
YANGA YAMALIZANA NA MKALI WA MABAO YA KIDEONI
CRISPIN Ngushi, aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya Kwanza sasa rasmi ni mali ya Yanga. Nyota huyo ndani ya Ligi Kuu Bara ametupia jumla ya mabao matatu na alikuwa ni kinara ndani ya Mbeya Kwanza. Alikuwa ni mshambuliaji wa kwanza msimu wa 2021/22 kufunga bao la kideo ambalo ni Acrobatic ilikuwa mbele ya Mbeya City katika mchezo…

MABINGWA WATETEZI KOMBE LA MAPINDUZI WAWASILI ZANZIBAR
MABINGWA watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Yanga leo Januari 4 wamewasili salama visiwani Zanzibar kwa ajili ya kuanza kazi ya kutetea taji hilo. Yanga ilitwaa taji hilo mwaka 2021 kwa ushindi mbele ya Simba kwa mikwaju ya penalti baada ya dakika 90 kutoshana nguvu ya bila kufungana. Kwenye mchezo huo kikosi cha Simba licha ya…

OFISA HABARI MPYA WA SIMBA AWASHUKURU MASHABIKI
OFISA Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa mapokezi mazuri waliomuonyesha mara baada ya kutangazwa kuitumikia klabu hiyo jana, Jumatatu, Desemba 4, 2022. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Ahmed Ally ameandika; “Msemaji wa Mabingwa nimeamka salama.Kwa nafasi ambayo nimepewa nasema asante na nimefurahi kuwa hapa kwa kuwa ilikuwa ni ndoto yangu….

VIDEO:HII NI NDEGE INAYOTEMBEA ARDHINI,CHEKI ILIVYO
GARI jipya la Azam FC ndege inayotembea ni kali kinomanoma na ni moja tu kwa sasa lipo ndani ya ardhi ya Bongo. Mashabiki wanalipenda na wanalifurahia pia kutokana na ubora wake imara na lina muonekano mzuri kinomanoma..

NYOTA YANGA ATAKA PASI 15 ZA MABAO
BEKI wa kulia wa Yanga, Djuma Shabani, amefunguka moja ya malengo yake ni kuhakikisha anatoa pasi nyingi za mabao kuanzia 15 msimu huu ambazo zitawasaidia washambuliaji wa timu hiyo kufunga mabao mengi zaidi. Msimu huu ukiwa ni wa kwanza kwa beki huyo, tayari amefanikiwa kutoa asisti tatu ambapo mbili ni katika Kombe la Shirikisho la Azam, huku moja ndani ya Ligi Kuu Bara na kufunga bao moja. Djuma amesema: “Ni furaha kutoa…

SARAH WA HARMONIZE ATOKELEZEA NA JEZI YA SIMBA
Aliyekuwa mke wa Harmonize @harmonize_tz , @sarah__tz ametokea katika picha zinazoonyesha jezi mpya za Simba ambazo wamezitambulisha Jumatatu, Januari 3, 2022. Sarah ambaye hivi karibuni alionekana kuwa na mmoja wa mameneja wa @diamondplatnumz , @sallam_sk , ametokelezea katika picha hizo akiwa modo wanaotangaza ujio wa jezi ambazo zitatumiwa na Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika…

AUBA AINGIA ANGA ZA NEWCASTLE UNITED
KLABU ya Newcastle United wametuma maombi kwenda Arsenal ili kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, katika dirisha hili. Mshambuliaji huyo ambaye huenda asionekane tena uwanjani akiwa na jezi ya Arsenal amekuwa hayupo kwenye kiwango bora tangu msimu huu uanze na katika siku za hivi karibuni amevuliwa unahodha kutokana na vitendo vyake…

