
PABLO APEWA JUKUMU HILI SIMBA
IKIWA kwa sasa harakati za usajili wa dirisha dogo limeanza,mabosi wa Simba wameamua kumuachia jukumu la kupendekeza Kocha Mkuu wa Simba Pablo Franco wa kuweza kupendekeza maeneo anayohitaji waweze kuyaboresha. Taarifa kutoka benchi la ufundi wa Simba zimeeleza kuwa kwa sasa hakuna mapendekezo ambayo yametolewa lakini viongozi wanasubiri taarifa kutoka kwa Pablo ili waweze kufanya…