PETER Banda kiungo wa Simba ni miongoni mwa wale watakaonza leo Juni 6,2023 kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons.
Ni mchezo wa mzunguko wa pili ikiwa ni mzunguko wa pili.
Banda hajawa kwenye ubora msimu huu kutokana na kupambania afya yake muda mrefu.
Ni shuhuda wa watani zao wa jadi Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23.