JKT TANZANIA KUKOMAA NA KIPA NA BEKI ALIYETAJWA YANGA SC

UONGOZI wa JKT Tanzania umebainisha kuwa wachezaji wao wote muhimu wana mipango nao hivyo itakuwa ngumu kwao kuondoka kwenda kupata changamoto mpya kwa msimu ujao. Ilikuwa inaelezwa kuwa timu zenye maskani yake Kariakoo ikiwa ni Simba SC na Yanga SC zilikuwa zinawania saini ya beki wa JKT Tanzania huku Simba SC ikipiga hesabu kupata saini…

Read More

BEKI SIMBA SC AANZA KAZI UARABUNI

BAADA ya kutambulishwa katika Klabu ya USM Algers ya nchini Algeria beki Fondoh Che Malone ameanza mazoezi katika kikosi hicho. Beki huyo anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga ndani ya kikosi cha Simba SC kwenye mechi za ligi ilikuwa Uwanja wa KMC, Mwenge Dar. Katika mchezo huo Che Malone alifungua ukurasa wa mabao…

Read More

MSHAMBULIAJI WA MABAO YANGA SC AUZWA UARABUNI

INAELEZWA kuwa Yanga SC wamefikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wa mabao ndani ya kikosi hicho ambaye ni mzawa namba moja kufunga mabao mengi msimu wa 2024/25. Ni Clement Mzize ambaye alikuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Mzize anashikilia rekodi ya kucheza mechi zote 30 za ligi msimu uliopita. Mshambuliaji huyo alifunga jumla…

Read More

MERIDIANBET WAMKARIBISHA IMOON, MTOA HUDUMA MPYA MICHEZO YA KASINO MTANDAONI

Meridianbet wamewaletea wateja wao habari njema baada ya kumtambulisha rasmi mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino, iMoon Gaming, ambaye anachagiza mapinduzi makubwa kwenye tasnia ya kasino mtandaoni. iMoon ni jukwaa la michezo lililojengwa kwa teknolojia ya kisasa likiwa limejikita kwenye utoaji wa michezo mirahisi na ya haraka huku ikiwa na burudani ya kutosha. Kipaumbele…

Read More

AUCHO KUCHEZA SIMBA SC ISHU IPO HIVI

WAKATI akitajwa kuwa huenda anaweza kuwa nyeupe na nyekundu kiungo mkabaji Khalid Aucho inaelezwa kuwa mpango huo ni ngumu kukamilika. Tetesi zimekuwa zikieleza kuwa Simba SC inahitaji huduma ya Aucho ambaye mkataba wake umegota mwisho ndani ya Yanga SC msimu wa 2024/25. Kwa sasa ni mchezaji huru na amewashukuru Yanga SC na mashabiki kwa kuwa…

Read More

CAF YAMFUTA KAZI MKURUGENZI MKUU WA WAAMUZI KUFUATIA SAKATA LA FAINALI YA WAFCON YA WANAWAKE

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limemfuta kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Waamuzi, Désiré Noumandiez Doué, kwa makosa yaliyofanywa katika Kombe la Afrika la Wanawake. Haya yanajiri baada ya Shirikisho la soka la Morocco (FRMF), kuwashutumu Waamuzi akiwemo Mukansanga Salima na Umutesi Alice kwa kuchezesha isivyo Fainali ya Kombe la Afrika kwa Wanawake. Mukansanga Salima…

Read More

MSHAMBULIAJI WA MABAO JONATHAN SOWAH NI MNYAMA

RASMI Simba SC imemalizana na mshambuliaji wa mabao Jonathan Sowah ambaye alikuwa mali ya Singida Black Stars na sasa atakuwa mali yao. Ikumbuwe kwamba Julai 31 2025 Simba SC ilitambulisha wachezaji wawili wapya ambao ni Morice Abraham alitambulishwa ndani ya Simba SC Julai 31 2025 na Hussein Daudi Semfuko alitambulishwa Simba SC, Julai 31 2025 kuwa…

Read More

Yanga SC Yamtambulisha Andy Bobwa Boyeli!

Klabu ya Yanga  imemtambulisha rasmi mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kama mchezaji mpya wa kikosi hicho kwa mkataba wa mkopo wa msimu mmoja kutoka Sekhukhune United ya Afrika Kusini, ukiwa na kipengele cha kununuliwa kabisa mwishoni mwa mkataba. Boyeli anasifika kwa uwezo mkubwa wa kufumania nyavu na alijizolea umaarufu mkubwa msimu wa 2022/23 akiwa na…

Read More