MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
HAKIKA kwa sasa mambo yamezidi kupamba moto kwenye anga za kimataifa ambapo leo Simba wana kazi yakufanya kwenye anga za kimataifa Simba ambao ni wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kazi yao ni kwenye mchezo wa makundi ikiwa ni dhidi ya HoroyaAC hautakuwa mchezo mwepesi wala mgumu muhimu maandalizi mazuri. Kwa wachezaji kazi…
KUELEKEA Simba Day inayotarajiwa kufanyika Agosti 3, 2024 uongozi wa timu hiyo umebainisha kuwa kutakuwa na balaa zito kinomanoma. Ikumbukwe kwamba Hassan Dalali aliyekuwa mwenyekiti wa Simba anaingia kwenye rekodi ya waasisi wa Simba Day ambayo ilikuwa ikifanyika ifikapo Agosti 8. Sababu kubwa ya Simba Day ni utambulisho wa benchi la ufundi, wachezaji wapya na…
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliotarajiwa kuchezwa Aprili 23 2024 Uwanja wa Meja Isamuhyo umeahirisha. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao ulitarajiwa kuchezwa kwa dakika 90 kusaka mshindi ambaye angekomba pointi tatu. Timu zote mbili zilikuwa zimewasili uwanjani kwa ajili ya mchezo huo wa ligi uliokuwa…
Simba SC 3-1 Dodoma Jiji FC, CRDB Federation Cup ni matokeo rasmi kwenye mchezo wa leo hatua ya 16 bora mchezo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Simba SC wenyeji waliruhusu goli la mapema dakika ya 9 ambalo lilidumu mpaka muda wa mapumziko ubao ulipokuwa ukisoma Simba SC 0-1 Dodoma Jiji FC. Nyota wa…
BAADA ya Simba kupishana na mataji msimu wa 2023/24 ikiwa ni pamoja na Ligi Kuu Bara, CRDB Federation kuna mastaa ambao wapo kwenye hesabu za kuondoka hapo na wengine wameanza kuaga kwa wachezaji pamoja na viongozi ndani ya timu hiyo.
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, inayodhaminiwa na NBC Yanga SC msimu wa 2024/25 wapo kwenye hesabu kupitisha panga la moto. Timu hiyo ilitwaa ubingwa ikiwa na pointi 82 na safu ya ushambuliaji ilifunga mabao 83. Miloud Hamdi ameshasepa ndani ya Yanga SC alitangazwa kuwa kocha bora ndani ya Juni 2025 na mchezaji bora ni…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ripoti ya usajili amayo inatumika kwa sasa ni ileiliyoachwa na aliyekuwa kocha wa timu hiyo Pablo Franco raia wa Hispania. Pablo alikuwa ndani ya Simba msimu wa 2021/22 alipobeba mikoba ya Didier Gomes alichimbishwa hapo baada ya kushindwa kutimiza makubaliano yalikuwa kwenye mkataba na mchezo wake wa mwisho ilikuwa ni Mei 28. Katika…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba usajili walioufanya ni wa viwango vikubwa jambo linalowapa matumaini yakufanya vizuri kwenye mashindano ambayo watacheza kwa kuwa hawakukurupuka. Miongoni mwa wachezaji ambao wamesajiliwa na Yanga ni pamoja na Chico Ushindi, Dennis Nkane,Salim Aboubakhari na Crispin Ngushi. Wachezaji hao wameanza kucheza mechi za ushindani isipokuwa kwa sasa Nkane bado yupo…
TAMBO kwa sasa kwa zinazidi kutawala ambapo kila mmoja anaamini kwamba amefanya usajili mzuri na anaweza kuchukua kila kitu ambacho anakihitaji. Ipo hivyo na ni maisha ya mpira hakuna anayeweza kuzuia maneno ambayo yanatokea lakini ukweli unabaki ukweli kwamba mpira unahitaji vitendo zaidi. Yale maneno ambayo yamekuwa yakitolewa na mashabiki pamoja na viongozi yana muda…
MCHEZO wa pili mfululizo kikosi cha Simba kinafanikiwa kushinda kwenye mechi za ligi baada ya leo Desemba 3,2022 kushinda mbele ya Coastal Union. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, umesoma Coastal Union 0-3 Simba na wakasepa na pointi tatu mazima. Mabao ya Moses Phiri dakika ya 53 na dakika ya 60 kwa mkwaju wa penalti yalifungwa…
Pazia la michuano ya CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26 linafungwa rasmi leo Mei 16, 2026, kwa mchezo wa mkondo wa pili wa fainali utakaopigwa katika dimba la Cairo International Stadium nchini Misri. Mchezo huo unawakutanisha wenyeji Zamalek SC dhidi ya USM Alger, katika pambano la kusisimua litakaloanza majira ya saa 3:00 usiku. Huu ni…
KIRAKA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Erasto Nyoni amesema kuwa wana imani ya kupata pointi tatu kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya RS Berkane unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Uwanja wa Mkapa.
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kwamba hakuna mchezaji mkubwa ndani ya kikosi cha Yanga kwa kuwa Yanga ni kubwa kuliko yoyote. Kocha huyo raia wa Tunissia ameongeza kuwa kuhusu kuanza kikosi cha kwanza kwa wachezaji wake itategemea na namna hali itakavyokuwa kutokana na mchezo husika na haina maana kwamba kufunga mabao ni…
FEISAL Salum, kiungo wa Yanga amebainisha kuwa jambo ambalo analipenda akiwa uwanjani ni kuona timu yake inashinda. Fei ni namba moja kwa utupiaji ndani ya kikosi cha Yanga akiwa ametupia mabao matatu na pasi moja kati ya tisa ambayo yamefungwa na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Katika mechi tano ametumia jumla ya…
CHEKI mastaa wa Stars wakifanya matizi kwa ajili ya mchezo dhidi ya Uganda
LIGI Kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC Premier Ligi inazidi kuchanja mbunga ambapo tayari kuna timu zimeanza kuonja ladha ya kuwa nafasi ya kwanza pamoja na ile ladha ya kuwa nafasi ya mwisho ndani ya msimu wa 2021/22 ambao unakwenda kwa kasi. Huu hapa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakiwa ni namba moja…