Singida Black Stars vs Azam FC kinawaka leo

Singida Black Stars vs Azam FC NBC Premier League kinawaka leo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wanakutana Aprili Mosi 2026 ikiwa ni mchezo pekee utakaochezwa mara baada ya mapumziko yaliyotokana na kalenda ya FIFA. Katika mechi mbili kubwa wenyeji wakiwa nyumbani ndani ya mwezi Machi waliangasuha pointi tatu baada ya dakika 90….

Read More