TUSIJUMUISHE USHABIKI KWENYE MASUALA YA KUUMIZWA KWA INONGA

WAKATI mwingine si vibaya kusema mashabiki wa mpira na hasa Tanzania wamekuwa na mambo mengi sana yanayopaswa kulaaniwa. Binafsi nayaona ni masuala ambayo yanaonyesha ushabiki kupindukia wakati mwingine unakuwa ni tatizo kubwa sana. Ushabiki wa aina hiyo umewafanya mashabiki wengi washindwe kujitambua na ndio maana umeona baadhi ya mashabiki au wahamasishaji wanaotangaza zaidi chuki wamekuwa…

Read More

CHAMA GARI LIMEWAKA HUKO

MWAMBA wa Lusak, Clatous Chama gari limeweka kutokana na kasi yake ya kufunga na kutengeneza mabao kuanza kurejea kwa namna yake. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Chama alikuwa ni namba moja kwa viungo waliotoa pasi nyingi ndani ya ligi ambazo ni 14. Msimu wa 2023/24 pasi yake ya kwanza aliitoa kwenye mchezo wa ligi dhidi…

Read More

AZAM FC WANA JAMBO LAO

YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji wake wote ni muhimu kuendelea kupambana kwenye mechi zote ili kuwapa burudani mashabiki na kupata matokeo chanya. Timu hiyo mchezo wake uliopita ilikomba pointi tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Dabo ameweka wazi kuwa bado wachezaji wanaonyesha…

Read More

MTAMBO HUU WA MABAO YANGA KUWAKOSA WAARABU

IMELEEZWA kuwa mshambuliaji wa Yanga, Hafidh Konkoni huenda akaukosa mchezo wa marudiano wa Hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakaocheza dhidi ya Al Merrikh ya Sudan. Mchezo unatarajiwa kupigwa Septemba 30, mwaka huu saa moja kamili kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Straika huyo hivi…

Read More

TWIGA STARS KAZINI LEO AZAM COMPLEX

KUELEKEA katika mchezo wa kuwania kufuzu Mashindano ya Mataifa ya Kimataifa Wanawake, (WAFCON) unaotarajiwa kuchezwa leo, benchi la ufundi la Timu ya Taifa ya Tanzania, Twiga Stars limeweka wazi kuwa lipo tayari. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex likiwa ni jambo la taifa na hakutakuwa na kiingilio.  Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Bakari…

Read More

BALEKE KWENYE KIVULI CHAKE NDANI YA SIMBA

MGANDAMIZO wakati mwingine hutoa kitu halisi na muda mwingine huwa kinakuwa na mvurugano kutokana na aina ya mwanga ambao utakuwa unahusika. Kwenye Ligi Kuu Bara ndani ya Simba kuna mshamuliaji aliyefunga mzunguko wa pili 2022/23 kwa kasi kisha kaanza kuishi kwenye kivuli chake msimu wa 2023/24. Hapa kwenye mwendo wa data tupo na nyota Jean…

Read More

KIMATAIFA KAZI BADO KUBWA IPO MBELE YA WAWAKILISHI

PICHA kamili ya timu itakayosonga mbele kwenye mechi za kimaita inakwenda kukamilika katika mechi za marudiano ambazo zinatarajiwa kuchezwahivi karibuni. Kila timu inatambua namna ilivyopambana kwenye mchezo wa kwanza na kupata matokeo ambayo ni mwanzo wa safari kuelekea kufikia malengo yao. Malengo ya msimu uliopita ni muhimu kuyatazama na kujua ni wapi yalipoishia kisha kuanza…

Read More

WABABE KAZINI NA REKODI ZAO MATATA HIZI HAPA

MSAKO wa pointi tatu kwenye Ligi Kuu Bara unazidi kupamba moto huku kila timu zikionyesha uimara wake katika kutumia makosa ya wapinzani. Septemba 21 itabaki kwenye rekodi kwa wababe wanne kuwa kazi kusaka ushindi na mwisho wawili wakawapoteza wapinzani wao. Hapa tunakuletea namka kazi ilivyokuwa namna hii:- Mabao ya mapema Mashabiki wa Simba walishuhudia bao…

Read More

BOSI SIMBA AMPA TUZO JEAN BALEKE

AKIWA na mabao matano kibindoni mshambuliaji wa Simba Jean Baleke amepewa kiatu cha ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Ni Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa kwa namna mshambuliaji huyo alivyo na kasi ya kufunga kuna nafasi kubwa kwa nyota huyo kuwa mfungaji bora….

Read More

KIMATAIFA KAZI BADO HAIJAGOTA MWISHO

TUMEONA namna ambavyo wawakilishi wetu kwenye anga la kimataifa wakiendelea kupambania kombe kufikia malengo ambayo yapo na kila mmoja akiwa anahitaji kuona ushindi unapatikana. Kila timu inaona namna ambavyo kazi inafanyika kutokana na msako wa ushindi kwenye mchezo husika. Ipo hivyo mashindano ya kimataifa hayana mwenyewe ila atakayefanya maandalizi mazuri ni njia nyepesi kupata matokeo….

Read More

AFYA YA WACHEZAJI NI MUHIMU, WACHEZAJI LINDANENI

KAZI kubwa kwenye Ligi Kuu Bara imezidi kuonekana ambapo wachezaji wameonekana wakifanya kweli kwenye kutimiza majukumu yao. Hili ni muhimu kuendelea kwenye kila mchezo jambo ambalo litaongeza umakini kwenye msako wa pointi tatu. Tunaona namna ambavyo kila timu inapambana kutimiza majukumu yake. Kwa wachezaji jukumu lenu ambalo mmepewa ni kutafuta ushindi na suala la kuumizana…

Read More

CLEMENT MZIZE ANA BALAA HUYO

NYOTA wa Yanga, Clement Mzize ni habari nyingine Bongo kwa upande wa mastaa wanaocheza ndani ya Yanga na Simba kwa kuwa mzawa aliyepachika bao kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, vigogo wote walipokuwa kazini. Ikumbukwe kwamba Septemba 16, Yanga ilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Al Merrikh, Rwanda na Simba…

Read More