KOCHA ONGALA KAWAZIDI SIMBA NJE NDANI

MBINU za Kali Ongala muda wote zimekuwa ngumu dhidi ya Simba wanapokutana ndani ya dakika 90. Ongala dhidi ya Yanga alikwama kusepa na pointi mzunguko wa pili ila ule mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Mbele ya Singida Big Stars ugenini walipoteza kwa kufungwa bao 1-0. Ni bao moja Simba wamefanikiwa kuifunga…

Read More

MUDA HAUSUBIRI KAZI LAZIMA IENDELEE

MUDA hausubiri na kila mmoja anapambana kusaka ushindi kwenye mechi ambazo anacheza hilo ni jambo la muhimu kwa kila timu. Wachezaji wanajituma na kufanya kazi kubwa kwenye kusaka ushindi na wapo ambao wamekuwa wakionyesha uwezo mkubwa ndani ya uwanja. Kila timu ina kazi kusaka ushindi ikiwa ni kwenye mechi za lala salama kwa sasa kutokana…

Read More

MDAKA MISHALE KAWAKIMBIZA KINOMANOMA

DJIGUI Diarra, kipa namba moja wa Yanga amewakimbiza wapinzani wake wote kwenye kucheza mechi nyingi bila kufungwa ndani ya Ligi Kuu Bara. Anapambania tuzo yake ya kuwa kipa bora msimu uliopita aliyosepa nayo alipokuwa akishindana na kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula. Msimu huu wa 2022/23 Djigui ni mechi 24 kacheza kwenye ligi akisepa…

Read More

HUKU NDIKO HESABU ZA IHEFU ZILIPO

UONGOZI wa Ihefu umebainisha kuwa umeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Coastal Union. Ihefu inashikilia rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu wa 2022/23 walipokutana Uwanja wa Highland Estate mzunguko wa kwanza. Mzunguko wa pili Yanga walilipa kisasi kwa kuitungia Ihefu bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Mchezo…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC

KIKOSI cha Simba dhidi ya Azam FC, Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mchezo wa hatua ya nusu fainali Kombe la Azam Sports Federation:- Ally Salim ameanza langoni Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Yassin Jean Baleke Ntibanzokiza Kibu Dennis

Read More

MUZIKI HUU WA SIMBA KUWAVAA AZAM FC

BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa mchezo wao wa nusu fainali dhidi ya Azam FC watacheza wachezaji wote wa timu hiyo kwa kuwa wanatambua wajibu ni lazima utimizwe. Ni Yanga wenye taji hilo mkononi ambapo watacheza na Singida Big Stars hatua ya nusu fainali ya pili na mshindi atavaana na atakayepenya leo. Leo Simba…

Read More

AZAM FC YAFUNGA KAZI KUIKABILI SIMBA

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa tayari wamefunga hesabu za mchezo wao wa nusu fainali ya Kombe la Azam Sports Federatino dhidi ya Simba. Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga ambao wao watacheza na Singida Big Stars mchezo wa hatua ya nusu fainali. Mshindi wa mchezo wa leo atakutana na mshindi…

Read More

MAKIPA BONGO MAKOSA MUHIMU KUFANYIA KAZI

MAKIPA wengi wamekuwa wakiingia kwenye lawama kutokana na kufungwa mabao ambayo yanaleta maswali baada ya mchezo husika. Hii imekuwa ikiwakumba makipa wote wale wageni na hawa makipa wazawa nao wamekuwa kwenye kasumba hii jambo ambalo halipendezi. Ukweli upo wazi kwamba mpira ni mchezo wa makosa lakini yanapozidi ni muhimu kufanyia kazi na kila mmoja kutimiza…

Read More

DUBE MWAMBA KWELIKWELI UJUE

MWAMBA huyu hapa ukimuona tu uwanjani lazima kipa wa timu pinzani ajue leo kazi ninayo. Anaitwa Prince Dube mpeleka maumivu kwa Simba kwenye mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara akiwa anashikilia rekodi ya kufunga bao la mapema zaidi mbele ya Simba. Mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa uliposoma Azam 1-0 Simba mtungaji…

Read More

WAKALI WAKIWA LANGONI HAWA HAPA

MIONGONI mwa makipa ambao hawajafungwa kwenye mechi zaidi ya tano jina la Said Kipao ambaye yupo chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime jina lake pia. Anakumbuka alikuwa langoni alitunguliwa mabao matano na Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kipa huyo wa Kagera Sugar hajafungwa kwenye mechi sita ndani ya Ligi Kuu…

Read More