FT: Wiliete SC 0-3 Yanga SC

FT: Wiliete SC 0-3 Yanga SC Mchezo umekamilika Yanga SC ikiwa ugenini ikipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Wiliete. Mabao ya Yanga SC yamefungwa na Aziz Andambilwe dakika ya 31, Edmund John dakika ya 71 na Prince Dube dakika ya 79. Dakika ya 88 nahodha wa Wiliete anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo nyota…

Read More

KOCHA FADLU DAVIDS KUSEPA SIMBA SC, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba SC Fadlu Davids anatajwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi hicho kinachoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Fadlu yupo na kikosi nchini Botswana kwa ajili ya mchezo wa hatua ya awali dhidi ya Gaborone United unaotarajiwa kuchezwa Septemba 20. Simba SC imetoka kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Katika…

Read More

ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIOPO BOTSWANA

SIMBA SC baada ya kupoteza Ngao ya Jamii, Septemba 16 2025 mbele ya Yanga SC msafara ulikwea pipa na umefika salama Botswana kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali dhidi ya Gaborone United. Hii hapa orodha ya wachezaji wa Simba SC waliopo Botswana watakuwa na kazi…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA YARUDI KWA UBABE!

Mechi za ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya leo zinatarajiwa kuendelea kwa mechi kali za pesa. Barcelona, City, Galatasaray na wengine wanakusubiri usuke jamvi lako la ushindi. Ingia sasa kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa. Kutoka kule Ujerumani, Eintracht Frankfurt watakipiga dhidi ya Galatasaray ya kule Uturuki ambao ndio mabingwa wa…

Read More

Hii hapa ratiba ya NBC Premier League

NBC Premier League tayari pazia lake limefunguliwa na Septemba 17 mechi mbili za ufunguzi zilichezwa. KMC 1-0 Dodoma Jiji huu ulichezwa Uwanja wa KMC Complex na mtupiaji wa bao la kwanza msimu wa 2025/26 ni Daruesh Saliboko dakika ya 56 likidumu mpaka mwisho wa dakika 90. Mchezo wa pili ilikuwa Coastal Union 1-0 Tanzania Prisons…

Read More

JOSÉ MOURINHO ARUDI BENFICA KAMA KOCHA MKUU

Baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Qarabağ, Benfica imefanya uamuzi mkubwa kwa kutengana na kocha wake mkuu na kumrejesha gwiji wa soka, José Mourinho. Kwa mujibu wa taarifa za ndani zilizoripotiwa na Fabrizio Romano, Mourinho amekubali ofa ya Benfica, kwa makubaliano ya mdomo yatakayomuweka pale hadi Juni…

Read More

CHEZA MERIDIANBET BONANZA, VUNA MIZUNGUKO YA BURE

Kuna wakati unakaa kimya, ukitazama na kutafakari ndoto zako za siku moja kuingia kasino, kushinda kwa kishindo, kufurahia kila mzunguko. Lakini muda, umbali, au hali vinakuzuia. Sasa, Meridianbet imefuta vizingiti vyote. Imeleta kwako Meridianbet Bonanza, mchezo unaokukaribisha kwenye ulimwengu wa ushindi, bila kusubiri kesho. Meridianbet Bonanza si mchezo wa kawaida. Ni mchanganyiko wa teknolojia ya…

Read More

USIKU WA UEFA: NANI ANAKULA SAHANI YA MWISHO?

Meridianbet inakwambia hivi kama jana hujapiga mkwanja kwenye mechi za UEFA za jana, leo hii ndio una nafasi ya kipekee ya kuondoka na ushindi. Chelsea, Inter, PSG na wengine wapo kwaajili yako. Ingia na uasuke jamvi hapa. Mechi kali ni hii ya Bayern Munich dhidi ya Chelsea kule Allianz huku nafasi ya kuondoka na pointi…

Read More