NMB YADHAMINI MASHINDANO YA GOFU

BENKI ya NMB Tanzania imeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kuendelea kuwa karibu na Watanzania wengi zaidi wameamua kuendeleza mpango wao wa kudhamini mashindano ya Gofu Tanzania. Taarifa kutoka NMB imeeleza kuwa kwa kutambua umuhimu wa michezo kwenye jamii, NMB inaendelea kuwa wadhamini wakuu wa mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi kwa mwaka 2023….

Read More

AZAM FC KWENYE KISASI KIMATAIFA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo wa leo wa kimataifa dhidi ya Bahir Dar Kenema ya Ethiopia. Ikumbukwe kwamba ni timu nne ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara zinaipeperusha bendera anga la kimataifa ikiwa ni Yanga na Simba hizi ni kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Singida Fountain Gate na Azam…

Read More

VIDEO: JEMBE AFUNGUKIA ISHU YA PACOME NA ONANA WA SIMBA

LEGEND kwenye masuala ya habari za michezo Bongo kitaifa na kimataifa, Saleh Ally Jembe amefungukia kuhusu uwezo wa nyota wa Yanga Pacome ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Nyota huyo wa Yanga ameaanza kupenya kikosi cha Yanga ambacho kinashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na ligi pia. Mbali na Jembe kufunguka…

Read More

ANAYECHEKA MWISHO HUYO HUCHEKA ZAIDI

KIKOSI cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga kete yake ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ilikuwa ni Agosti 23 Uwanja wa Azam Complex. Kwenye mchezo huo ilishuhudia ubao ukisoma Yanga 5-0 KMC ukiwa ni mchezo uliokusanya mabao mengi ndani ya dakika 90 kwenye mechi za ufunguzi msimu wa 2023/24. Yanga iliingia katika mchezo…

Read More

MUDA WA MIPANGO NI SASA LIGI INAHITAJI NGUVU

MUDA uliopo kwa sasa ni kwa ajili ya msimu mpya ambapo maandalizi yanapaswa kuwa endelevu kwa kila mchezo husika. Matokeo yanayopatikana uwanjani baada ya dakika 90 inatokana na kile ambacho wachezaji wameamua kukionyesha kwenye mchezo husika. Ni anga la kitaifa na kimataifa timu zina kazi ya kupambana kufanya vizuri kwa kuwa furaha inabebwa na matokeo…

Read More

YANGA WAFANYA KWELI YAPIGA 5G

FUNGUO ya Yanga katika ushindi wa mabao 5-0 KMC ndani ya dakika 90 ilianzia kwa Aziz KI kiungo aliyecheza kwa umakini mkubwa. Yanga inewatungua mabao hayo ilikuwa dakika ya 16 kupitia kwa beki Dickson Job aliyetupia bao lake la Kwanza msimu wa 2013/24. Aziz KI wa Yanga alitupia bao moja dakika ya 59, Konkoni ilikuwa…

Read More

SIMBA WANA JAMBO LAO

BAADA ya kucheza mechi mbili Simba imekusanya pointi sita ikiwa inaongoza ligi. Simba inanolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira katika mchezo wa kwanza ilitunguliwa mabao mawili dhidi ya Mtibwa Sugar licha ya kushinda. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo huo ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Manungu ukisoma Mtiwa Sugar 2-4 Simba. Katika mchezo wa pili…

Read More

YANGA 1-0 KMC, LIGI KUU BARA

MCHEZO wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga inaucheza leo Agosti 23 dhidi ya KMC. Dakika 45 za mwanzo zimemeguka huku Yanga kupitia kwa Dickson Job ambaye ni beki amepachika bao la kuongoza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC. Ni dakika ya 16 Job wa Yanga mwenye tuzo ya…

Read More

MWANZO WA LIGI USHINDANI MUHIMU

KAZI imeanza kwenye anga la kitaifa na kimataifa kwa kila timu kuwa kwenye majukumu yao kutimiza kile ambacho ni muhimu uwanjani. Msimu mpya unakuwa na mengi mapya kuanzia ratiba pamoja na wachezaji kuwa katika presha ya kufanya vizuri zaidi kuongeza mwendo wa kuwa bora. Sio Namungo pekee wenye presha ya kufanya vizuri bali Singida Fountain…

Read More

KOCHA NAMUNGO ASHUSHA PRESHA

KOCHA Mkuu wa Namungo, Cedrick Kaze amesema kuwa watazidi kuwa imara taratibu kutokana na maandalizi ambayo wanayafanya kwenye mechi zao zote za ligi. Timu ya Namungo ilianza kwa kupoteza mchezo wa kwanza wa ligi dhidi ya JKT Tanzania kwa kufungwa bao 1-0 na mchezo wa pili ilipata sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya KMC….

Read More

GONJWA LINALOITESA SIMBA LAHAMIA YANGA

IPO wazi kuwa maumivu yanayowatesa mastaa wa Simba wakiongozwa na Clatous Chama na Saido Ntibanzokiza yanawaliza na mastaa wa Yanga kwenye anga la kitaifa na kimataifa. Ni janga la kutumia mapigo huru ya kona kwenye mechi zao wanazocheza kuwa ni hasara kubwa kwa kuwa hakuna iliyowapa bao ama kusababisha bao wakiwa uwanjani. Simba chini ya…

Read More