UNA HELA? WIKIENDI IPO BIZE KINOMANOMA

UKIWA unajua wapi unakwenda ni rahisi kufika hata ukikutana na vikwazo vingi, lakini swali la msingi kujiuliza una hela? Ijumaa ipo bize utatokaje sasa nje ama ndani? Kwenye ulimwengu wa mpira, kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa leo katika msako wa pointi tatu muhimu. Hapa tunakuletea namna msako wao utakavyokuwa:- Yanga v Singida Fountain Gate Ngoma…

Read More

AL AHLY V SIMBA HAITAKUWA MECHI NYEPESI

BAADA ya mchezo wa ufunguzi kufanyika Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa kinachofuata kwa sasa ni mchezo wa marudiano ugenini. Ipo wazi kwamba Simba, iliandika rekodi ya kuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kucheza michuano mikubwa na mipya ya African Football League dhidi ya Al Ahly ya Misri. Haikuwa mechi nyepesi kutokana…

Read More

HAALAND NI MVUNJAVUNJA REKODI KIMATAIFA

Premier League ndio ligi yenye ushindani mkubwa duniani. Ubora wa ulinzi, ushambuliaji na karibu kila nyanja ya soka iko katika kiwango cha juu zaidi. Baadhi ya wachezaji hufanikiwa kuvuka viwango hivyo na kujikuta wakihusika katika mabao mengi (mabao&asisti). Leo tunaangalia wachezaji 10 bora wa Premier waliotoa mchango wa mabao mengi zaidi mwaka 2023. Takwimu hazihusishi…

Read More

HIZI HAPA TIMU ZENYE WASTANI MZURI WA KUFUNGA BONGO

BADO haijafahamika nani atasepa na taji la ligi kutokana na mwanzo kuwa mgumu, ushindani ukipamba moto kila idara kuanzia ile ya ushambuliaji mpaka ulinzi. Ikiwa ni mwanzo wa ligi kuna timu ambazo zina kasi kwenye utupiaji wa mabao zikiwa na wastani unaovutia kila zinaposhuka uwanjani. Nyingine bado zinajitafuta kufikia ile kasi waipendayo. Hapa tunakuletea timu…

Read More

MAKOSA YAFANYIWE KAZI KUIMARISHA STARS

DHAMIRA kubwa kwenye mechi za kirafiki ni kutambua makosa yalipo ili kuyafanyia kazi kwenye mechi zijazo. Tumeona namna wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania walivyopambana dhidi ya Sudan. Kupata sare ya kufungana bao 1-1 ugenini sio jambo la kujutia bali ni kuangalia wapi makosa yalifanyika. Kwenye safu ya ushambuliaji ni muhimu kuongeza umakini wakati…

Read More

NIDHAMU NGUZO KUBWA KWA MAFANIKIO

KAZI ni kubwa kwa timu zote kuendelea kufanyia maboresho pale penye upungufu kupitia mechi zilizopita. Tumeona namna ligi ilivyo na ushindani hii ni kubwa na inaonyesha thamani ya ligi yetu ya ndani. Jambo la msingi ni kuona kunakuwa na mwendelezo mzuri kwa mechi zinazofuata. Ushindani ambao uliopita kwenye mechi za mwanzo kabla ya ligi kusimama…

Read More

KUFUZU AFCON HAITOSHI, LAZIMA TUJIONDOE NAFASI YA KIBONDE

TAYARI kikosi cha timu yetu ya taifa, Taifa Stars kimefanikiwa kufuzu kucheza michuano mikubwa zaidi Africa maarufu kama Afcon kwa 2023. Mambo yatakuwa nchini Ivory Coast na katika kundi tulilopangwa licha ya kwamba inaonekana si uzalendo kusema lakini lazima isemwe kuwa timu inayopewa nafasi ya mwisho kabisa katika kundi hilo ni Tanzania. Yes, sisi ndio…

Read More

MAMBO NI MAGUMU KWELIKWELI

PUMZI ndefu inavutwa na kushushwa taratibu mambo yanapokuwa tofauti na vile ambavyo yalipangwa kuwa. Ngumu kuwa na furaha katika nyakati ngumu ambazo hazidumu. Kwenye ulimwengu wa msako wa pointi tatu muhimu kuna timu ambazo mwanzo wa ligi mambo yamekuwa ni magumu kwelikweli kuambulia ushindi. Hapa tunakuletea baadhi ya timu zinazopambania kombe namna hii:- Coastal Union…

Read More

KIMATAIFA MUHIMU KUANZA MAANDALIZI KWA SASA

MUDA uliopo kwa sasa ni mwendelezo wa mashindano yaliyopo mbele kitaifa na kimataifa. Ambacho kinatakiwa ni maandalizi mazuri kwa timu zote. Kila mmoja anapenda kuona matokeo yanapatika kwenye mechi zote. Iwe ni zile za kirafiki ama za ushindani muhimu ushindi kwa kuwa hapo furaha imejificha. Ni muda wa wachezaji kufanya kazi zao kwa umakini bila…

Read More

KUBEBA MATOKEO MFUKONI KUTAWAPOTEZA KIMATAIFA

KILA timu imeshatambua mpinzani wake kwenye  Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupangwa. Kila timu imetambua ni wapinzani wa aina gani ambao itakabiliana nao kwenye mechi za kimataifa. Kufika kwenye hatua hiyo ni muhimu kuwapa pongezi wahusika kwa kuwa walipambana kufikia malengo. Yanga na Simba kazi kubwa walifanya katika kupata matokeo. Kwa yaliyotokea mpaka kuwa…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO NDAI YA AZAM FC

KIUNGO mwenye kazi kubwa ndani ya Azam C kutengeneza mipango ya kusaka pointi tatu anaitwa Feisal Salum, Fei Toto. Ni mtambo wa mabao ndani ya kikosi hicho tupo naye kwenye mwendo wa data namna hii:- Mabao yake Mabao matatu dhidi ya Tabora United mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Katika mchezo huo Fei Toto alipachika…

Read More