FEISAL ANAOMBA MCHANGO

ANAANDIKA Feisal Salum namna hii:-“Ndugu zangu Watanzania na familia yote ya soka kwa Bara na visiwani. Mimi kijana wenu ambaye kwa miaka yote nimekua na nidhamu nje na ndani ya uwanja na kwa dhati nimeitumikia Klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania na Zanzibar Heros. “Utiifu wangu umekua shubiri ya maisha yangu ya…

Read More

RUVU SHOOTING DARASA KWE WENGINE

HESABU za kwenye Ligi Kuu Bara kwa sasa zimeshafungwa kwa baadhi ya timu kutokana na kuvuna kile ambacho wamekipanda, Yanga ni mabingwa wa ligi na wametinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation. Ni dhidi ya Singida Big Stars walipenya kwenye nusu fainali na sasa watakwenda kumenyana na Azam FC, Mkwakwani Tanga. Ruvu Shooting ya…

Read More

HII NDIYO TIMU ATAKAYOCHEZA FEI TOTO

INAELEZWA kuwa uongozi wa Yanga umeanza mazungumzo na Klabu ya Sekhukhume ya Afrika Kusini ili kufikia makubaliano ya kumuuza Feisal Salim. Kiungo huyo mali ya Yanga yupo kwenye mvutano na mabosi wa timu hiyo ambayo Mei 28 itacheza fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria. Taarifa zumeeleza kuwa…

Read More

WINGA HUYU AINGIA ANGA ZA SIMBA

IMEELEZWA kuwa winga Leandre Onana mwenye miaka 23 mali ya Rayon Sports ya Rwanda yupo kwenye hesabu za mabosi wa Simba. Timu hiyo imekosa taji la Ligi Kuu Bara ambao upo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Nyota huyo ni winga ametupia mabao 15 na pasi 10 za mabao ametoa ndani ya…

Read More

BEKI HUYU AINGIA ANGA ZA MSIMBAZI

NICKSON Kibabage nyota wa Singida Big Stars anatajwa kuwa katika rada za Simba. Beki huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Hans Pluijm ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Ni mabao manne ametupia ndani ya ligi Kati ya 32 yaliyofungwa na timu hiyo iliyo nafasi ya nne na pointi 51. Akiwa ndani…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA KWENYE HESABU ZA SIMBA

THIERRY Manzi raia wa Rwanda anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Simba imepishana na ubingwa ambao upo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Yanga pia imetinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation iliposhinda mbele ya Singida Big…

Read More

SINGIDA BIG STARS YAIPIGIA HESABU YANGA

UONGOZI wa Singida Big Stars umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation dhidi ya Yanga. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lite, Mei 21 na mshindi wa mchezo huo atatinga hatua ya fainali. Ni Azam FC itakuwa inawatazama wababe hawa wawili kujua nani atacheza naye hatua ya…

Read More

SIMBA INA KAZI KUBWA KUBORESHA KILA IDARA

KWA msimu wa 2022/23 Simba imefeli kwenye kila kitu lakini wachezaji wake wamefaulu kwenye kutengeneza namba nzuri ambazo hazijawa msaada kwa Simba. Ipo wazi kuwa mchezaji mmoja anashinda mchezo na timu inashinda taji imekuwa hivyo kwa Yanga ambao wameshinda taji la Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Simba imegotea nafasi ya pili ikiwa na pointi…

Read More

HONGERENI YANGA, KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

YALE ambayo yalipangwa kwa kila mmoja kwenye msimu wa 2022/23 taratibu wengine wameshakamilisha na wengine bado wanasubiri mpaka mwisho. Ruvu Shooting ni mwendo wameumaliza kwenye mechi za ligi baada ya kushuka ndani ya ligi na sasa wanaibukia Championship. Wale ambao wamekwama kufikia malengo yao wakiwa wanasubiria mechi mbili za mwisho ni lazima wapambane kufikia malengo…

Read More

HAPA NDIPO ANGUKO LA SIMBA LILIPOANZIA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa makosa makubwa ambayo yamefanya anguko kwenye timu hiyo hajaanza leo bali miaka miwili nyuma. Msimu huu Simba imepoteza matumaini ya kutwaa taji la ligi linalotetewa na Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 71. Leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ruvu Shooting mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

KIPA SIMBA ASEPA NA MKWANJA

KIPA namba tatu wa Simba, Ally Salim amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) mwezi Aprili, 2023. Kipa huyo amekuwa chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba kwenye mechi za hivi karibuni baada ya kipa namba moja Aishi Manula kupata maumivu. Salim alikaa langoni kwenye…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kuwa mechi tatu zilizobaki watacheza kwa umakini kupata pointi tatu. Timu hiyo ipo nafasi ya 8 ikiwa imekusanya pointi 33 huku vinara wa ligi wakiwa ni Yanga wenye pointi 71. Zote zimebakiza mechi tatu mechi ijayo kwa Yanga ni dhidi ya Dodoma Jiji na kwa Ihefu ni dhidi ya Coastal…

Read More

YANGA MGUU MMOJA FAINALI KIMATAIFA

YANGA imetanguliza mguu mmoja hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 Marumo Gallants. Kipindi cha pili Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi amekamilisha kufunga hesabu kwa nyota wake kupachika mabao. Ni Aziz KI kiungo wa Yanga alianza kutupia bao la ufunguzi dakika ya 63 kwa shuti akiwa ndani ya 18 na lile la pili ni mali ya…

Read More