
VIDEO:SIMBA WAMKATAA MZUNGU WAO
MASHABIKI wa Simba wamemkataa mzungu wao Dejan ambaye ni ingizo jipya ndani ya Simba akichukua mikoba ya Meddie Kagere na Chris Mugalu ambao wameachwa na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu,Zoran Maki
MASHABIKI wa Simba wamemkataa mzungu wao Dejan ambaye ni ingizo jipya ndani ya Simba akichukua mikoba ya Meddie Kagere na Chris Mugalu ambao wameachwa na timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu,Zoran Maki
Tumsifu Yesu Kristu, Bwana Yesu Asifiwe, Raha ya Milele umpe Eeeh Bwana, apumzike kwa Amani. Raha ya Milele umpe Eeeh Bwana, apumzike kwa Amani. Raha ya Milele umpe Eeeh Bwana, apumzike kwa Amani. Tunaposimama hapa leo, mioyo yetu imejaa huzuni na machozi, lakini pia, imejaa shukrani na heshima kwa maisha ya kipekee ya Baba…
Timu ya taifa ya Ubelgiji imeweka hai matumaini ya kufuzu hatua ya 16 bora baada ya kuitandika Romania 2-0 katika mchezo wa raundi ya pili wa Kundi E uliopigwa katika dimba la RheinEnergieStadion (Cologne). FT: Ubelgiji ?? 2-0 ?? Romania ⚽ Tielemans 2’ ⚽ De Bruyne 80’ Kundi E bado ni ngoma ni ngumu, kila…
Arusha, Tanzania — Juni 29, 2024, Benki ya NCBA Tanzania imezindua rasmi msimu wa pili wa mashindano ya gofu ya NCBA. Mashindano haya yalifanyika kwenye uwanja wa gofu wa Gymkhana, Arusha. Mashindano ya mwaka huu yamelenga kuuinua mchezo wa gofu Tanzania, kama sehemu ya mkakati wa NCBA wa kutunza mazingira. Mashindano ya gofu ya NCBA…
OKRA Magic ni ingizo jipya ndani ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi ambapo kama atakuwa kwenye ubora wake kwenye kutimiza majukumu na akipewa nafasi atakuwa na kazi kwenye kutimiza majukumu yake ambapo anakwenda kuongeza ukubwa wa kikosi cha Yanga kitaifa na kimataifa.
WAAMUZI wengi Bongo wamekuwa pasua kichwa hasa pale wanapopewa jukumu la kusimamia sheria 17 kwenye mechi zinazowahusu Simba na Yanga kutokana na rekodi zao kuwa na utata. Asilimia kubwa waamuzi hao wameonekana kushindwa kwenda na kasi ya mchezo ama kufanya vizuri mwanzo ila ikifika mwisho wanaboronga mazima kwa mujibu wa rekodi. Kwa mujibu wa Mwenyekiti…
KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba Taarifa hiyo imetolewa leo Januari 7,2023 na TFF baada ya jana Januari 6,2023 shauri hilo kusikilizwa makao makuu ya TFF. Kwenye taarifa hiyo imeeleza kuwa uamuzi kwa…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Mbeya Kwanza ambao unatarajiwa kuchezwa leo Mei 20, Uwanja wa Mkapa. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi zao 60 baada ya kucheza mechi 24 wanakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Mbeya Kwanza ambao…
GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na mchambuzi mkongwe wa soka nchini Saleh Jembe ambaye amefunguka mengi kuhusiana na ishu ya Barbara kujiuzulu na sakata la Mo Dewj kuondoka Simba..
KITUO kinachofuata kwa Simba SC ndani ya Ligi Kuu Bara ni mchezo dhidi ya KenGold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ikiwa ni mzunguko wa pili. Simba SC mchezo wake wa mwisho kwenge ligi ilikuwa dhidi ha Singida Black Stars uliochezwa Uwanja wa KMC Complex na mwisho ubao ulisoma Simba SC 1-0 Singida Black…
MZEE wa Utopolo shabiki wa Yanga kutoka Iringa mkazi wa Majohe amebainisha kuwa kugawana pointi mojamoja na watani zao wa jadi Simba maana yake ni kwamba tabu ipo palepale kwa kuwa wamewazidi kwa pointi zilezile ambazo walikuwa wamewazidi awali. Jumla ya pointi 55 wamefikisha Yanga baada ya kucheza mechi 21 huku Simba ikiwa na pointi…
WINGA Dennis Nkane aliyekuwa akikipiga ndani ya Biashara United sasa ni rasmi atakuwa ndani ya kikosi cha Yanga. Nyota anakuwa wa tatu kutambulishwa rasmi ndanj ya Yanga baada ya Sure Boy na Aboutwalib Mshery kutambulishwa. Ni zawadi ya mwaka mpya kwa mashabiki wa Yanga kwa kuwa alitambukishwa Januari Mosi 2022. Dili lake ni la miaka…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wanahitaji pointi tatu muhimu. Baada ya kucheza mechi 18 ni pointi 48 wamekusanya wakiwa nafasi ya kwanza wanatarajia kumenyana na Azam FC Jumatano ya Aprili 6,2022. Kwenye msimamo Azam FC ipo nafasi ya tatu na pointi 28…
KLABU ya Asec Mimosas ya Ivory Coast imekubali kufanya mazungumzo rasmi na Yanga kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wake, Sankara Karamoko mwishoni mwa msimu huu. Hata hivyo mazungumzo hayo ya kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 yatalenga zaidi usajili wa dirisha kubwa na sio hili dogo. Kwa mujibu wa chanzo kutoka Yanga kimeliambia…
YANGA chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara 2023/24 baada ta kufikisha pointi 71 ambazo hazitafikiwa na timu yoyote Bongo. Ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibw Sugar umewapa taji hilo la 30 wakitwaa mara tatu mfululizo wakiwa ni watawala katika zama za sasa. Licha ya Mtibwa Sugar kuanza kupata…
MZUNGUKO wa pili huwa unakuwa na mambo mengi jambo ambalo huwafanya wachezaji wengi kutumia nguvu kubwa kusaka ushindi. Ukweli ni kwamba mechi za wakati huu ni lala salama kwa kuwa kitakachofuata ni maamuzi ya nini kitatokea kwa kile ambacho kimepandwa. Benchi la ufundi, uongozi pamoja na mashabiki muda wa kujipanga kwa makosa ya mzunguko uliopita ni sasa na itasaidia kuwa kwenye ushindani mzuri. Mashabiki na…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Merrekh Uwanja wa Azam Complex wapo tayari na maandalizi yanaendelea. Siku hiyo ya Septemba 30 imepewa jina la Key Day ikiwa ni siku ya Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga. Huo ni mchezo ambao utaamua mshindi atakayetinga hatua ya makundi…