Saleh

YANGA KUITEKA MAZEMBE

MENEJA Walter Harrison ameweka wazi kuwa watawateka wapinzani wao TP Mazembe na kuchukua pointi tatu ugenini kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Leo Yanga ikiwa inaongoza kundi D na pointi 10 baada ya kucheza mechi tano ina kete ya mwisho dhidi ya TP Mazembe mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mazembe. Ipo wazi…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR

KIKOSI cha Simba kimewasili salama Dar baada ya kutoka nchini Morocco walipokuwa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ilikuwa na kete ya mwisho ilikuwa dhidi ya Raja Casablanca ugenini na ilishuhudia ubao wa Mohamed V ukisoma Raja 3-1 Simba. Bao la Simba lilipachikwa na Jean Baleke dakika ya 48 katika mchezo ambao nahodha…

Read More

WAKONGWE WAMEGOMEA KUSTAAFU, WANAPIGA KAZI

MCHEZO wa soka la kisasa unakua kwa kasi na wanasoka wanaonekana kuwa wachanga kila wakati, lakini bado kuna nafasi kwa wahenga kuendelea kuchangia uzoefu wao. Pamoja na maendeleo ya mara kwa mara katika teknolojia na lishe, sasa imekuwa kawaida kwa wanasoka kucheza hadi mwisho wa miaka thelathini na hata hadi arobaini. Hapa kuna wachezaji ambazo…

Read More

CAF YAIPA JEURI KUBWA SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tuzo ambazo wamekomba wachezaji wake kwenye mashindano ya kimataifa yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kumewaongezea hali ya kujiamini. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira raia wa Brazil imetinga hatua ya robo fainali huku ikitunguliwa nje ndani na Raja Casabalanca. Ni Clatous Chama…

Read More

MAN CITY YAICHAPA 4G LIVERPOOL

NI Jack Grealish alifunga kamba ya mwisho dakika ya 74 dhidi ya Liverpool,Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu England. Mabao mengine ni Mali ya Ilkay Gundogan dakika ya 53 Kevin De Bruyne dakika ya 46 na Julian Alvarez dakika ya 27. Mohamed Salah huyu alikuwa nyota wa kwanza katika kufunga bao kwenye mchezo…

Read More

AZAM FC WAIVUTIA KASI MTIBWA SUGAR

BAADA ya kupoteza matumaini ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,Azam FC imehamishia nguvu zake kwenye mashindano ya Azam Sports Federation. Ni Aprili 3 itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa hatua ya robo fainali unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex.  Ofisa Habari wa Azam FC,Hasheem Ibwe alisema kuwa wanatambua…

Read More

SIMBA MBELE YA RAJA CASABLANCA WAMETUNGULIWA NJE NDANI

KWENYE hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca Klabu ya Simba imepigwa nje ndani ndani ya dakika 180. Mchezo ule uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Simba 0-3 Raja Casablanca na kuwafanya wapoteza pointi tatu mazima. Kwenye mchezo wa pili uliochezwa ugenini ubao ulisoma Raja Casablanca 3-1 Simba. Bao pekee la Simba limefungwa na Jean…

Read More

CHAMPIONSHIP KUKIWASHA LEO

MWENYEKITI   wa Mbeya Kwanza, Mohamed Mashango  ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Championship dhidi ya Green Warrior Uwanja Majimaji,Ruvuma. Mashango  amesema ” Tumejiandaa vizuri tunamshukuru Mungu kila kitu kinaendelea vizuri tumejipanga vizuri tunahitaji pointi tatu tunajua mchezo utakuwa mgumu tupo tayari kwa ajili ya kupambana . “Hali ya wachezaji kwa…

Read More

HUYU HAPA KUPEWA MIKOBA YA ZIMBWE JR SIMBA

WAKIWA na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Raja Casablanca mikoba ya nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein Zimbwe Jr inatarajiwa kuwa mikononi mwa Gadiel Michael. Zimbwe atakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi kwa timu hizo mbili ambazo zimetinga hatua ya…

Read More

KIMATAIFA, MWENDO WA KUSAKA REKODI

MCHEZA kwao hutunzwa ipo wazi lakini hata ugenini pia kuna uwezekano wa kucheza na kutunzwa ikiwa wawakilishi wa Tanzania kimataifa Simba na Yanga wakitumia makosaya wapinzani wao kwa umakini. Simba ina kibarua cha kutupa kete ya mwisho hatua ya makundi usiku wa kuamkia Aprili Mosi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca na…

Read More

SIMBA KUIVAA RAJA CASABLANCA LEO

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca ni leo Machi 31 nchini Morocco. Mchezo huo unachezwa Morocco ikiwa ni Machi 31 lakini Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi 2023. Ni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kwa timu hizi mbili ambazo zote zimetinga hatua ya robo fainali. Simba inakumbuka mchezo…

Read More

GEITA GOLD WAIVUTIA KASI YANGA

WACHEZAJI wa Geita Gold chini ya Kocha Mkuu Fred Felix ‘Minziro’ wanaendelea na maandalizi kuelekea mchezo wao wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation. Geita Gold watavaana na Yanga Aprili 8, 2023 katika dimba la Azam Complex Chamazi. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga walioshinda dhidi ya Coastal Union. Katika mchezo…

Read More