YANGA SC WAPO KAZINI, KUMSHUSHA WINGA WA KAZI

KLABU ya Yanga ipo katika mazungumzo ya mwishoni katika kuipata saini ya winga wa Singida Black Stars, Edmund John ili awe sehemu ya kikosi hicho katika msimu ujao. Inadaiwa makubaliano binafsi kati ya mchezaji na Yanga tayari yamekamilika na mchezaji yupo tayari. Nyota huyo alikuwa tishio katika mchezo wa Nusu Fainali wa Kombe la CRDB…

Read More

YANGA SC NA HAIER FAMILIA, BILIONI 3.3 KUVUNWA

YANGA SC itavuna kiasi cha shilingi bilioni 3.3 kutokana na kuongeza mahusiano na kampuni ya Haier wakisaini mkataba wa miaka mitatu rasmi Agosti 7 2025 katika Hotel ya Hyatt Regency, Dar. Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said amesema kuwa wana matumaini makubwa na mkataba huo kuwa ni faida kwa pande zote mbili kutokana na…

Read More

Nafasi ya Kuwa Bingwa Ipo Meridianbet Leo

kucheza mechi nyingi za kirafiki. Lille kushinda mechi hii ana ODDS 1.60 kwa 4.80. Jisajili hapa. Huku Arsenal wao leo hii watapepetana dhidi ya Villarreal ya kule Hispania. Vijana wa Arteta wamefanya usajili mkubwa msimu huu na wanataka makombe makubwa hivyo ushindi kwao ni muhimu sana ili kujua wapi bado hapajakamilika. Bashiri mechi hii kwa ODDS 1.43 kwa 6.00….

Read More

MRITHI WA ZIMBWE JR ATAFUTWA

MRITHI wa kitambaa cha unadhoa ndani ya kikosi cha Simba SC kwa sasa anatafutwa mara baada ya beki huyo wa kushoto kutambulishwa Jangwani. Zimbwe Jr alikuwa nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25 mkataba wake ulipogota mwisho hakuongeza kandarasi nyingine hivyo katambulishwa Jangwani akiwa mchezaji huru. Inatajwa kuwa mabosi wa Simba SC na benchi la…

Read More

MOHAMED HUSSEN ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI

USIKU wa kuamkia Agosti 6 2025, Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyekuwa nahodha wa Simba SC 2024/25 ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Yanga SC. Zimbwe Jr beki wa kazi ndani ya Simba SC msimu wa 2024/25 upande wa kushoto alikuwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids. Anatambulishwa Yanga SC akiwa mchezaji huru…

Read More

Shindano Jipya la Kasino, Ingia Ulimwenguni Wa Zombie Apocalypse

Meridianbet, kwa ushirikiano na Expanse Studios, wamezindua promosheni mpya ya kuvutia iitwayo Zombie Apocalypse, inayowaalika wachezaji kuingia katika ulimwengu wa kusisimua wa mapambano dhidi ya mazombi, huku wakifurahia burudani ya hali ya juu pamoja na fursa za kushinda za kipekee. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Agosti 2025, promosheni ya Zombie Apocalypse inawapa wachezaji changamoto ya kushiriki katika mchezo…

Read More

NANI KUCHUKUA TUZO YA MCHEZAJI EPL 2025/26?

Meridianbet inakuambia hivi, sasa unaweza kuweka jamvi lako kwa mchezaji ambaye unaona anaweza kushinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu sasa. ODDS zao zinaanzia 7.00 na kuendelea hivyo usipitwe na chaguo hili sasa. Suka mkeka wako wa ushindi hapa. Alexander Isak raia wa Sweeden anapewa nafasi ya 8 kuchukua tuzo hiyo. Toka ajiunge na Magpies…

Read More

BEKI WA KAZI MLIGO ATAMBULISHWA SIMBA SC

KOCHA Fadlu Davids alipomuona kijana kwenye majukumu yake inaelezwa kuwa akawaambia mabosi wa Simba SC anahitaji saini ya Antony Mligo aliyekuwa ndani ya Namungo FC. Haya ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ambapo Simba SC ilipishana na ubingwa msimu wa 2024/25 ulikwenda kwa watani zao wa jadi Yanga SC….

Read More