
UNA HELA? WIKIENDI IPO BIZE KINOMANOMA
UKIWA unajua wapi unakwenda ni rahisi kufika hata ukikutana na vikwazo vingi, lakini swali la msingi kujiuliza una hela? Ijumaa ipo bize utatokaje sasa nje ama ndani? Kwenye ulimwengu wa mpira, kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa leo katika msako wa pointi tatu muhimu. Hapa tunakuletea namna msako wao utakavyokuwa:- Yanga v Singida Fountain Gate Ngoma…