>

SIMBA WAPO TAYARI KIMATAIFA

  HITIMANA Thiery, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Jwaneng Galax ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo utakuwa ni wa marudio baada ya ule wa awali Simba kucheza ugenini nchini Botswana. Ilikuwa ni Oktoba 17 ambapo Simba…

Read More

KMC WAGAWANA POINTI MOJAMOJA NA NAMUNGO,ILULU

WAKIWA Uwanja wa Ilulu, leo Oktoba 23 Wanakinoboys wamegawana pointi mojamoja na Namungo FC kwa kufungana bao 1-1. Kwa upande wa KMC ni mshambuliaji wao Charles Ilanfya alipachika msumari wa kwanza ilikuwa dakika ya 30 na lilidumu kwa muda wa dakika 12 kwa kuwa dakika ya 43 Shiza Kichuya alipachika bao kwa mkwaju wa penalti….

Read More

JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA MATIZI

MABINGWA wa kihistoria Yanga wameendelea na mazoezi kwa ajili ya kuivutia kasi Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 30. Ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi imeendelea kujiweka sawa ambapo katika program wanazofanya kwa sasa ni pamoja na ile ya kuwa GYM kupiga matizi. Mbali na mazoezi…

Read More

AZAM FC KAMILI KUWAVAA WAARABU WA MISRI LEO

GEORGE Lwandamina, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa vijana wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Oktoba 23 dhidi ya Waarabu wa Misri, Pyramids FC ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa vijana wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi kwenye…

Read More

KOCHA YANGA AIPA ONYO SIMBA

KOCHA wa Yanga Princes Mohamed Hussein, ‘Mmachinga’ amewapa onyo Simba kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Jwaneng Galaxy kwa kuwataka kucheza kwa kujilinda na kusaka ushindi mapema ili kuongeza hali ya kujiamini. Akizungumza na Saleh Jembe, Mmachinga amesema kuwa ushindi wa ugenini ni ishara mbaya kwamba hata wageni wao wanaweza kufunga wakiwa nyumbani hivyo…

Read More

SIMBA YASAHAU MATOKEO YA BOTSWANA,KAZI KESHO

SHOMARI Kapombe, beki wa Klabu ya Simba ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana huku wakiwa wamesahau matokeo ya mchezo wao uliochezwa nchini Botswana. Oktoba 17 kikosi hicho kiliweza kushinda mchezo wa mtoano jambo ambalo linawapa nguvu ya kujiamini kuelekea kwenye mchezo…

Read More