Matokeo ya mechi zilizopita Azam FC
Matajiri wa Dar, Azam FC leo Aprili Mosi 2026 watakuwa kwenye shughuli kuwakabili Singida Black Stars mchezo wa ligi. Ni saa 10:00 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa, Uwanja wa Airtel kwa wababe hawa kusaka pointi tatu muhimu. Hapa tunakusogezea matokeo ya mechi 5 kwa Azam FC ndani ya Machi, 2026 NBC Premier League:- Machi 2, 2026,…