>

YANGA YAITUNGUA AZAM KWA MKAPA

DAKIKA 90, zimemalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa huku Yanga wakiibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa NBC Ligi Kuu Bara.   Bao la kwanza la Yanga limefungwa na mshambuliaji Fiston Mayele dakika ya 36 kwa assist ya Shomari Kibwana, ya mchezo baada ya makosa ya mabeki wa Azam…

Read More

TUMAINI MABIGWA MERIDIAN BET STREET SOCCER BONANZA

  Timu ya Tumaini imetwaa ubingwa wa mashindano ya mtaani ya Meridian Bet street soccer bonanza yaliyofanyika leo Jumamosi kwenye uwanja wa Mwembeyanga, Temeke. Bonanza hilo lililoudhuliwa na mkuu wa kituo cha Mwembeyanga, msaidizi wa polisi Cathbert Christopher kwa niaba ya mkuu wa kituo cha Chang’ombe, ASP Mohammed lilishirikisha timu nne likipigwa kwa udhamini wa…

Read More

TANZIA:MCHEZAJI WA SIMBA AFARIKI DUNIA

MHEZAJI wa zamani wa Klabu ya Simba Yahaya Akilimali amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 30, 2021. Mauti yamemfikia mchezaji huyo akiwa Ujiji Mkoani Kigoma.Pumzika kwa amani winga teleza Akilimali. Mchezaji ambaye alicheza naye mpira ndani ya Simba, Athuman Idd Chuji amemlilia nyota huyo kwa kusema kuwa pumzika kwa amani Yahya Akilimali.   Pumzika…

Read More

DAKIKA 450 ZA MOTO KWA GOMES

LICHA ya kwamba ameshabwanga manyanga ndani ya kikosi cha Simba, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuna mechi nyingi ambazo alizishuhudia kwake zilikuwa ni za moto na pasua kichwa kwa namna wachezaji wake walivyopambana na mwisho kupata matokeo ama kuangukia pua. Hizi ni Mechi 5 ambazo ni dakika 450 zilizokuwa ni za moto kwa Gomes alipokuwa…

Read More

HAZARD AWEKWA RADA ZA CHELSEA

NYOTA wa Real Madrid, Eden Hazard ambaye mambo kwake yamekuwa magumu ndani ya kikosi hicho anatajwa kuingia kwenye rada za Newcastle pamoja na Chelsea. Nyota huyo hana furaha ndani ya Real Madrid kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara jambo ambalo limefanya ashindwe kuwa kwenye ubora ambao alikuwa nao alipokuwa akicheza ndani ya…

Read More

KITAWAKA LEO SPURS V UNITED,POGBA ‘OUT’

LEO Oktoba 30 kutakuwa na mchezo mkali wa Ligi Kuu England ambapo Manchester United watakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tottenham Hotspur.   Manchester United wamekuwa kwenye mwendo wa kusuasua hivi karibuni sawa na Spurs pia nao hawapo vizuri licha ya kupewa nafasi ya kusinda mchezo wa leo utakaopigwa saa moja usiku….

Read More

PRINCE DUBE NA NYOTA HAWA WATATU KUIKOSA YANGA

UKISUBIRIWA muda tu kwa sasa kwa matajiri wa Dar, Azam FC kumenyana na Yanga leo Uwanja wa Mkapa nyota wake wanne wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo kutokana na sababu mbalimbali. Mchezo wa leo ni wa Ligi Kuu Bara ambapo kila timu inapambana kuweza kufikia malengo iliyojiwekea kwa msimu wa 2021/22. Kwa mujibu wa Vivier Bahati,…

Read More