>

ZIMETUNGULIWA ZAIDI YA MABAO 10 BONGO

KUFAHAMU ukweli kisha ukaongopa sio utani hiyo inaumiza, muhimu kutibu tatizo lilipo kuwa bora kwenye mechi za ushindani, hivyo tu basi. Kwenye mwendo wa data tunakuja na timu ambazo zimeokota mabao zaidi ya 10 kwenye mechi ambazo walishuka uwanjani namna hii:- Mtibwa Sugar Uwanja wa Manungu huu wanautumia kwa mechi za nyumbani wakiwa na ngome…

Read More

Meridianbet Yasema Sasa ni Zamu ya Posta

Jade Valley ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano zilizopangwa kwa ustadi katika mistari mitatu, sloti yenye mistari 50 ya malipo unaopatikana Meridianbet Kasino ya Mtandaoni. Unapocheza sloti hii ya kasino ya mtandaoni ili ushinde unapaswa kuunganisha alama tatu au zaidi zinazofanana kwenye mstari, na ushindi kuhesabiwa kutoka nguzo ya kushoto. Kila mstari wa malipo…

Read More

SIMBA KAZI IPO, KUWAVAA WAARABU WENYE NJAA

BAADA ya kuvuna pointi moja ugenini ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hesabu za wawakilishi wa Tanzania ni mchezo wao ujao dhidi ya Wydad Casablanca. Kibarua kigumu kwa Simba kukutana na Waarabu wa Morocco wenye njaa ya kupata ushindi wakati Simba wakiwa kwenye mwendo wa kusuasua katika kupata matokeo. Desemba 3 2023 kikosi…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AL AHLY

YANGA ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa. Langoni anaanza Djigui Diarra kwenye siku ya leo ambayo inakwenda kwa jina la Bacca Day. Yao Joyce Lomalisa Nondo Dickson Job Maxi Nzengeli Aziz KI Pacome

Read More

SIMBA YAAMBULIA SARE TENA UGENINI

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika wameambulia sare ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy. Ni sare ya pili leo wanapata katika hatua ya makundi baada ya mchezo wa kwanza kuambulia sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya ASEC Mimosas mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ngoma ni nzito kwa Simba kwenye hatua ya makundi…

Read More

JWANENG 0-0 SIMBA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Afrika kwa wawakilishi wa Tanzania wakiwa ugenini ni mapumziko. Dakika 45 zimekamilika ambapo ubao unasomaJwaneng Galaxy 0-0 Simba. Ayoub Lakred yupo langoni akitimiza majukumu yake kwenye mchezo wa leo huku Ally Salim akiwa benchi. Jean Baleke anaongoza safu ya ushambuliaji akishirikiana na Saido Ntibanzokiza kwa kiungo…

Read More

AMEIBUKA CLATOUS CHAMA NA TAMKO HILI

MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama ambaye ni kiungo aliyefunga mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ugenini ameweka wazi kuwa matokeo ya mchezo uliopita dhidi ya ASEC Mimosas wamesahau hivyo watapambana kwa ajili ya upata matokeo dhidi ya Jwaneng

Read More

UWANJA WA LITI WAFUNGIKWA

KAMATI ya Leseni za Klabu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeufungia Uwanja wa Liti, uliopo Singida. Uwanja huo ambao unatumiwa na Singida Fountain Gate kwa mechi za nyumbani kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara sasa hautatumika kwa michezo ya ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa…

Read More

DESEMBA INAFUNGULIWA KWA KAZI KIMATAIFA

GHAFLA yule uliyempa ahadi utamlipa Desemba, ngoma hii hapa imeshafika kazi kukamilisha madeni kwa wakati. Weka kando hilo, kwa wawakilishi wa kimataifa kuna shughuli nzito kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Madeni yote waliyoahidi kuyalipa leo Desemba 2 kwa nyakati tofauti kila mmoja atakuwa na dakika 90 za kulipa mmoja atakuwa nyumbani na mwingine huko ugenini…

Read More