
TANZANIA VS MADAGASCAR CHAN 2024 KWA MKAPA KESHO
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Agosti 9 2025 inatarajiwa kucheza mchezo wa…
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Agosti 9 2025 inatarajiwa kucheza mchezo wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024). Huo utakuwa ni mchezo wa tatu kwa Tanzania. Ni Tanzania vs Madagascar CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa. Mechi mbili zilizopita Tanzania ilipata ushindi kwa kuvuna pointi sita…
KLABU ya Yanga ipo katika mazungumzo ya mwishoni katika kuipata saini ya winga wa Singida Black Stars, Edmund John ili awe sehemu ya kikosi hicho katika msimu ujao. Inadaiwa makubaliano binafsi kati ya mchezaji na Yanga tayari yamekamilika na mchezaji yupo tayari. Nyota huyo alikuwa tishio katika mchezo wa Nusu Fainali wa Kombe la CRDB…
Mshindo mkubwa unapatikana Meridianbet leo, hivyo bashiri mechi zako zote leo na ujiweke kwenye nafasi nzuri ya kushinda pesa nyingi. Machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. SC Braga atakuwa ugenini siku ya leo kusaka ushindi dhidi ya FC CFR 1907 Cluj ambao hawapewi nafasi ya kushinda mtanange wa leo kwani kwa wakali wa ubashiri wamepewa…
MARCIO Maximo, Kocha Mkuu wa KMC ameweka wazi kuwa wanatambua namna ushindani ulivyo ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC hivyo muda wa maandalizi watatengeneza kikosi chenye ushindani. Timu hiyo yenye maskani yake Kinondoni inatumia Uwanja wa KMC Complex kwa mechi za nyumbani tayari ipo kambini Zanzibar kwa maandalizi ya msimu mpya wa…
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa wamefanya maboresho makubwa kwenye kikosi kwa kupata saini za wachezaji ambao watakuwa na kazi kupambana kwenye mashindano ambayo watashiriki. Simba SC msimu wa 2024/25 ilishiriki Kombe la Shirikisho Afrika na kugotea hatua ya fainali ikiwa nafasi ya pili na bingwa alikuwa RS Berkane. Msimu wa 2025/26…
YANGA SC itavuna kiasi cha shilingi bilioni 3.3 kutokana na kuongeza mahusiano na kampuni ya Haier wakisaini mkataba wa miaka mitatu rasmi Agosti 7 2025 katika Hotel ya Hyatt Regency, Dar. Rais wa Yanga SC, Injinia Hersi Said amesema kuwa wana matumaini makubwa na mkataba huo kuwa ni faida kwa pande zote mbili kutokana na…
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa na vilabu vikubwa vya soka barani Ulaya, Thierry Henry, sasa amejiunga rasmi na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Betway kama Balozi wa Kimataifa wa Soka . Henry, ambaye anahesabiwa kama mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake, analeta katika Betway uzoefu wa kipekee alioupata akiwa…
Bao la dakika ya 89 lililofungwa na beki mahiri Shomari Kapombe limeipa Taifa Stars ushindi wa pili mfululizo katika Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024), baada ya kuichapa Mauritania kwa bao 1-0 katika dimba la Benjamin Mkapa. Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa ulionekana kuelekea sare tasa kabla…
Meridianbet kwa mara nyingine imeleta burudani mpya kupitia mchezo pendwa wa Super Heli, mchezo wa kasino ya mtandaoni unaokupeleka angani na kukuacha ukishuka na zawadi za nguvu. Ikiwa na muundo wa kuvutia unaofanana kwa mbali na ule wa Aviator, Super Heli imeboreshwa kwa kupewa muonekano mpya, dau la kirafiki kwa kila mtu, na zawadi kubwa…
kucheza mechi nyingi za kirafiki. Lille kushinda mechi hii ana ODDS 1.60 kwa 4.80. Jisajili hapa. Huku Arsenal wao leo hii watapepetana dhidi ya Villarreal ya kule Hispania. Vijana wa Arteta wamefanya usajili mkubwa msimu huu na wanataka makombe makubwa hivyo ushindi kwao ni muhimu sana ili kujua wapi bado hapajakamilika. Bashiri mechi hii kwa ODDS 1.43 kwa 6.00….
MRITHI wa kitambaa cha unadhoa ndani ya kikosi cha Simba SC kwa sasa anatafutwa mara baada ya beki huyo wa kushoto kutambulishwa Jangwani. Zimbwe Jr alikuwa nahodha wa Simba SC msimu wa 2024/25 mkataba wake ulipogota mwisho hakuongeza kandarasi nyingine hivyo katambulishwa Jangwani akiwa mchezaji huru. Inatajwa kuwa mabosi wa Simba SC na benchi la…
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemedi Selemani, amesema kuwa ana imani kubwa na kikosi kuelekea mchezo unaofuata wa Agosti 6, 2025 dhidi ya Mauritania unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kocha huyo amesisitiza kuwa lengo kuu ni kupata ushindi bila kujali idadi ya mabao kwenye mchezo wa leo unaotarjiwa kuwa na…
USIKU wa kuamkia Agosti 6 2025, Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyekuwa nahodha wa Simba SC 2024/25 ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Yanga SC. Zimbwe Jr beki wa kazi ndani ya Simba SC msimu wa 2024/25 upande wa kushoto alikuwa ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids. Anatambulishwa Yanga SC akiwa mchezaji huru…
Meridianbet, kwa ushirikiano na Expanse Studios, wamezindua promosheni mpya ya kuvutia iitwayo Zombie Apocalypse, inayowaalika wachezaji kuingia katika ulimwengu wa kusisimua wa mapambano dhidi ya mazombi, huku wakifurahia burudani ya hali ya juu pamoja na fursa za kushinda za kipekee. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Agosti 2025, promosheni ya Zombie Apocalypse inawapa wachezaji changamoto ya kushiriki katika mchezo…
ELLIE Mpanzu, winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids amewasili kambini rasmi Agosti 5 2025 kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26. Nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za watani wa jadi wa Simba SC ambao ni Yanga SC kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Inaelezwa kuwa alichelewa kambini kutokana na matatizo ya…
Meridianbet inakuambia hivi, sasa unaweza kuweka jamvi lako kwa mchezaji ambaye unaona anaweza kushinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu sasa. ODDS zao zinaanzia 7.00 na kuendelea hivyo usipitwe na chaguo hili sasa. Suka mkeka wako wa ushindi hapa. Alexander Isak raia wa Sweeden anapewa nafasi ya 8 kuchukua tuzo hiyo. Toka ajiunge na Magpies…
KOCHA Fadlu Davids alipomuona kijana kwenye majukumu yake inaelezwa kuwa akawaambia mabosi wa Simba SC anahitaji saini ya Antony Mligo aliyekuwa ndani ya Namungo FC. Haya ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ambapo Simba SC ilipishana na ubingwa msimu wa 2024/25 ulikwenda kwa watani zao wa jadi Yanga SC….