FEISAL ARUDISHWA YANGA
FEISAL arudishwa Yanga rasmi baada ya TFF kutupilia mbali maombi ya marejeo ya kesi yake
FEISAL arudishwa Yanga rasmi baada ya TFF kutupilia mbali maombi ya marejeo ya kesi yake
INGEKUWA ni mchezo wa Ligi Kuu Bara tungesema ni tatu zinasakwa ndani ya tatu kwa wababe wawili ambao watavuja jasho ndani ya dakika 90. Bahati nzuri ni hatua ya 16 bora Kombe la Azam Sports Federation ambapo yule atakayetunguliwa inakuwa ni kwaheri ya kuonana wakati ujao. Ni vita ya mabingwa watetezi Yanga chini ya Kocha…
WAKIWA kwenye hesabu za kumenyana na Vipers Uwanja wa Mkapa, Machi 7,2023 nyota mmoja amepata maumivu hivyo huenda atakuwa nje ya mpango wa kikosi cha Simba
SAA 3 nzito za kesi ya Fei v Yanga, Simba yaitangulia Yanga SC ndani ya Championi Ijumaa
LICHA ya Real Madrid kuwa bora kwenye kila idara dhidi ya Barcelona kwenye mchezo wao wa El Clasico ngoma iliwazidia na kupoteza mchezo huo. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Santiago Bernabeu ulisoma Real Madrid 0-1 Barcelona ambao walikuwa ugenini bado kete moja watakayokuwa nyumbani. Ni Eder Militao alijifunga dakika ya 26 kwenye…
MATAJIRI wa Dar Azam FC ndani ya Machi wana vigongo vikali vya moto viwili pekee ambavyo ni dakika 180. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala kete yake moja ni Kombe la Azam Sports na nyingine moja ni ya ligi. Itakuwa nyumbani Machi 5, Jumapili kusaka ushindi dhidi ya Mapinduzi ikiwa ni hatua ya…
TUPO kwenye ulimwengu wenye ushindani mkubwa kwenye kila idara kuanzia Ligi Kuu Bara mpaka Kombe la Shirikishola Azam Sports hapa kila timu inahitaji ushindi. Ipo wazi kwamba mashindano yamekuwa yanazidi kuwa imara kila wakati na timu shiriki zinafanya kweli kwenye kusaka ushindi hili linahitaji pongezi. Wachezaji kwa sasa ni muda wao kuonyesha ule uwezo kwenye…
SAKATA la Fei Toto lamuibua mama aomba haki itendeke
MOHAMED Mussa nyota wa Simba amefunga bao lake la kwanza akiwa na Simba baada ya kujiunga na timu hiyo katika dirisha dogo dakika ya 69. Ubao wa Uwanja wa Uhuru umesoma Simba 4-0 African Sports ikiwa ni mchezo wa hatua ya mtoano. Bao la kwanza ni Mali ya Jean Baleke dakika ya 36, Kennedy Juma…
Je wewe ni mkazi wa Sinza? Wanapopatikana Watu Wajanja? Na unapenda kubashiri kwenye maduka?. Basi Meridianbet leo hii wamekuzindulia duka kubwa kabisa ambalo unaweza ukabashiri maeneo ya hapo Madukani Duka hilo lipo Sinza Madukani hivyo fika na uanze kutoa mkeka wako kwa ODDS KUBWA zenye machaguo zaidi ya 1000, hivyo ni rahisi kwako wewe…
UONGOZI wa Yanga umewaambia mashabiki kuwa wasiwe na presha ngoma itapigwa mpaka hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga ipo nafasi ya pili kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa imekusanya pointi nne kibindoni baada ya kucheza mechi tatu. Kwenye mchezo dhidi Real Bamako uliochezwa Uwanja wa US du 26…
LEO Alhamisi kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 81,044 kutakuwa na mechi kali ya wapinzani wa jadi nchini Hispania, kati ya Real Madrid na Barcelona, maarufu kama El Clasico. Ndiyo, El Clasico maana yake ni ‘The Classic’, ikimaanisha mechi kati ya Madrid na Barcelona ni bora. Hii ni mechi ya watani…
MUHIMU sana kuwapa pongezi mashabiki kwa namna wanavyojitokeza kwenye mechi za kimatafa ambazo wawakilishi wa Tanzania wanatupa kete pale Uwanja wa Mkapa. Huzuni na furaha huwa zinaishi kwenye mioyo yao hivyo wanastahili pongezi kutokana na kujitoa kwao kila wakati hakika ni moyo mzuri na unapaswa kuendelea. Tuliona wakati Yanga wakishinda dhidi ya TP Mazembe wengi…
HALI ya nyota wa Singida Big Stars, Bruno Gomez inazidi kurejea taratibu kwenye ubora wake baada ya kupata maumivu hivi karibuni. Nyota huyo ambaye ni mtaalamu wa mapigo huru akiwa amewapa tabu makipa waliopo ndani ya tatu bora ikiwa ni Azam FC na Simba alipata maumivu ya miguu kwenye mazoezi. Mbali na Bruno raia wa…
WAWAKILISHI kwenye anga za kimataifa katika Kombe la Shirikisho Yanga Machi Mosi wamemtambulisha Khalil Ben Yousef raia wa Tunisia ambaye ni mtaalamu wa kusoma mipango ya timu pinzani na mifumo yao pamoja na viwango vya wachezaji wa Yanga. Mtaalam huyo amewahi kufanya kazi katika timu kubwa kama Esparence de Tunis na Timu ya Taifa Tunisia…
MAYELE afichua magumu ya CAF, Phiri atoa ahadi nzito CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa ushindi ambao waliupata dhidi ya TP Mazembe Uwanja wa Mkapaule ulikuwa ni kionjo. Kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi Yanga ilishinda mabao 3-1 huku watupiaji wakiwa ni Kennedy Musonda, Mudhathir Yahya na Tuisila Kisinda. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa propaganda ambazo zinasemwa kuhusu…