AZAM FC YABADILI MUELEKEO, KOCHA AFICHUA SIRI

BAADA ya kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Mbeya, Uwanja wa Sokoine Kocha Mkuu wa Azam FC Rachid Taoussi amefichua kuwa walibadili muelekeo kulingana na mchezo husika na kupata matokeo kama ambavyo walifanya vizuri mazoezini. Oktoba 18 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine ulisoma Tanzania Prisons 0-2 Azam FC…

Read More

NADO NI MKALI AKITOKEA BENCHI

NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, ‘Nado’ ni mkali wa kucheka na nyavu kwenye mechi za ligi akitokea benchi. Nyota huyo rekodi zinaonyesha kuwa ameanza kikosi cha kwanza mechi nne ilikuwa dhidi ya Ruvu Shooting,Dodoma Jiji,Mbeya City na KMC. Kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union,Novemba 27,2022 ubao wa Azam Complex uliposoma Azam FC 3-2 Coastal…

Read More

IVORY COAST NI DARASA TUJIFUNZE

KAMA ungekuwa hapa Abidjan ungeweza kunielewa, hakika ni zaidi ya msiba. Nilifika hapa kutokea San Pedro kwa nia ya kuwaona wenyeji lakini wametolewa. Wakati tukiingia Abidjan, bendera na jezi za wenyeji zilitamba kila sehemu na ilionekana kupoteza haikuwasumbua au kuwakatisha tamaa. Wamepoteza kwa mabao manne na kutolewa, hakika ni zaidi ya MSIBA na ukiwaona walivyo…

Read More

PABLO APEWA JUKUMU HILI SIMBA

IKIWA kwa sasa harakati za usajili wa dirisha dogo limeanza,mabosi wa Simba wameamua kumuachia jukumu la kupendekeza  Kocha Mkuu wa Simba Pablo Franco wa kuweza kupendekeza maeneo anayohitaji waweze kuyaboresha. Taarifa kutoka benchi la ufundi wa Simba zimeeleza kuwa kwa sasa hakuna mapendekezo ambayo yametolewa lakini viongozi wanasubiri taarifa kutoka kwa Pablo ili waweze kufanya…

Read More

PENALTY ZINAENDELEA KUWAPA WATU MAISHA

Penalty tu zinaendelea kuwapa watu maisha kwani kupitia mchezo wa Beach Penalties watu wanashinda maokoto ya kutosha, Ambapo ni ufanisi wako tu katika kupiga penalty na kufunga ndio kunakupa mkwanja. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilioni kupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More

MASTAA HAWA SIMBA OUT KUIKOSA NAMUNGO

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Mwenge saa 10:00 jioni kuna mastaa wa Simba zaidi ya wawili ambao wataukosa mchezo huo kutokana na kutokuwa fiti. Ikumbukwe kwamba Jean Ahoua, Yusuph Kagoma na Abdulazack Hamza ambayr ni beki  hawa wote walikosekana mchezo dhidi ya Tanzania Prisons, Uwanja wa Sokoine walipata…

Read More

WAPENI FURAHA WATANZANIA TAIFA STARS

KAZI kubwa inapaswa kufanyika leo kwa ajili ya kuiandaa kesho nzuri na inawezekana licha ya ugumu kuwa mkubwa kila wakati kutokana na timu zote kujipanga kupata ushindi hakuna namna ni muda wa kupambania malengo. Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jukumu lenu ni moja kusaka ushindi kwenye mechi ambazo mtashuka uwanjani kwa…

Read More

SIMBA MATUMAINI KIBAO LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Ndoto ya kucheza nusu fainali ya ligi ya mabingwa Afrika ni ndoto ambayo klabu ya Simba wamekua wakiiota kila siku, Lakini ilionekana kuingia wasiwasi kutokana na mwanzo wao katika michuano hiyo msimu huu. Baada ya ushindi wa mabao mawili kwa bila walioupata katika uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumanne umeibua matumaini upya kwa klabu…

Read More

SIMBA QUEENS/JKT QUEENS ZAPETA LIGI YA WANAWAKE

WASHINDANI wawili ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania kila mmoja kwa wakati wakati kapeta kwa kukomba pointi tatu uwanjani. Ni JKT Queens 6-0 Baobab Queens mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania. Amina Bilal, Jackline, Donisia Minja na Stumai Abdallah huyu katupia hat trick. Kwenye mchezo mwingine ambao ulikuwa unafuatiliwa kwa ukaribu ilikuwa ni ule…

Read More

U 17 WAMEANZA MWENDO,WAUNGWE MKONO

HATUA moja kila wakati tunaona kwa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya Miaka 17 kwa namna ambavyo wanafanya vizuri kwenye mechi za kuwania Kufuzu Tiketi ya Kombe la Dunia. Pongezi kwa Serengeti Girls baada ya kuweza kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Burundi mchezo uliochezwa Uwanja wa Urukundo,Ngozi nchini Burundi. Haukuwa mchezo mwepesi…

Read More