WIKENDI IMERUDI, PESA NJE NJE KWA MECHI KIBAO

Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi siku ya leo unaweza kuondoka ukifurahia maokoto ya maana kwani ligi mbalimbali zimerejea. Tandika jamvi lako sasa. Tengeneza jamvi lako na mechi za LIGUE 1 ambapo PSG atamkaribisha kwake Toulouse ambao wapo nafasi ya 10 wakiwa na pointi zao 15, huku mara ya mwisho kukutana Paris alipoteza. Ikumbukwe…

Read More

BEKI WA KAZI KIMENYA KUIKOSA AZAM FC

TANZANIA Prisons ikiwa imecheza jumla ya mechi 12 ndani ya Ligi Kuu Bara na kukusanya pointi 11 leo ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC. Azam FC ipo nafasi ya 5 imecheza mechi 12 na kibindoni ina pointi 18. Beki wa kazi chafu mwenye uwezo wa kupanda na kushuka, Salum Kimenya ataukosa…

Read More

RONALDO :KUKOSOLEWA NI SEHEMU YA KAZI

MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Cristiano Ronaldo amebainisha kwamba kukosolewa ni sehemu ya kazi jambo ambalo yeye hana mashaka nalo katika maisha yake ya kila siku. Nyota huyo amewapuuza wale ambao wamekuwa wakimkosoa kwa kudai kuwa amekuwa akilala vizuri licha ya mwendo mbovu wa matokea wa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England. Ronaldo aliiongoza timu hiyo…

Read More

VIDEO:WASIOMTAKA KOCHA SIMBA WAAMBIWA WASEPE

MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Bongo Kisungu ameweka wazi kuwa waleambao wanahitaji kuona Kocha Mkuu wa Simba Roberto Oliveira akifungashiwa virago waondoke. Kumekuwa na presha kubwa kutoka kwa mashabiki ambao wamekuwa wakihitaji kuona kocha huyo anaondoka kwa kuwa timu inashinda huku wao wakiwa hawana furaha.

Read More

MWAMBA HUYU KUCHUKUA MIKOBA YA SAKHO SIMBA

 JEAN Morel Poé,anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Klabu ya Simba wakiangalia uwezekano wa kumsajili endapo tu Pape Ousmanne Sakho atauzwa kwenda Wydad Casablanca ya Morocco inayomuhitaji baada ya kumuwekea ofa ya shilingi bilioni 1.6.  Sakho ambaye baada ya kushinda Tuzo ya Bao Bora la Mwaka CAF vigogo kibao wameanza kumnyemelea, Simba hawakutaka kuchelewesha,…

Read More

MO AWEKA MEZANI ZAIDI YA 500M

Kuelekea mchezo huo, unaambiwa wachezaji wa Simba wamechachamaa wakiitaka shilingi milioni 500 walizoahidiwa na Rais wa Heshima wa Klabu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’ akiwataka kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Al Ahly ya Misri. Chanzo chetu kutoka Simba, kimeliambia Spoti Xtra kwamba, kabla ya Simba kuanza safari kuelekea Misri, Mo alikutana na wachezaji vyumbani kwenye Dimba…

Read More

AUBA KUIBUKIA PSG

PSG wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kuiwinda saini ya mshambuliaji wa Chelsea, Pierre Emerick Aubameyang. Ripoti kutoka Ufaransa zimeeleza habari hiyo kuhusu dili la staa huyo wa Chelsea. Auba alijiunga na Chelsea akitokea Barcelona kwa dili la pauni milioni 10 na amefunga mabao mawili kwenye mechi nne. Inaelezwa kuwa Auba yupo tayari kurejea Ufaransa kucheza…

Read More