
TFF YAFUNGUKIA ISHU YA BOSI SIMBA
SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeweka wazi kwamba halijamfungulia kesi, Polisi kiongozi yoyote wa mpira wa miguu. Ilikuwa inaelezwa kuwa Ofisa Mtendaji wa Simba, Barbara Gonzalez amefunguliwa mashataka Polisi na kiongozi mmoja wa TFF. Mashtaka hayo ilielezwa kuwa yamefunguliwa katika kituo Kikuu Cha Polisi, Dar, Januari 20,2022 ambapo Barbara alipokea wito wa kufika kituoni hapo…