatua ya nusu fainali. Manara amesema halikuwa bao jepesi kwa…

Read More

CHAMA AKUBALI KUREJEA SIMBA

ALIYEKUWA kiungo wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, amebainisha kwamba, yupo tayari kurudi katika kikosi hicho endapo atatakiwa kufanya hivyo.Chama aliyecheza Simba kwa misimu mitatu kuanzia 2018 hadi 2021, msimu huu amejiunga na RS Berkane ya Morocco.   Akiwa Simba, kiungo huyo alipata mafanikio makubwa ikiwemo kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 na kiungo bora 2020/21. Simba msimu huu imeanza kwa kasi ya kawaida huku kati ya upungufu ambao umekuwa ukibainishwa ni kukosekana kwa Chama na Luis Miquissone ambao waliondoka mwishoni mwa msimu uliopita.   Akizungumzia uwezekano wa kurudi Simba, Chama…

Read More

HUYU HAPA KUPEWA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA

WAKIWA na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Raja Casablanca mikoba ya nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein Zimbwe Jr inatarajiwa kuwa mikononi mwa Gadiel Michael. Zimbwe atakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi kwa timu hizo mbili ambazo zimetinga hatua ya…

Read More

KIMATAIFA YANGA NA SIMBA MAMBO MAGUMU/ WAAMUZI HESABU

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba na Yanga mambo ni magumu kwenye anga la kimataifa kutokana na kushindwa kufanya vizuri kwenye mechi zao tatu katika hatua ya makundi. Timu zote mbili zina pointi mbili baada ya kucheza mechi tatu ndani ya dakika 270 hivyo kuna kazi kubwa kwa wawakilishi hawa wote kufanya…

Read More

KOCHA WA MANULA APATA DILI AFRIKA KUSINI

SIMBA ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya wa makipa baada ya Tyron Damons kupata dili jipya nchini Afrika Kusini. Taarifa rasmi kutoka Simba imeeleza kuwa kwa hatua ambayo wamefikia wanamshukuru kocha huyo hivyo watasaka mbadala wake kwa ajili ya kuwa kwenye kikosi hicho.  “Klabu ya Simba inamtakia kila la heri kocha wa magoli kipa…

Read More

MKWARA WA SIMBA ISHU YA CHAMA UPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeibuka baada ya kukamilisha suala la kiungo wake Mzambia, Clatous Chama aliyegomea kambi ya nchini Uturuki kwa kutamka kuwa hawakuwa na hofu ya nyota huyo kutimka kikosini mwao. Hiyo ikiwa ni saa chache tangu kiungo huyo afikie makubaliano na klabu na kukubali kujiunga na kambi hiyo ya maandalizi ya msimu ujao iliyopo…

Read More