DROO KURUDIWA 16 LIGI YA MABINGWA ULAYA

KIWA ni saa chache baada ya droo ya kupanga michezo ya hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya kufanyika, hatimaye droo hiyo imefutwa na kutangazwa kurudiwa. Hii inakuja baada ya kutokea kwa tatizo la mfumo unaochezesha droo hiyo na baadhi ya vilabu kulalamikia tatizo hilo. Awali tatizo lilianza kuonekana pale ambapo Klabu…

Read More

MAKUSU AFUNGUKIA ISHU YAKE KUIBUKIA SIMBA AMA YANGA

MSHAMBULIAJI wa zamani wa AS Vita na Orlando Pirates, Jean Marc Makusu Mundele, ameweka wazi kuvutiwa na timu za Simba na Yanga huku akiweka wazi yupo tayari kujiunga na mojawapo ya timu hizo. Makusu kwa sasa anakipiga DC Motema Pembe ya DR Congo mara baada ya kuwa na maisha magumu ndani ya Orlando Pirates. Akizungumza na Spoti Xtra moja kwa moja kutoka nchini…

Read More

ATLETICO YAFUZU UEFA, SUAREZ HAAMINI

ATLETICO Madrid imefanikiwa kufuzu kwenda hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Porto huku staa wake Luis Suarez akiwa haamini anachokiona na kumwaga machozi baada ya kuumia na kutolewa uwanjani. Atletico ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao hayo 3-1 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Do…

Read More

MKATABA WA SALAH KLOPP ANENA

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool ameweka wazi kuwa suala la mkataba wa mshambuliaji wake nyota Mohamed Salah raia wa Misri linahitaji muda. Kwa sasa kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu mkataba wa Salah ambaye amebakisha miezi 19 huku akitaka dau nono na mabosi hao wamekuwa wakionekana kuzingua kwa muda. Nyota huyo hivi karibuni akiwa nchini…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI YANGA ZAMBIA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwakutanisha mabingwa watetezi  Simba pamoja na Yanga, Desemba 11, mbinu za Pablo Franco zimeanza kutumika nchini Zambia. Simba ilikuwa huko kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Jumapili ya Desemba 5 na baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Heroes ulisoma Red Arrows…

Read More

SIMBA YAFUZU HATUA YA MAKUNDI, DILUNGA ATUPIA

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franc leo Desemba 5 kimefanikiwa kuandika historia mpya kwenye Kombe la Shirikisho baada ya kuweza kufuzu hatua ya makundi. Kwenye mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Heroes,Zambia dakika 90 zimekamilika kwa ubao kusoma Red Arrows 2-1 Simba ambapo bao la Simba lilipachikwa na kiungo mzawa Hassan Dilunga….

Read More

SIMBA HAITAKI KUTESEKA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hataki kuteseka kwa kupoteza kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Red Arrows ya Zambia ambao ni wa marudio. Mchezo huo wa Kombe la Shirikisho unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ambapo mshindi wa jumla atatinga hatua ya makundi. Simba inakumbuka kwamba mchezo wa kwanza ilishinda mabao 3-0 Uwanja…

Read More