AZAM FC HAWAPOI

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa kikubwa ambacho wachezaji wake wanatakiwa kukifanya ikiwa ni pamoja na kiungo Feisal Salum, mshambuliaji Prince Dube ni kujitoa muda wote kutafuta ushindi. Timu hiyo maskani yake ni Dar inatumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zake za nyumbani. Kwenye ligi baada ya kucheza mechi mbili ni…

Read More

SHABIKI YANGA AKOMBA MKWANJA MREFU NA M-BET

SHABIKI wa Klabu ya Yanga Paulo  Martin ameshinda  Sh120,989,610 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya M-Bet. Martin ni mjasiriamali alikabidhiwa fedha zake na Mkurugenzi wa Masoko wa  M-Bet Tanzania, Allen Mushi katika hafla fupi iliyofanyika hivi karibuni Dar. Mushi alisema kuwa Martin anaungana na washindi wengine…

Read More

HIKI HAPA KINACHOMBEBA JEZI NAMBA SABA WA YANGA

NYOTA wa Yanga, Maxi Nzengeli amesema kuwa kinachombeba ndani ya kikosi hicho kuwa kwenye ubora ni ushirikiano ambao anapata kutoka kwa wachezaji pamoja na benchi la ufundi. Ndani ya kikosi cha Yanga yeye anavaa jezi namba saba mgongoni akiwa na uwezo wa kupanda na kushuka kwenye kutimiza majukumu yake. Nzengeli amepenya kikosi cha kwanza chini…

Read More

UKUBWA WA SIMBA UMESHAFAHAMIKA

INAKUJA African Super League ambayo itashirikisha timu kubwa nane tu za Afrika kutoka katika kila ukanda wa bara hilo. Upande wa Afrika Mashariki, kigogo wa ukanda wetu ni Simba ambao ndio wanawakilisha ukanda wote. Simba ndio timu kubwa na maarufu zaidi katika ukanda wa Cecafa na hasa unapozungumzia masuala yanayohusu Shirikisho la Soka Afrika na…

Read More

HAALAND AKOMBA TUZO

STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland Alhamisi aliendelea kula matunda ya kazi yake nzuri ambayo aliifanya msimu uliopita akiwa na kikosi hicho baada ya kufanikiwa kubeba tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa Uefa. Haaland ambaye alifunga mabao 36 kwenye Premier msimu uliopita alibeba tuzo hiyo kwenye hafla ya upangaji wa makundi wa Ligi ya…

Read More

TFF YATOA UFAFANUZI KUHUSU WAZIRI WA MICHEZO NDUMBARO

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa taarifa kuhusiana na taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro alifungiwa na shirikisho hilo kujihusisha na masuala ya michezo. Taarifa iliyotolewa na TFF kupitia kwa Afisa Habari na Mawasiliano, Cliford Ndimbo, imeeleza kuwa Ndumbaro alifungiwa kutojihusisha na masuala…

Read More

MASHINDANO YA AFL KUFANYIKA OKTOBA, UZINDUZI WA KIHISTORIA

MASHINDANO ya klabu bora barani Afrika, African Footal League , (AFL) yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 2023, uzinduzi wake wake unatarajiwa kufanyika Dar, Tanzania. Ni mechi ya kwanza inatarajiwa kuchezwa Dar Oktoba 20,2023 ikiwa ni fursa kwa wachezaji bora Afrika kuonyesha uwezo wao kwenye ulimwengu wa michezo duniani. Mashindano hayo yanatarajiwa kuanzia katika hatia ya robo fainali…

Read More

GAMONDI KWENYE VIATU VYA NABI

TARATIBU Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza kuwa kwenye viatu vya Nasreddine Nabi kutokana na mbinu zake kuwa kwenye mrandano wa Nasreddine Nabi aliyewahi kuwa kocha wa Yanga. Nabi alikuwa imara kwenye mbinu za kubadili mchezo kwa kutumia wachezaji walioanza kusugua benchi na walipoingia waliwapa tabasamu mashabiki na wachezaji kiujumla. Ikumbukwe kwamba katika mchezo…

Read More

NMB YADHAMINI MASHINDANO YA GOFU

BENKI ya NMB Tanzania imeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kuendelea kuwa karibu na Watanzania wengi zaidi wameamua kuendeleza mpango wao wa kudhamini mashindano ya Gofu Tanzania. Taarifa kutoka NMB imeeleza kuwa kwa kutambua umuhimu wa michezo kwenye jamii, NMB inaendelea kuwa wadhamini wakuu wa mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi kwa mwaka 2023….

Read More

YANGA YAJA NA HESABU NYINGINE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa mchezo wa mpira unahitaji mabao jambo ambalo wamelifanyia kazi. Kesho Agosti 20, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya ASAS Djibouti katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo hata ule wa pili utachezwa pia Jumapili…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KINAREJEA UPYA

BAADA ya kungoja kwa muda hatimaye kesho ukurasa mpya wa msimu wa 2023/24 unafunguliwa kwa mechi za moto mkali ambazo zitakuwa ni tatu kwa kuchezwa viwanja tofauti. Ikumbumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi ni Yanga ambao walikuwa na kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Yanga ni mashuhuda Agosti 13 Ngao ya Jamii ikielekea…

Read More

NDONDO CUP YAFIKA 16 BORA

BAADA ya kivumbi kutimka hatua za makundi mashindano ya Ndondo Cup hatimaye 16 bora imepatikana na inatarajiwa kuanza Agosti 12-16 na viwanja viwili vitatumika ikiwa ni Uwanja wa Kinesi na Bandari. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yanaratibiwa na Chama cha Soka wilaya ya Ubungo. Katibu wa chama cha soka wilaya ya Ubungo, Hassan Bakari  amesema:”Kwa…

Read More