HAALAND AKOMBA TUZO

STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland Alhamisi aliendelea kula matunda ya kazi yake nzuri ambayo aliifanya msimu uliopita akiwa na kikosi hicho baada ya kufanikiwa kubeba tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa Uefa. Haaland ambaye alifunga mabao 36 kwenye Premier msimu uliopita alibeba tuzo hiyo kwenye hafla ya upangaji wa makundi wa Ligi ya…

Read More

TFF YATOA UFAFANUZI KUHUSU WAZIRI WA MICHEZO NDUMBARO

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa taarifa kuhusiana na taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro alifungiwa na shirikisho hilo kujihusisha na masuala ya michezo. Taarifa iliyotolewa na TFF kupitia kwa Afisa Habari na Mawasiliano, Cliford Ndimbo, imeeleza kuwa Ndumbaro alifungiwa kutojihusisha na masuala…

Read More

MASHINDANO YA AFL KUFANYIKA OKTOBA, UZINDUZI WA KIHISTORIA

MASHINDANO ya klabu bora barani Afrika, African Footal League , (AFL) yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 2023, uzinduzi wake wake unatarajiwa kufanyika Dar, Tanzania. Ni mechi ya kwanza inatarajiwa kuchezwa Dar Oktoba 20,2023 ikiwa ni fursa kwa wachezaji bora Afrika kuonyesha uwezo wao kwenye ulimwengu wa michezo duniani. Mashindano hayo yanatarajiwa kuanzia katika hatia ya robo fainali…

Read More

GAMONDI KWENYE VIATU VYA NABI

TARATIBU Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza kuwa kwenye viatu vya Nasreddine Nabi kutokana na mbinu zake kuwa kwenye mrandano wa Nasreddine Nabi aliyewahi kuwa kocha wa Yanga. Nabi alikuwa imara kwenye mbinu za kubadili mchezo kwa kutumia wachezaji walioanza kusugua benchi na walipoingia waliwapa tabasamu mashabiki na wachezaji kiujumla. Ikumbukwe kwamba katika mchezo…

Read More

NMB YADHAMINI MASHINDANO YA GOFU

BENKI ya NMB Tanzania imeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kuendelea kuwa karibu na Watanzania wengi zaidi wameamua kuendeleza mpango wao wa kudhamini mashindano ya Gofu Tanzania. Taarifa kutoka NMB imeeleza kuwa kwa kutambua umuhimu wa michezo kwenye jamii, NMB inaendelea kuwa wadhamini wakuu wa mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi kwa mwaka 2023….

Read More

YANGA YAJA NA HESABU NYINGINE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa mchezo wa mpira unahitaji mabao jambo ambalo wamelifanyia kazi. Kesho Agosti 20, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya ASAS Djibouti katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo hata ule wa pili utachezwa pia Jumapili…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KINAREJEA UPYA

BAADA ya kungoja kwa muda hatimaye kesho ukurasa mpya wa msimu wa 2023/24 unafunguliwa kwa mechi za moto mkali ambazo zitakuwa ni tatu kwa kuchezwa viwanja tofauti. Ikumbumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi ni Yanga ambao walikuwa na kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Yanga ni mashuhuda Agosti 13 Ngao ya Jamii ikielekea…

Read More

NDONDO CUP YAFIKA 16 BORA

BAADA ya kivumbi kutimka hatua za makundi mashindano ya Ndondo Cup hatimaye 16 bora imepatikana na inatarajiwa kuanza Agosti 12-16 na viwanja viwili vitatumika ikiwa ni Uwanja wa Kinesi na Bandari. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yanaratibiwa na Chama cha Soka wilaya ya Ubungo. Katibu wa chama cha soka wilaya ya Ubungo, Hassan Bakari  amesema:”Kwa…

Read More

WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA SIO KINYONGE

KLABU ya Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ina kibarua cha kuipeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa. Ni katika Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga itakuwa na kazi ya kupeperusha bendera ya Tanzania. Katika hatua ya awali Yanga inatarajiwa kumenyana na Association Sportive d’Ali Sabieh Djibouti Télécom ambayo haipo kinyonge uwanjani. Wapinzani wa…

Read More

AIR MANULA MDOGOMDOGO ANAREJEA

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa namba moja wa Simba taratibu anazidi kurejea kwenye uimara wake baada ya kuwa kwenye mwendelezo wa matiabu ya afya yake. Ikumbukwe kwamba kipa huyo ni chaguo namba moja la Kocha Mkuu, Roberto oliveira hakuwa sehemu ya kikosi kilichocheza Kariakoo Dabi ya mzunguko wa pili ni mikono ya kipa namba tatu…

Read More

ISHU YA CHAMA, FEI TOTO NI MVURUGANO TUPU

“TUNA mikataba na bado tunahangaika. Suala la Clatous Chama limeniacha hoi. Mikataba ni kama vile haina maana Bongo. How? Tumeambiwa Chama ataenda Uturuki. Safi. Amesaini mkataba mpya? Hapana, kumbe alikuwa na mkataba. “Alitaka kuboreshewa maslahi yake. Walikuwa na makubaliano ya mdomo au katika vipengele vya mkataba? Kama kuna kiongozi mmoja alikuwa kando anavuta fegi akamwambia…

Read More

MUDA WA MALENGO KUANZA KUWA WAZI NI SASA

KUJENGA wazo la kuanza nalo mwanzo ni muhimu kwa kuwa litatoa picha kamili ya kile ambacho utakifanyia kazi wakati ujao. Hilo ni muhimu ikitokea wazo litakuwa la kawaida hata matokeo pia yatakuwa ya kawaida lakini kama wazo litakuwa kubwa ambalo linakuogopesha litaleta matokeo mazuri. Kila mmoja kwa sasa yupo kwenye mipango ya kujenga timu kwa…

Read More

ALIYEWATUNGUA SIMBA KUIBUKIA IHEFU

NYOTA wa Coastal Union mwenye rekodi ya kuwatungua kwa pigo la penalti Simba msimu wa 2022/23 anatajwa kuibukia ndani ya Ihefu ya Mbeya. Ni Yanga ambao ni mabingwa hawajafungwa kwa penalti kwa kuwa katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar Djigui Diarra wa Yanga aliokoa hatari hiyo. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mabao 17 iliyofungwa ni bao…

Read More

BUKU YAMPA MAMILIONI SHABIKI WA YANGA

SHABIKI wa timu ya Yanga na Manchester United Ezekiel Mwang’onda (34) amesema ndoto yake ya miaka saba katika kubashiri imekuwa kweli baada ya kushinda kitita cha Shilingi Milioni 234,272,830 kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania. Mwang’onda ambaye ni mjasiriamali ameshinda mamilioni baada ya kubashiri kwa usahihi jumla…

Read More