Prince Dube amerejea kazini
PRINCE Dube mshambuliaji wa Yanga SC amerejea kazini mara baada ya kukosekana kwa muda kutokana na kutokuwa fiti. Dube ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Pedro Goncalves alikosekana kwenye mchezo wa ligi vs Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Katika mchezo huo mabingwa watetezi waligawana pointi mojamoja na Mtibwa Sugar ubao uliposoma Mtibwa…