YANGA ANAYOITENGENEZA KOCHA NABI NI BALAA!
KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi katika ripoti yake ameagiza kila nafasi ya mchezaji wa kigeni lazima awepo mbadala wake mzawa mwenye uwezo mkubwa kama wake. Yanga tayari imefanikisha usajili wa wachezaji watatu wazawa katika usajili wao wa dirisha dogo lililofunguliwa Desemba 16, mwaka huu ambao unaendelea. Wachezaji hao wapya waliosajiliwa ni Salum…

JIONEE PICHA AJIB AKIWA MAZOEZINI AZAM, KUKIWASHA LEO
Kiungo mshambuliaji mpya wa Azam FC, Ibrahim Ajib @ibrahimajibu23, akifanya mazoezi ya kwanza na uzi wa timu hii. Azam FC ipo Unguja, Zanzibar kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mapinduzi, na leo asubuhi imefanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo Jumanne kumenyana na Meli Nne City kwenye Uwanja wa Amaan saa 2.15 usiku.

VIDEO:EXCLUSIVE:KIPA MPYA WA YANGA AFUNGUKIA DILI LAKE LILIVYOJIBU
ABOUTWALIB Mshery ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga akitokea Mtibwa Sugar ameweka wazi kuwa ni furaha kwake kuweza kupata changamoto mpya pamoja na kuanza kazi kwa mara ya kwanza ikiwa ni muda mfupi baada ya kusajiliwa na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi.

MWENYEKITI WA SIMBA- TUNATAKA UBINGWA WA SHIRIKISHO
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try again’, amesema mipango ya Simba kwa sasa ni kutawala soka la Afrika na kutetea ubingwa. Try Again alifunguka kuwa timu hiyo kwa sasa ina mwenendo mzuri baada ya mechi chache na mambo yanavyokwenda atakuja kuonekana mrithi sahihi wa Luis Miquissone kutokana na kuimarika kwa…

DEUS KASEKE ATAJWA KUSEPA YANGA
IMEELEZWA kuwa kiungo wa mpira mali ya Yanga, Deus Kaseke yupo mbioni kusepa ndani ya kikosi hicho ili akapate changamoto mpya katika timu nyingine. Mtibwa Sugar inapewa nafasi kuweza kupata saini ya kiungo huyo ambaye kwa sasa hana nafasi kikosi cha kwanza cha Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Leo Januari 4 Yanga inatarajiwa kuibukia Zanzibar kwa…

JEMBE JIPYA SIMBA LAANZA MAZOEZI RASMI
NYOTA Sharaff Shiboub tayari ameanza mazoezi rasmi na Klabu ya Simba kwa ajili ya kuweza kumpa nafasi Kocha Mkuu, Pablo Franco kuweza kumfanyia mchujo kama atamfaa. Ikumbukwe kwamba Shiboub aliwahi kucheza Simba msimu wa 2019/20 ambapo Simba iliweza kutwaa taji la Ligi Kuu Bara na Ngao ya Jamii pamoja na Kombe la Shirikisho. Anakumbukwa kwa…

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne, Januari nne.

SIMBA YATAMBULISHA UZI MPYA MKALI
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo Januari 3 2022 wametambulisha uzi mpya. Ni uzi maalumu ambao utatumika katika Kombe la Shirikisho pamoja na Kombe la Mapinduzi ambalo linafanyika Zanzibar. Tayari kikosi kimewasili Zanzibar kwa ajili ya mashindano hayo ambayo yameanza kurindima jana Januari 2. Mchezo wao wa kwanza unatarajiwa kuwa ni Januari 5,2022…

SADIO MANE AREJEA SENEGAL
NYOTA wa kikosi cha Liverpool kinachoshiriki Ligi Kuu England, Sadio Mane na mlinda lango namba moja wa Chelsea Eduardo Mendy wamesafiri pamoja kurejea nyumbani Afrika kwa ajili ya kujiunga na timu ya taifa ya Senegal tayari kwa michuano ya AFCON. Nyota hao walicheza kwenye mchezo wa jumapili wa ligi kuu soka nchini England Chelsea walipowaalika Liverpool. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa…