
FEISAL NGOMA NZITO KUSEPA AZAM FC
NGOMA ni nzito kwa kiungo mshambuliaji Feisal Salum kusepa ndani ya Azam FC kupata changamoto…
NGOMA ni nzito kwa kiungo mshambuliaji Feisal Salum kusepa ndani ya Azam FC kupata changamoto sehemu nyingine mpya kutokana na mabosi wa timu hiyo kuongeza dau upande wa mshahara. Fei amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za Simba SC na Yanga SC ambazo zinapigana vikumbo kusaka saini yake. Ipo wazi kwamba Fei ni namba moja kwa…
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inapenda kuwataarifu wadau wote wa mpira wa miguu kuwa Uchaguzi Mkuu wa TFF utafanyika tarehe 16 Agosti, 2025 katika jiji la Tanga. Nafasi Zitakazogombewa: Rais wa TFF – Nafasi 1 Wajumbe wa Kamati ya Utendaji – Nafasi 6 Gharama za Fomu za Kugombea: Rais:…
Michuano ya Kombe la Dunia ngazi za vilabu imefika ambapo kivumbi kitaanza hapo kesho nchini Marekani. Ubashiri wako pekee unaweza kubadilisha maisha yako timu 32 anatafutwa bingwa mmoja. Unangoja nini wakati ndio huu sasa. Timu hizo 32 ambazo zitakuwa zikishiriki michuano hii zitatoka kwenye mabara tofauti ambapo Bara la Ulaya UEFA (EUROPE) litatoa timu 12…
Katika mfululizo wa matukio makubwa yanayoikumba Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Steven Mnguto amejiuzulu rasmi nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi, huku Ofisa Mtendaji Mkuu, Almasi Kasongo, akisimamishwa kazi na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia. Taarifa ya Juni 13 iliyotolewa na Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao, imeeleza…
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amempongeza msanii mkongwe Lady Jaydee kwa mchango wake mkubwa katika kukuza na kuiheshimisha sanaa ya muziki wa Tanzania. Akizungumza katika usiku wa sherehe ya kuadhimisha miaka 25 ya mwanamuziki huyo kwenye tasnia ya muziki, iliyofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki – Dar es Salaam, Nape amesema kuwa Lady Jaydee…
RASMI Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imeusogeza mbele mchezo wa Kariakoo Dabi ambao ni namba 184 kati ya Yanga SC vs Simba SC uliopangwa kuchezwa Juni 15 2025, Uwanja wa Mkapa. Taarifa rasmi iliyotolewa Juni 13 2025 na TPLB imeeleza imeusogeza mbele mchezo huo wa watani wa jadi mpaka Juni 25 2025. Taarifa…
Meridianbet imezindua ofa mpya ya kuwapa wateja wao thamani zaidi kwa miamala ya kila siku inayofanywa kupitia Mix by Yas. Kuanzia sasa, wateja wote wanaoweka pesa kupitia Mix by Yas watapokea bonus ya 20% ya kiasi walichoweka kwa mara ya kwanza kila siku. Ofa hii itawapa wateja hadi shilingi 50,000 kwa siku na itadumu hadi…
Michuano ya Kombe la COSAFA 2025 inaendelea leo kwa hatua ya nusu fainali, ambapo mechi mbili za kuvutia zinatarajiwa kupigwa. Katika mchezo wa kwanza, Angola watakutana na Madagascar saa 10:00 jioni, huku mchezo wa pili ukiwakutanisha wenyeji Afrika Kusini dhidi ya Comoro saa 1:00 usiku. Kwa wale wabashiri, Meridianbet imeandaa mazingira bora ya kubashiri kwa…
JUNI 15 2025 kwa mujibu wa Bodi ya Ligi Tanzania Bara mchezo namba 184 kati ya Yanga SC vs Simba SC unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba SC wameruhusiwa kufanya mazoezi ya maandalizi Uwanja wa Mkapa na Wizara ya Michezo ila kuna hatihati mchezo huo ukapangiwa tarehe nyingine. Licha yakuruhusiwa kufanya mazoezi ya mwisho Juni…
Klabu ya Simba kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, imeeleza kuwa imeruhusiwa kutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa na vingine vyote vilivyopo chini ya wizara bila ya kukwamisha kwa namna yoyote matumizi ya viwanja hivyo. Simba imeposti barua kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inayoonesha taarifa ya kuruhusiwa kutumia uwanja huo Juni 14,…
JOSHUA Mutale kiungo mshambuliaji wa Simba SC amewagawanya mabosi wa timu hiyo kutokana na wengine kuhitaji kuona anaondoka huku wengine wakihitaji kuona anabaki ndani ya kikosi hicho. Mutale hakuwa kwenye mwanzo mzuri msimu wa 2024/25 kutokana na mechi ambazo alipewa nafasi kucheza chini ya kiwango. Katika mechi za mzunguko wa pili Mutale amekuwa akifanya kazi…
Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) Karim Boimanda ameweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi unaotarajiwa kuchezwa Juni 15 2025 yapo vizuri na kuna taarifa nyeti na muhimu zitatolewa muda wowote kuanzia sasa. Yanga SC ni wenyeji wa mchezo huo namba 184 ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ambapo watakipiga…
INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani Rachid Toussi atakutana na Thank You baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho na mabosi wat imu hiyo wameshafanya maamuzi. Taarifa zinaeleza kuwa Azam FC wanasubiri msimu uishe kwa mechi mbili ambazo zimesalia kukamilisha msimu ambapo watakuwa na mchezo…
Habari njema kabisa kwa wateja ambao wanashiriki michezo ya Kasino ya mtandaoni imefika leo. Ni mashindano ya Endorphina ambayo yanakupa nafasi ya kipekee ya kushinda mamilioni ya pesa yaani namaanisha kuanzia Milioni 20. Jiunge na Meridianbet utusue kibabe. Mashindano haya ya Endorphina yameanza toka jana tarehe 12 na mwisho wake utakuwa ni tarehe 22 Juni…
Klabu ya Simba imesema itaingia uwanjani Juni 15, 2025 kwa ajili ya kushiriki mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC kama ilivyopangwa na Bodi ya Ligi Kuu. Aidha, imesema mabadiliko yoyote ya kujaribu kuahirisha mchezo huo ni batili na kinyume na taratibu za uendeshaji wa mpira wa miguu, na kwamba haitashiriki mchezo wowote wa namba…
ZIKIWA zimesalia siku tatu kufika Juni 15 2025 siku ambayo mchezo wa Kariakoo Dabi unatarajiwa kuchezwa kati ya Yanga SC ambao ni wenyeji na Simba SC ambao watakuwa ugenini, wageni Simba SC wamegoma mchezo namba 184 ikiwa utafanyiwa mabadiliko. Ipo wazi kwamba Yanga SC, Juni 9 2025 walitoa taarifa kuwa hawapo tayari kwa mchezo namba…
SHUKRANI kubwa kwa watazamaji na wafuatiliaji wa mtandao wa Jembe Sports kwa kuwa ni watu muhimu kila wakati jambo lililopelekea tuzo maalumu kutoka kwa You Tube. Kwenye ukurasa wa You Tube wa Jembe Sports ni watazamaji zaidi ya laki moja wapo na watu ambao wamebofya kile kitufe cha kuifuata You Tube ya Jembe Sports ni…