
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
Bundesliga, Serie A na EPL kunogesha wikiendi yako. Wakati baadhi ya vilabu vya EPL vikihaha na maambukizi ya Omicron Variant, nchi zingine mambo yanaendelea kama kawaida, kwa kuzingatia tahadhari dhidi ya COVID-19. Wikiendi inakwenda namna hii; Bayern Munichen watakuwa pale Allianz Stadium kuwaalika Wolfsburg Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazikutanisha timu mbili zenye…
WAZIRI wa Maliasili, Dkt Damasi Ndumbaro ameibuka mshindi wa mashindano ya Gofu ya Wabunge ya Afrika Mashariki kwa ushindi wa jumla akiwakilisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Waziri Ndumbaro amepata jumla ya pointi 73 katika ushindi wa jumla zilizofanya aweze kuibuka kidedea. Ndumbaro amesema kuwa ushindani ulikuwa mkubwa kwa kuwa kila mshiriki alikuwa…
KAMPUNI ya Meridian Bet imeandaa muendelezo wa Bonanza lao mashindano ya mtaani ya Meridian Bet street soccer bonanza litafanyika leo kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, Dar es Salaam
BEKI wa zamani wa kikosi cha Yanga, Nadir Haroub, ‘Canavaro’ ameweka wazi kuwa kwa zama ambazo alikuwa akicheza yeye mpira wa ushindani bado hajaona ambaye ameweza kumfikia nyota wa zamani wa Simba Emanuel Okwi. Canavaro amebainisha kwamba hawezi kusema maneno mengi zaidi ya kusema kwamba hakuna kama Okwi.
MWINYI Zahera, Mkurugenzi wa Benchi la Ufundi kwenye timu za Vijana ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wazi kuwa mshambuliaji Heritier Makambo hahitaji nafasi nyingi ili aweze kufunga. Desemba 15,Uwanja wa Mkapa Makambo alitupia mabao matatu kwenye ushindi wa mabao manne dhidi ya Ihefu FC mchezo wa Kombe la Shirikisho na bao moja lilifungwa na…
MKAZI wa Morogoro amefanikiwa kuibuka mshindi wa mkwanja mrefu baada ya kufanikiwa kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kweye Jacpot ya wiki iliyopita, Mshindi wa SportPesa Jackpot bonus pichani ni Kassim Said Liuzilo mwenye miaka 52, ambaye ni kutoka Kilombero, Morogoro. Liuzilo ameshikilia mfano wa hundi ya shilingi 10,534,628 baada ya kubashiri kwa…
SELEMAN Matola,Kocha Msaidizi wa Simba ameweka wazi kuwa viwango vya wachezaji wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na Pape Sakho na Jimmyson Mwanuke vinazidi kuimarika kwa kuwa walifanya vizuri walipopewa nafasi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya JKT Tanzania. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Desemba 14, Simba iliibuka na ushindi…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu FC amesema kuwa alikuwa anawalinda wachezaji wake ili wasiweze kuumia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa. jana Desemba 15. Katika mchezo huo Ihefu ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-0 dhidi ya Yanga nawatupiaji walikuwa ni Heritier Makambo ambaye alifunga mabao matatu na Khalid…
BOBAN Zirintusa, mshambuliaji wa Mtibwa Sugar ni miongoni mwa mastaa waliosepa na mpira baada ya kufunga hat trick katika mchezo wa Kombe la Shirikisho. Aliweza kufanya hivyo Desemba 15 wakati timu ya Mtibwa Sugar ilipotoa dozi ya kifurushi cha wiki kwa Tunduma United ambapo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mtibwa Sugar 7-1 Tunduma United….
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi wapo kwenye hesabu za kumsaka winga wa kazi ili awe ndani ya kikosi hicho. Yanga inahitaji kufanya maboresho kidogo kwenye eneo la winga ili kuongeza makali kwenye kikosi hicho. Jina na Chico Ushindi winga mwenye miaka 25 anayekipiga ndani ya TP Mazembe anatajwa kuwa kwenye…
MASHINE hizi mbili mali ya Simba ni ndani ya Spoti Xtra Alhamisi, nakala yake ni jero tu mezani
WAMEANZA kutamba sasa kuelekea msimu wa X Mass Arsenal wamefanikiwa kubakiza pointi tatu muhimu katika uwanja wao wa nyumbani. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu England Arsenal imesepa na pointi tatu muhimu mbele ya West Ham United baada ya ushindi wa mabao 2-0. Mabao ya Martinell dakika ya 48 na Smith Rowe ambaye alianzia benchi…
USHINDI wa mabao 4-0 dhidi ya Ihefu FC Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu unawafanya waweze kutinga raundi ya nne. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ilipachika mabao 3-0 kipindi cha kwanza na kuwafanya waende vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa vifua mbele. Watupiaji wa Yanga ni Heritier Makambo…
UWANJA wa Mkapa mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu mchezo kati ya Yanga v Ihefu FC ni mapumziko. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inaongoza kwa mabao 3-0 na kuwafanya waende vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa vifua mbele. Watupiaji wa Yanga ni Heritier Makambo ambaye ametupia mabao mawili dk ya 5 na…
MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Sergio Aguero mwenye miaka 33 ametangaza kustaafu soka kwa wakati huu kutokana na tatizo la moyo na amesema kuwa maamuzi hayo ni kwa ajili ya afya. Aguero alianza kupata maumivu katika mchezo uliokamilka kwa sare ya kufungana bao mojamoja kati ya Barcelona dhidi ya Alaves ilikuwa ni Oktoba 2021. Ikumbukwe kwamba Aguero…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mchezo wa leo dhidi ya Ihefu ambao ni wa Kombe la Shirikisho ni bora kuliko ule wa Simba uliochezwa Jumamosi, Uwanja wa Mkapa na ngoma kukamilika kwa sare ya bila kufungana. Thabit Kandoro,Mkurugenzi wa Mashindano ndani ya Yanga amesema kuwa wanakazi kubwa ya kufanya mbele ya Ihefu FC kwenye…