AFCON IPO VIZURI, MAANDALIZI MUHIMU

UWEKEZAJI mkubwa ambao unafanyika kwenye soka la Tanzania unaonekana. Kila siku milango ya fursa inazidi kufunguka, hili ni jambo kubwa ambalo linapaswa kuwa endelevu. Tumeona namna ambavyo nafasi ya dhahabu ya kuandaa AFCON 2023 ilitangazwa, nchi tatu za Afrika Mashariki kupewa jukumu hilo. Uganda, Kenya na Tanzania zina kazi ya kufanya kwa maandalizi. Hii ina…

Read More

PHIRI: TUNAFUNZU HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mzambia, Moses Phiri ametamba kuwa kikosi chao kipo tayari kwa ajii ya mchezo wa marudiano dhidi ya Power Dynamos, huku akitamba kuwa Simba itaibuka na ushindi na kufuzu makundi ya mashindano hayo. Simba leo Jumapili watakuwa wenyeji wa Dynamos katika mchezo ambao unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar. Ni…

Read More

REKODI MPYA KWA YANGA KIMATAIFA

HATIMAYE Yanga imetinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupita miaka 25. Ushindi wa bao 1-0 Al Merrikh, Uwanja wa Azam Complex umewapa tiketi ya kuvunja rekodi hiyo. Bao la mzawa Clement Mzize dakika ya 66 limetosha kuwapa ushindi Yanga kwenye mchezo wa nyumbani. Ni ushindi wa jumla ya mabao 3-0…

Read More

YANGA YAVUNJA REKODI YAKE KIMATAIFA

YANGA imetinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi wa bao 1-0 Al Merreikh. Ni bao la Clement Mzize ambaye ni mzawa alipachika bao hilo dakika ya 66. Jumla Yanga imefunga mabao 3-0 baada ya ule wa ugenini kupata ushindi wa mabao 2-0. Miguel Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga amevunja rekodi ya…

Read More

SIMBA KWENYE KAZI NZITO KIMATAIFA, MABAO YA KIDEO TATIZO

KAZI ni nzito kwa wachezaji wa Simba kusaka ushindi mbele ya Power Dynamos katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Oktoba Mosi. Ikiwa wachezaji wataingia uwanjani kutafuta mabao ya kideo itawagharimu na safari ya kutinga hatua ya makundi itagotea hapo. Hasara kubwa kwa Simba kutokana na uwekezaji katika usajili msimu wa 2023/24 hasara kwa Taifa…

Read More

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI WAPINZANI WAO KIMATAIFA

KIUNGO mkabaji, Mganda, Khalid Aucho na mshambuliaji, Mzambia, Kennedy Musonda wote wa Yanga wamesema kuwa wapo fiti tayari kuwavaa wapinzani wao Al Merrikh ya nchini Sudan. Timu hizo zitavaana katika mchezo wa marudiano wa kufuzu makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaochezwa leo saa moja kamili usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar. Katika mchezo…

Read More

YANGA YAFUTA MATOKEO YA KIMATAIFA, KAZI AZAM COMPLEX

BENCHI la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa ushindi wa mabao 0-2 waliopata dhidi ya Al Merrikh, Waarabu wa Sudan wameyafuta yote na akili zao ni kupata ushindi kàtika mchezo wa leo. Chini ya Miguel Gamondi kikosi cha Yanga kinatarajiwa kutupa kete yake ya pili kàtika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa leo…

Read More

KIMATAIFA MALIZIENI MKIA KWA UMAKINI

WIKI ya kutambua mbivu na mbichi kwenye anga la kimataifa hii hapa imefika ambapo kila mmoja atavuna kile ambacho atakipanda ndani ya dakika 90. Yale majigambo ya nje ya uwanja muda wake unakwenda kugota mwisho kwani ipo wazi kuwa hakuna marefu yasiyokuwa nan cha. Muda huu uliobaki kwa wawakilishi wetu kimataifa ni kuchanga karata kwa…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KIMATAIFA WAONGEZEWA NGUVU

WAKIWA katika maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Future, Singida Fountain Gate kutoka Tanzania wameongezewa nguvu kupitia viongozi waliofika kambini. Wawakilishi hao kwenye anga la kimataifa Oktoba Mosi watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Future. Septemba 28, 2023 ugeni kutoka kwa viongozi ikiwa ni pamoja na waziri…

Read More

HASIRA ZA KICHAPO KWA SIMBA KUWAANGUKIA TABORA UNITED

BAADA ya kupoteza kwenye mchezo wao uliopita wa ligi dhidi ya Simba hasira za Coastal Union zinahamia kwa Tabora United unaotarajiwa kuchezwa leo Septemba 29. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Coastal Union ilifungwa mabao 3-0 ikiwa ugenini dhidi ya mnyama Simba. Mabao yote ya Simba yalifungwa na Jean Baleke ikiwa ni hat trick…

Read More

SIMBA YAWAPIGIA HESABU WAZAMBIA KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema wameutumia mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union uliopigwa Alhamisi iliyopita kama sehemu ya kujiandaa na mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia. Mbali na mchezo huo pia Simba ilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Pan…

Read More

KOCHA AL MERRIKH: YANGA INAOGOPESHA

KOCHA wa Al Merrikh, Osamah Nabieh amekiri kwa kusema kuwa Yanga ni moja kati ya timu ambayo inahofiwa kwa sasa barani Afrika kulingana na kile ambacho inakionyesha ndani ya uwanja haswa kutokana na kupata matokeo mazuri na kucheza mpira mzuri. Kocha huyo anayokumbukumbu ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 wakiwa nyumbani katika mchezo wa kwanza…

Read More

VIDEO:WASIOMTAKA KOCHA SIMBA WAAMBIWA WASEPE

MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Bongo Kisungu ameweka wazi kuwa waleambao wanahitaji kuona Kocha Mkuu wa Simba Roberto Oliveira akifungashiwa virago waondoke. Kumekuwa na presha kubwa kutoka kwa mashabiki ambao wamekuwa wakihitaji kuona kocha huyo anaondoka kwa kuwa timu inashinda huku wao wakiwa hawana furaha.

Read More

AFCON 2027 KUANDALIWANA NCHI TATU, KENYA, UGANDA NA TANZANIA

RASMI mataifa matatu yataandaa mashindano makubwa Afrika ambayo ni Africa Cup. Mapema Septemba 27, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro aliongozana na ujumbe wa pamoja wa Tanzania, Uganda na Kenya ambapo walikuwa kwenye kikao cha kuwasilisha wasilisho la kuomba kuwa mwenyeji wa AFCON 2027. Kikao hicho cha CAF ExCO kilifanyika katika hotel ya…

Read More