Barcelona Yaichapa Atletico Ugenini, Yaendelea Kuongoza La Liga
Klabu ya Barcelona imeendelea kujiimarisha kileleni mwa La Liga baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Atletico Madrid katika mchezo mkali uliopigwa kwenye dimba la Metropolitano. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa, ambapo wenyeji Atletico walitangulia kufunga dakika ya 39 kupitia kwa Simeone, kabla ya Barcelona kusawazisha dakika ya 42 kupitia kwa…